Sio kwamba tunaumwa vibaya, treatment nayo inachangia, wenzetu katika hali hiyo mama anajaliwa, nesi anamtreat vizuri, anapewa hata achague style ya kukaa ambayo anajisikia comfortable , tena mara nyingine anakua na mtu mume, mzazi au ndugu wa kumwangalia yani hadi raha.
Wabongo sie treatment tu ya nesi hadi unajiona leba umeenda kufa, unaumwa nesi anafoka, sauti ya juu vua nguo, panda kitandani lala ubavu, usiamke utaua mtoto hizi kauli uchungu utaacha kuzidi 😀😀
Muda huo upo mwenyewe mume nae kakimbia kusiko julikana aaaggghh tabu