King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mh SSH nakuita mara tatu ,naomba usiendelee kufuja fedha kwenye tume ya haki jinai maana haina maana yeyote!! Vyombo vilivyotajwa kunyanyasa watuhumiwa kwenye report ya haki jinai bado wanaendelea kunyanyasa, Mh SSH ulisema wazi kama upepelezi haujakamilika haia haja ya kumkamata mtu....Na sheria zipo wazi ukimkamata mtu ndani ya 24hr inabidi umpeleke mahakamani,sasa watuhumiwa wamekamata zaidi ya siku 5 bado wapo vituoni.