Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Tatizo ni kuwa hayo madera mengine yanakwenda hospitali yakiwa machafu, kuna mikojo ya watoto na vitu kama hivyo. Ki uhalisia wazazi wangepewa nguo za hospitali.Basi tuvae hata madira tu, hii kanga kanga wengine migongo ina upele, mba, chale za waganga sijui.... Aah sipendi mie