Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Huwa najiuliza hivi kwanini wazazi sie wa kibongo haturuhusiwi kuvaa martenity dress zetu hospitali muda wa kwenda kujifungua na baada ya kujifungua, badala yake tunaambiwa kuvaa khanga.
Baadhi ya picha za watu wengine huko kwingine naona wana mavazi yao mazuri tu, kwanini sisi???
Baadhi ya picha za watu wengine huko kwingine naona wana mavazi yao mazuri tu, kwanini sisi???