Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
Lete mbinu ya kupiga pesa bila kutegemea kamisheni ya mtandao mkuu.Dah kama bado unafanya uwakala wa kutegemea commission za mitandao,imekula kwako.Sa hivi pesa ndio inapigwa maana profit margin imeongezeka
Ebu fafanua mnafanyeje ilitupate elimu na sisi tupate faida.hahah mkuuu umeua ,na sasahivi nawakamua kweli kweli sina mchezo na hela.daily natumiwa sms na namba ngeni et yan mbona ofisini kwako makato ni madogo .kuna mmoja alikuja kutoa laki 7 nikala faida ya 15k chap chap,nika kaa kidogo akaja wakutoa laki mbili nikala 5k chap chap.badae nikaweka na miguu juu ya meza,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Toa ufafanuzi na sisi tupige pesa.Dah kama bado unafanya uwakala wa kutegemea commission za mitandao,imekula kwako.Sa hivi pesa ndio inapigwa maana profit margin imeongezeka
Ni mwendo wa lipa tu.Hakuna wakala asiyejuaToa ufafanuzi na sisi tupige pesa.
Ouky.....hivi hizo lain zinapatikana wap?Ni mwendo wa lipa tu.Hakuna wakala asiyejua
Toa maujuzi hayo.hahah mkuuu umeua ,na sasahivi nawakamua kweli kweli sina mchezo na hela.daily natumiwa sms na namba ngeni et yan mbona ofisini kwako makato ni madogo .kuna mmoja alikuja kutoa laki 7 nikala faida ya 15k chap chap,nika kaa kidogo akaja wakutoa laki mbili nikala 5k chap chap.badae nikaweka na miguu juu ya meza,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
N mwendo wa lipa hapa...ishu nikupata hizo lain.Toa maujuzi hayo.
We jamaa km hujui nyamaza tu unaongea non sense.Wakala atapiga sababu wengi wa wateja hawatatuma pesa tena kwenye mitandao yao. Watampelekea wakala akatume
[emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa km hujui nyamaza tu unaongea non sense.
Endelea kuwa gizani watu tunaupiga mwingi tuWe jamaa km hujui nyamaza tu unaongea non sense.
Jaman kama kuna mtu analain ya lipa hapa kwa halopesa na airtelmoney au mpesa aje pm.Hahaaa...Heb sema unachokijua wewe
Endelea kuwa gizani watu tunaupiga mwingi tu
Tumia tigo boss itakutoa,utakuja nikumbukaJaman kama kuna mtu analain ya lipa hapa kwa halopesa na airtelmoney au mpesa aje pm.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Inatofauti gan na lain nyingine???Tumia tigo boss itakutoa,utakuja nikumbuka
Lipa kwa mpesa now c wanakata???hahah mkuuu umeua ,na sasahivi nawakamua kweli kweli sina mchezo na hela.daily natumiwa sms na namba ngeni et yan mbona ofisini kwako makato ni madogo .kuna mmoja alikuja kutoa laki 7 nikala faida ya 15k chap chap,nika kaa kidogo akaja wakutoa laki mbili nikala 5k chap chap.badae nikaweka na miguu juu ya meza,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]