Mawakala wenzangu njoeni tuzungumze kuhusu haya makato mapya

Mawakala wenzangu njoeni tuzungumze kuhusu haya makato mapya

Hiyo ndiyo bajeti ya mchumi gredi one. Namtumia mama yangu kijijini 1 milion unakata 10k, mama anaenda kutoa pesa hiyo hiyo unakata tena 10k. Kwa nini nisitumie benki kutuma?
Yaani nitoke Lwande au Kwekivu mpaka Songe nikatume pesa benki kisa kukwepa makato ya simu...!!!
 
Pole yenu mnayeishi porini huko, hii ndiyo kodi yenu haswa na hata 'mabalabala'yanayojengwa ni yenu
Dah! Mkuu ni sawa usemacho ila siyo kwa makato haya aisee...
Kama ni ngumi hapa tunasema umepigwa za uso, tena saba kwa mpigo!!!
 
Awa wahuni naona kama wanatuzunguka tu.
Kuna uwezekano wa commission yetu kukatwa juu kwa juu[emoji848]
 
Kwanza watu wengi hata kabla ya izi tozo walikuwa wanatuma pesa kwa mawakala,
Ni watu wachache sana wanatumaga pesa kutoka kwenye simu zao moja kwa moja.
Hata hivyo miamala ya kutoa ndio ina mlejaa mkubwa kidogo.
So Wakala hana faida yeyote hapa
Kwema mkuu, naomba kuuliza hivi wakala anapata je faida kwenye mitandao hii mfano tigo pesa
 
Kutaneni mutoe msimamo wenu ili muongezewe gawio na uzuri kwa sasa wanufaika wa kazi yenu makampuni ya simu na serikali waambieni wakuongezeeni gawio

Kampuni inamiliki system tu

Serikali inachukua tozo kibabe

Wewe wakala ndio injini ya hi biashara maana umewekeza pesa zako za mda wako

Sasa kwani gharama za kutoa million moja iongezeke kutoka 8000 hadi 17400 alafu wakala ambae ndio kiungo wa huo muamala usiongezewe gawio

Hamjitambui tu umuhimu wenu yanyi nyinyi mawakala siku mkiamua kugoma kampuni haitapata hata centi moja na serikali nayo haitapata tozo hata centi moja


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka mabadiliko ya tozo, ya anze ramsi ..kwa mara ya kwanza nimefanya transaction! Roho imeniuma sana, hii nchi hii... Nimejikuta namkumbuka jiwe!
 
Mawakala vipi biashara zinaendaje tangu makato mapya yaanze hadi sasa?
 
Hapa kuna mara mbili wakala kupiga pesa au kukosa wateja
Kuhusu wakala kupiga pesa hii hapana, maana gawio kwa Wakala halijaongezeka na hiyo pesa iliyoongezeka ni tozo ya serikali,
Sanasana atakosa wateja maana makato ni makubwa.
Wakala wazoefu kwenye Fani huu ndio wakati wao wanatengeneza pesa kuliko ilivyo kua mwanzo.

Katika hili MAWAKALA wanapiga sana pesa, ukiona ni wakala na hupigi pesa SIMAMA wima tafuta namna wenzako wanapga hela usikae kizembe zembe.

Luv asante sana maana sio kwa maajabu haya ninayoyashuhudia.

ipo siku ntakwambia nenda showroom chagua gari unayotaka kisha bili ije kwangu, ipo siku tu maana si kwa haya ninayoyashuhudia hapa ofisini.

Guys/mawakala msikae kizembe huu ni wakati wenu wa kupiga pesa kuliko watu wanavyofikiri.

Raha ya hiii kitu ni 50/50 mteja ana smile na wakala ana smile = ngoma drooo.
 
Wakala wazoefu kwenye Fani huu ndio wakati wao wanatengeneza pesa kuliko ilivyo kua mwanzo.

Katika hili MAWAKALA wanapiga sana pesa, ukiona ni wakala na hupigi pesa SIMAMA wima tafuta namna wenzako wanapga hela usikae kizembe zembe.

Luv asante sana maana sio kwa maajabu haya ninayoyashuhudia.

ipo siku ntakwambia nenda showroom chagua gari unayotaka kisha bili ije kwangu, ipo siku tu maana si kwa haya ninayoyashuhudia hapa ofisini.

Guys/mawakala msikae kizembe huu ni wakati wenu wa kupiga pesa kuliko watu wanavyofikiri.

Raha ya hiii kitu ni 50/50 mteja ana smile na wakala ana smile = ngoma drooo.
kabsa yan mfano mimi mteja akitoa laki moja wanamkata 6000.buku inaenda voda nabakiwa na faida ya 5000.mteja namwambia mimi nakata kidogo.kwa hyo nampa buku namwambia mi laki moja badala ya kukatwa elfu 6 na vijisenti mi nakukata elfu 5 tuuu.kesho akitak kutoa atananisaka had geto.(ananiona kama mkomboz [emoji3][emoji3][emoji3])


tatizo tulio wengi tukiwa kwenye biashara hatuwazi nje ya box.

kamisheni ya mwisho wa mwezi kwenye simu inasoma elfu 30 (ukiangalia unaweza jiuliza sasa hiyo elfu 30 sunafanyia hasara tuu) maana mi mteja akitoa pesa faida nabaki nayo muda huo huo hamna kusubilia mwisho wa mwez

NB:biashara ukifanya kama biashara ilivyo huwezi kupata pesa
 
Wakala wazoefu kwenye Fani huu ndio wakati wao wanatengeneza pesa kuliko ilivyo kua mwanzo.

Katika hili MAWAKALA wanapiga sana pesa, ukiona ni wakala na hupigi pesa SIMAMA wima tafuta namna wenzako wanapga hela usikae kizembe zembe.

Luv asante sana maana sio kwa maajabu haya ninayoyashuhudia.

ipo siku ntakwambia nenda showroom chagua gari unayotaka kisha bili ije kwangu, ipo siku tu maana si kwa haya ninayoyashuhudia hapa ofisini.

Guys/mawakala msikae kizembe huu ni wakati wenu wa kupiga pesa kuliko watu wanavyofikiri.

Raha ya hiii kitu ni 50/50 mteja ana smile na wakala ana smile = ngoma drooo.
Shukran mkuu, Mungu akusimamie.
 
kabsa yan mfano mimi mteja akitoa laki moja wanamkata 6000.buku inaenda voda nabakiwa na faida ya 5000.mteja namwambia mimi nakata kidogo.kwa hyo nampa buku namwambia mi laki moja badala ya kukatwa elfu 6 na vijisenti mi nakukata elfu 5 tuuu.kesho akitak kutoa atananisaka had geto.(ananiona kama mkomboz [emoji3][emoji3][emoji3])


tatizo tulio wengi tukiwa kwenye biashara hatuwazi nje ya box.

kamisheni ya mwisho wa mwezi kwenye simu inasoma elfu 30 (ukiangalia unaweza jiuliza sasa hiyo elfu 30 sunafanyia hasara tuu) maana mi mteja akitoa pesa faida nabaki nayo muda huo huo hamna kusubilia mwisho wa mwez

NB:biashara ukifanya kama biashara ilivyo huwezi kupata pesa
Ndio mana nawambiaga watu waache kukaa tu makazini kwao bila kuendelea kufanya tafiti za namna yakuongeza faida kwa kazi hizo hizo wanazozifanya.

wewe ni wakala unafunga biashara lakini kuna wakala mwenzako mtaa B anawaza kwenda kulipia frem ya 1m aweke biashara hyo hyo ya uwakala uliyoifunga.

kwanini mtu hujiulizi yeye anafanya fanyaje? iweje yeye imlipe wewe isikulipe? watu hawataki jiuliza hayo maswali mwisho hufinalize kwa kusema Flani ana Dawa flani Mchawi,nk

lakini ukweli ni kwamba katika kila biashara unayoifanya kuna njia bado hujazijua zinazoweza kukupa pesa zaidi ya hizo unazozipata.

Usiridhike na unachopata Fungua puzzle Fumbua mafumbo yaliyofungwa unufaike na unachokifanya.

MAWAKALA kwasasa ndio MA BOSS mjini ndio Biashara ambayo anamwambia mke wake Aendeleee kumenya vitunguuuu swaum anaenda kazini atamtumia Nyama na vitu vya kupika.

Ukiona wakala anauza line yake MSIKITIKIE sana muoneee huruma maana kwasasa hakuna biashara inayolipa 100% kama biashara ya Uwakala.

au nasema uongo kingkongtz
 
Ndio mana nawambiaga watu waache kukaa tu makazini kwao bila kuendelea kufanya tafiti za namna yakuongeza faida kwa kazi hizo hizo wanazozifanya.

wewe ni wakala unafunga biashara lakini kuna wakala mwenzako mtaa B anawaza kwenda kulipia frem ya 1m aweke biashara hyo hyo ya uwakala uliyoifunga.

kwanini mtu hujiulizi yeye anafanya fanyaje? iweje yeye imlipe wewe isikulipe? watu hawataki jiuliza hayo maswali mwisho hufinalize kwa kusema Flani ana Dawa flani Mchawi,nk

lakini ukweli ni kwamba katika kila biashara unayoifanya kuna njia bado hujazijua zinazoweza kukupa pesa zaidi ya hizo unazozipata.

Usiridhike na unachopata Fungua puzzle Fumbua mafumbo yaliyofungwa unufaike na unachokifanya.

MAWAKALA kwasasa ndio MA BOSS mjini ndio Biashara ambayo anamwambia mke wake Aendeleee kumenya vitunguuuu swaum anaenda kazini atamtumia Nyama na vitu vya kupika.

Ukiona wakala anauza line yake MSIKITIKIE sana muoneee huruma maana kwasasa hakuna biashara inayolipa 100% kama biashara ya Uwakala.

au nasema uongo kingkongtz
hahah mkuuu umeua ,na sasahivi nawakamua kweli kweli sina mchezo na hela.daily natumiwa sms na namba ngeni et yan mbona ofisini kwako makato ni madogo .kuna mmoja alikuja kutoa laki 7 nikala faida ya 15k chap chap,nika kaa kidogo akaja wakutoa laki mbili nikala 5k chap chap.badae nikaweka na miguu juu ya meza,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
hahah mkuuu umeua ,na sasahivi nawakamua kweli kweli sina mchezo na hela.daily natumiwa sms na namba ngeni et yan mbona ofisini kwako makato ni madogo .kuna mmoja alikuja kutoa laki 7 nikala faida ya 15k chap chap,nika kaa kidogo akaja wakutoa laki mbili nikala 5k chap chap.badae nikaweka na miguu juu ya meza,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Acha wanyoooke yani tunasema serikali iendelee kukaza humo humo au watuongeze na makato ya kununua bombadier ingine bwana

we unaonaje mkuu, wakituongezea na tozo za kuchangia bombadier si ndio mambo yatazidi kunoga kbsa😅

Hiii ya sasa inaitwa kila mtu atakula alipopeleka mboga....
 
Wakala wazoefu kwenye Fani huu ndio wakati wao wanatengeneza pesa kuliko ilivyo kua mwanzo.

Katika hili MAWAKALA wanapiga sana pesa, ukiona ni wakala na hupigi pesa SIMAMA wima tafuta namna wenzako wanapga hela usikae kizembe zembe.

Luv asante sana maana sio kwa maajabu haya ninayoyashuhudia.

ipo siku ntakwambia nenda showroom chagua gari unayotaka kisha bili ije kwangu, ipo siku tu maana si kwa haya ninayoyashuhudia hapa ofisini.

Guys/mawakala msikae kizembe huu ni wakati wenu wa kupiga pesa kuliko watu wanavyofikiri.

Raha ya hiii kitu ni 50/50 mteja ana smile na wakala ana smile = ngoma drooo.
Asante kiongozi kwa kutuzindua
 
Ndio mana nawambiaga watu waache kukaa tu makazini kwao bila kuendelea kufanya tafiti za namna yakuongeza faida kwa kazi hizo hizo wanazozifanya.

wewe ni wakala unafunga biashara lakini kuna wakala mwenzako mtaa B anawaza kwenda kulipia frem ya 1m aweke biashara hyo hyo ya uwakala uliyoifunga.

kwanini mtu hujiulizi yeye anafanya fanyaje? iweje yeye imlipe wewe isikulipe? watu hawataki jiuliza hayo maswali mwisho hufinalize kwa kusema Flani ana Dawa flani Mchawi,nk

lakini ukweli ni kwamba katika kila biashara unayoifanya kuna njia bado hujazijua zinazoweza kukupa pesa zaidi ya hizo unazozipata.

Usiridhike na unachopata Fungua puzzle Fumbua mafumbo yaliyofungwa unufaike na unachokifanya.

MAWAKALA kwasasa ndio MA BOSS mjini ndio Biashara ambayo anamwambia mke wake Aendeleee kumenya vitunguuuu swaum anaenda kazini atamtumia Nyama na vitu vya kupika.

Ukiona wakala anauza line yake MSIKITIKIE sana muoneee huruma maana kwasasa hakuna biashara inayolipa 100% kama biashara ya Uwakala.

au nasema uongo kingkongtz
Bro!!
 
Kuhusu wakala kupiga pesa hii hapana, maana gawio kwa Wakala halijaongezeka na hiyo pesa iliyoongezeka ni tozo ya serikali,
Sanasana atakosa wateja maana makato ni makubwa.
Dah kama bado unafanya uwakala wa kutegemea commission za mitandao,imekula kwako.Sa hivi pesa ndio inapigwa maana profit margin imeongezeka
 
Back
Top Bottom