Pole acha turudi bank makato kiduchu kabisa na Niko mjini ATM za kumwagaKuhusu wakala kupiga pesa ii hapana ,maana gawio kwa Wakala halijaongezeka na iyo pesa iliyoongezeka ni tozo ya serikali,
Sanasana atakosa wateja maana makato ni makubwa.
Hili si walishalikatazaga hao wenye mitandao! Maana kila wakala ukimwambia atume yeye direct anagoma anasema hawaruhusiwi!Wakala atapiga sababu wengi wa wateja hawatatuma pesa tena kwenye mitandao yao. Watampelekea wakala akatume
Hata wakala akituma shida iko pale pale tu 😅 atachezea vitasa tu anayeenda kutoa hukoKuhusu wakala kupiga pesa ii hapana ,maana gawio kwa Wakala halijaongezeka na iyo pesa iliyoongezeka ni tozo ya serikali,
Sanasana atakosa wateja maana makato ni makubwa.
Hahahaha please tell me you are just jokingDah!!
Yani saivi ata Wakala akimtumia mteja anakatwa!![emoji15][emoji15]
Hii sasa kali yani nimejikuta nacheka tu hii counter attack ni ya kibabe mazeeHata wakala akituma shida iko pale pale tu 😅 atachezea vitasa tu anayeenda kutoa huko
Mbona hapo wameandika ada ni 0[emoji15][emoji15]View attachment 1854508
Mawakala si wapo kila sehemu tena kwa vijijiniKijijini kuna bank?
Ni noma yani sawasawa na kung’oa goli halafu timu zote zishindie goli 1Hii sasa kali yani nimejikuta nacheka tu hii counter attack ni ya kibabe mazee
Goli kufungwa na mildfielder sio ajabu wala haisikitishi ila kufungwa hatrick na goli kipa it pains
Labda kama yuko peke yake eneo hiloHili si walishalikatazaga hao wenye mitandao! Maana kila wakala ukimwambia atume yeye direct anagoma anasema hawaruhusiwi!
Benki kuweka ni bure, kutoa M1 haizidi 6000/-Hiyo ndiyo bajeti ya mchumi gredi one. Namtumia mama yangu kijijini 1 milion unakata 10k, mama anaenda kutoa pesa hiyo hiyo unakata tena 10k. Kwa nini nisitumie benki kutuma?
Kuna mawakala.Kijijini kuna bank?
Kampuni haijatoza gharama yoyote, ila serikali imekutoza tozo ya 156Mbona hapo wameandika ada ni 0
Kwa maana kwamba salio halikatwi au mi ndo sijaelewa?
Tupaze sauti, huu Ni ujambazi wa mchana kweupe[emoji15][emoji15]View attachment 1854508
Kibaya zaid wakala ndo mdau anaezikusanyaHakuna Mzee!!
Yaani hizi tozo zilizoongezeka ni pesa ya serikali, hata kampuni ya mtandao husika hawanufaiki nazo!