Uchaguzi 2020 Mawakala wa CHADEMA Chato waeleza kuwa hawajaapishwa

Mkurugenzi yeyeto akigoma kumuapisha mgombea yeyeto wananchi mfateni nyumbani kwake hakuna kutoka kwake mpaka arudi ofisini akawaapishe mawakala wenu, waache uhuni amani yetu ni muhimu sana
Yap.. familia yake ikiwekewa shinikizo zito sana na umma, na nyumbani kwake pakageuka uwanja wa mapambano, lzm mkurugenzi alainike mapema sana
 
Watu wanaongelea mawakala kutokutendewa haki wewe unaongelea vitu vya ajabu ajabu,umevuta cha watu mkuu mbona unatoka kwenye reli kabisaaa!!
Sasa hapa uzalendo wa unayemungelea upo wapi?
 
Upande wako umeshauonesha upo kwa huyo unayemuita mzalendo,kwahyo usitupangie cha kufanya!
 
Yap.. familia yake ikiwekewa shinikizo zito sana na umma, na nyumbani kwake pakageuka uwanja wa mapambano, lzm mkurugenzi alainike mapema sana
Hao makada ni kudili nao kihuni tukiwachekea watakuwa ndo chanzo cha Vita nchini ni heri kuwadhiti wao ili amani isipotee
 
Sawa kiongozi tumekuelewa. Lkn hilo Mahera amesema ameongeza siku 2 mpk tarehe 23/10/2020. Kwahiyo makamanda nendeni nyumbani tu.
Wasipohapishwa waandamane wakalale kwa mkurugenzi mpaka arudi kuwaapisha atutaki uhuni utakaotuletea Vita mwaka huu
 
Vyama vya upinzani aandaeni utaratibu wa chakula kwa mawakala wenu wasitoke kwenda kununua nje wakitoka tu mmepigwa, na wasipokula asubui ndo imetoka hio watashinda njaa.
 
Wananchi pigeni kambi nyumbani kwa wasimamizi wa uchaguzi. Hao ndio shiiiidaaaa!!! Kuapishwa mawakala piga kambi, baada ya kupiga kura piga kambi hukohuko kwa mara DED, kutangaza matokeo piga kambi, na hakikisha mnalinda usalama wa familia yake. Akichezea kura zenu chezea familia! Ngoma droooo!
 
Dah.. safi Sana. Tuwekee hiyo clip ukiipata pls
Mkuu nimekuwekea short video ya ilivyokuwa baada ya msimamizi wa kituo alizingua umati ukamfuata mpaka kwake. Hii ndio Mbeya
 

Attachments

  • VID-20201022-WA0040.mp4
    4.5 MB
Mbeya hili wameshaanza kulitekeleza. Inatosha & sasa bhassss
 
Huyu jamaa akitawala tena miaka 5 tutalimia ulimi badala ya meno tuliolimia miaka 5 iliyopita.

Halafu kama tutaruhusu atawale tena miaka 5 atabomoa ndoa zetu badala ya nyumba zetu. Maana hali itakuwa ngumu balaa. Hela yote anaipeeleka kwenye reli.
Huyu mzee anaendelea chief rafu zinachezwa huku chini, mawakala wa ccm wamepewa maelekezo tofauti na wapinzani sasa sijajua lengo lao nini
 
Mkuu jaribu kuwatia pressure na wengine wakomae vinginevyo itakula kwetu.
 
Huyo mama angemshauli jamaa yake afunge vifungo vya shati
 
Mkuu nimekuwekea short video ya ilivyokuwa baada ya msimamizi wa kituo alizingua umati ukamfuata mpaka kwake. Hii ndio Mbeya
Dah... Asante Sana mkuu. Kumbe wananchi wa Songwe siyo wa mchezo mchezo. Kwa nyomi hilo la binadamu lzm alainike, atake asitake

CHADEMA
Njooni hapa mpate somo
 
Akigoma kukuapisheni mfateni nyumbani kwake na wafuasi wenu zingireni nyumba yake usiku na mchana Hadi atakapowaapisha yasijirudie tena ya serikali za mitaa. Wahuni Hawa ni kuwashughulikia kihuni kweli kweli Hadi watende haki. Wanampigania mtu anaekwenda kuwatumbua akili matope
 
Huyu mzee anaendelea chief rafu zinachezwa huku chini, mawakala wa ccm wamepewa maelekezo tofauti na wapinzani sasa sijajua lengo lao nini
Daah! Ngoja nizitafute hizo rafu halafu nimjuze Amsterdam.

Huyu john atatumaliza akipata tena
 
Plan B ni kuchoma nyumba yake baasi kama noma na iwe noma.
Hawa wahuni wachache wakiachiwa hivyi hivi ndo watavuruga amani yetu ni kuwazingira nyumba zao wachague moja kutenda haki au ama zao.
Fanyeni Kama walivyofanya tunduma kumfuata mkurugenzi muhuni nyumbani kwake akawaapishe mawakala.Wanalipwa kwa Kodi zetu na sio kwa pesa ya mtu mfukoni ni lzm wafanye sheria inavyotaka.
Maana kutumia gharama kubwa kupiga kampeni kisha unaibiwa dk za mwisho hakuna maana.
Washughulikieni kweli kweli hao wahuni ili wakamsalimie awatumae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…