Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,736
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lolBasi tuvae hata madira tu, hii kanga kanga wengine migongo ina upele, mba, chale za waganga sijui.... Aah sipendi mie
Unacheka teh, pale muhimbili ukikaa martenity block unajionea migongo ya kila aina yenye upele, yenye mba, yenye chale aah tuvae tu kwakweli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol
Labda nesi amewapotezea aepuke kufua....Mbona hata private huwa naona khanga khanga tu
maternity dress huwa zinabana?Sure unaambiwa usijibane jaman
Zibane wapi ndugu... ni vile tu unaambiwa na unatii maana wale nao ukibishana nao ni shidaamaternity dress huwa zinabana?
Sio kwamba tunaumwa vibaya, treatment nayo inachangia, wenzetu katika hali hiyo mama anajaliwa, nesi anamtreat vizuri, anapewa hata achague style ya kukaa ambayo anajisikia comfortable , tena mara nyingine anakua na mtu mume, mzazi au ndugu wa kumwangalia yani hadi raha.Na watz wengi tunavyoumwa uchungu vibaya waweza lichana gaun usikumbuke kuvua
DuuuSio kwamba tunaumwa vibaya, treatment nayo inachangia, wenzetu katika hali hiyo mama anajaliwa, nesi anamtreat vizuri, anapewa hata achague style ya kukaa ambayo anajisikia comfortable , tena mara nyingine anakua na mtu mume, mzazi au ndugu wa kumwangalia yani hadi raha.
Wabongo sie treatment tu ya nesi hadi unajiona leba umeenda kufa, unaumwa nesi anafoka, sauti ya juu vua nguo, panda kitandani lala ubavu, usiamke utaua mtoto hizi kauli uchungu utaacha kuzidi 😀😀
Muda huo upo mwenyewe mume nae kakimbia kusiko julikana aaaggghh tabu
Basi kuchange mavaz pekee haitoshi inabidi tuanzie mbali vazi n karibia na jambo la mwishoSio kwamba tunaumwa vibaya, treatment nayo inachangia, wenzetu katika hali hiyo mama anajaliwa, nesi anamtreat vizuri, anapewa hata achague style ya kukaa ambayo anajisikia comfortable , tena mara nyingine anakua na mtu mume, mzazi au ndugu wa kumwangalia yani hadi raha.
Wabongo sie treatment tu ya nesi hadi unajiona leba umeenda kufa, unaumwa nesi anafoka, sauti ya juu vua nguo, panda kitandani lala ubavu, usiamke utaua mtoto hizi kauli uchungu utaacha kuzidi 😀😀
Muda huo upo mwenyewe mume nae kakimbia kusiko julikana aaaggghh tabu
Hahaha kweli kanga inakaa kilocal sana, ila kuna hosp baadhi za binafsi wanatoa madera kama haya...binafsi sijakumbana na kanga.Basi tuvae hata madira tu, hii kanga kanga wengine migongo ina upele, mba, chale za waganga sijui.... Aah sipendi mie
Mkuu ukiwa leba unamuwaza jamaa alipokimbilia?Sio kwamba tunaumwa vibaya, treatment nayo inachangia, wenzetu katika hali hiyo mama anajaliwa, nesi anamtreat vizuri, anapewa hata achague style ya kukaa ambayo anajisikia comfortable , tena mara nyingine anakua na mtu mume, mzazi au ndugu wa kumwangalia yani hadi raha.
Wabongo sie treatment tu ya nesi hadi unajiona leba umeenda kufa, unaumwa nesi anafoka, sauti ya juu vua nguo, panda kitandani lala ubavu, usiamke utaua mtoto hizi kauli uchungu utaacha kuzidi 😀😀
Muda huo upo mwenyewe mume nae kakimbia kusiko julikana aaaggghh tabu
Wanaweza vzr mkuu. Pale Bugando nilipewa nguo safi kabisa, sio kila kitu ni kibaya au haiwezekani Tanzania!!Hapo ndo tatizo lilipo Dada yangu,
we fikiria tu usafi wa chini tu wa Hosp zetu ulivyo pamoja na mashuka ya hosp, je wataweza kufua na kupiga pasi hizo nguo za labour.
Hii ni tanzania, msisahau hilo
Hizo kanga zenyewe haziwezi kuleta infection? Kama sababu ndio hiyo
Basi tuvae hata madira tu, hii kanga kanga wengine migongo ina upele, mba, chale za waganga sijui.... Aah sipendi mie
Possible make mi ni mwanamke, na nimejaaliwa kizazi
Sio kuwaza alipokimbilia ila unatamani hata awepo jirani afanye massage ya kiuno tehMkuu ukiwa leba unamuwaza jamaa alipokimbilia?
Hahahaha
Tatizo ukienda hata na kivazi chako, utaambiwa utoe uvae kangaHahaha kweli kanga inakaa kilocal sana, ila kuna hosp baadhi za binafsi wanatoa madera kama haya...binafsi sijakumbana na kanga.
Hahaha, kwa hali nionayo mle ndani sidhani kama huo ujasiri wa kufanyiwa massage utakuepoSio kuwaza alipokimbilia ila unatamani hata awepo jirani afanye massage ya kiuno teh