Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Afrika kuna majitu mapuuzi mengi sanaHalafu ukute mjinga fulani kutokea sijuhi wapi huko kuja na kusema nchi za magharibi ndio tatizo kuu la Muafrika.
Cc. Ibrahim Burkina Faso
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afrika kuna majitu mapuuzi mengi sanaHalafu ukute mjinga fulani kutokea sijuhi wapi huko kuja na kusema nchi za magharibi ndio tatizo kuu la Muafrika.
Cc. Ibrahim Burkina Faso
Kumbe haiingiliagi? Then that is good.Unataka aingilie mahakama?
Indeed....Then that is good.
KumekuchaHii ndio taarifa inayopatikana mitandaoni usiku huu na hatua hii ni kutokana na washitakiwa hao kuendelea kushikiliwa bila kufikishwa mahakamani jambo ambalo ni kinyume na sheria.
Ni Aibu sana kwa mwanadamu kuwa mwanaccmKumekucha
Ni kama Halima Mdee na Wenzake walivyogeuza kibao na kuishtaki Chadema!
Utawala wa Sheria kwa nchi hii hautakuwepo na lazima kinukishwe ndio utawala wa sheria uwepo vinginevyo tutaelendela kulalamika tuHii ndio taarifa inayopatikana mitandaoni usiku huu na hatua hii ni kutokana na washitakiwa hao kuendelea kushikiliwa bila kufikishwa mahakamani jambo ambalo ni kinyume na sheria.
Fuvu lako limejaa kamasi?Kumekucha
Ni kama Halima Mdee na Wenzake walivyogeuza kibao na kuishtaki Chadema!
Waafrica sisi ni Nyani takataka mbwa, tulifaa kuendelea kuwa nyani tuAlafu ukute mjinga fulani kutokea sijuhi wapi huko kuja na kusema nchi za magharibi ndio tatizo kuu la Muafrika.
Cc. Ibrahim Burkina Faso
Mawakili ndio kada pekee Nchi hii inajielewa sana.Hii ndio taarifa inayopatikana mitandaoni usiku huu na hatua hii ni kutokana na washitakiwa hao kuendelea kushikiliwa bila kufikishwa mahakamani jambo ambalo ni kinyume na sheria.
Huwa wanatumia misemo hiyo kuhadaa watu maskini wa Kipato na kiroho. Yaani watu duni.Alafu ukute mjinga fulani kutokea sijuhi wapi huko kuja na kusema nchi za magharibi ndio tatizo kuu la Muafrika.
Cc. Ibrahim Burkina Faso
Ambao ndio ukweliMahakama zinajulikana vizuri na mtu mmoja,anaitwa Rostam Aziz.Huyo mtu alitamka hadharani kua simu moja tu ikipigwa,maamuzi yanaathirika.
Huo ni ukweli kabisa,kwa yeyote anayezijua mahakama zetu.Ambao ndio ukweli
Tutamwomba Mungu mweza wa yote. InawezekanaUtawala wa Sheria kwa nchi hii hautakuwepo na lazima kinukishwe ndio utawala wa sheria uwepo vinginevyo tutaelendela kulalamika tu
Jeshi la Polisi limesikitishwa sana na kitendo cha Mhalifu Wilbroad Slaa kusitisha Mgomo wa kula na kuwashauri Mahabusu kuwa na msimamo katika yale wanayoyasimamia ili kuliwezesha Jeshi kujikita kwmy mambo mengineHuku chaneli fulani ikisema Mawakili wamemuangukia rais kwenye sakata hilo
It make senseSafi sana wanaleta mchezo na maisha ya watu wanafikiria familia zao zinajisikiaje mmewashikilia ndugu zao muda wote huo na hakuna kinachoendelea
Mungu sauti ya hawa mawakili naomba iwe sauti yakoHii ndio taarifa inayopatikana mitandaoni usiku huu na hatua hii ni kutokana na washitakiwa hao kuendelea kushikiliwa bila kufikishwa mahakamani jambo ambalo ni kinyume na sheria.
---
Mawakili wa Wilbroad Slaa, Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali wamefungua (Habeas Corpus) kuwashtaki AG, IGP, DPP, RCO-Mbeya, OCS-Central Police Mbeya kwa kuendelea kuwashikilia wateja wao kinyume na taratibu za kisheria.
Ombi la mawakili hao ni wateja wao wafikishwe mahakamani.
View attachment 2720299
Kweli, wameonesha mshikamano kumpigania mwenzao hii ndio kada inayojitambua.Mawakili ndio kada pekee Nchi hii inajielewa sana.
Ndio maana wana hela.
Huna akiliKumekucha
Ni kama Halima Mdee na Wenzake walivyogeuza kibao na kuishtaki Chadema!