Mawakili wa Dkt. Wilbroad Slaa, Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali wamefungua kesi kuwashitaki AG, IGP, DPP, RCO-Mbeya na OCS wa Central Polisi Mbeya

Mawakili wa Dkt. Wilbroad Slaa, Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali wamefungua kesi kuwashitaki AG, IGP, DPP, RCO-Mbeya na OCS wa Central Polisi Mbeya

Mh SSH nakuita mara tatu ,naomba usiendelee kufuja fedha kwenye tume ya haki jinai maana haina maana yeyote!! Vyombo vilivyotajwa kunyanyasa watuhumiwa kwenye report ya haki jinai bado wanaendelea kunyanyasa, Mh SSH ulisema wazi kama upepelezi haujakamilika haia haja ya kumkamata mtu....Na sheria zipo wazi ukimkamata mtu ndani ya 24hr inabidi umpeleke mahakamani,sasa watuhumiwa wamekamata zaidi ya siku 5 bado wapo vituoni.
 
Mh SSH nakuita mara tatu ,naomba usiendelee kufuja fedha kwenye tume ya haki jinai maana haina maana yeyote!! Vyombo vilivyotajwa kunyanyasa watuhumiwa kwenye report ya haki jinai bado wanaendelea kunyanyasa, Mh SSH ulisema wazi kama upepelezi haujakamilika haia haja ya kumkamata mtu....Na sheria zipo wazi ukimkamata mtu ndani ya 24hr inabidi umpeleke mahakamani,sasa watuhumiwa wamekamata zaidi ya siku 5 bado wapo vituoni.
Uzuri msisitizo umeshawekwa na mawakili kwamba....

"Chochote kinachofanyika huko kwenye sello za mateso baada ya masaa24 kupita bila watuhumiwa kupelekwa mahakamani ni ubatili mtupu"

Hii kesi itaisha mapema sana. It is pre matured case.
 
Kesi ya uhaini haina dhamana.

Walidhani Serikali ya Mama imelala na wangefanya wanacho taka bila kukamatwa!!!

Serikali ipo macho na ipo makini sana.
 
Kesi ya uhaini haina dhamana.

Walidhani Serikali ya Mama imelala na wangefanya wanacho taka bila kukamatwa!!!

Serikali ipo macho na ipo makini sana.

Tafsiri ya neno UHAINI (TREASON)

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tafsiri ya neno UHAINI (TREASON)

Sent using Jamii Forums mobile app
Anaelewa huyu chawa au ana subiri uteuzi?
 
Mi napenda Aya Kama Aki Sheria zinapindishwa no wakati Sasa wanashelia kuonyesha walisoma nn na wanauwezo wa kumuwajibisha yoyote KWA Sheria walisoma ,ii inatakiwa Kila taaruma isimama kwenye professional take KWA kuitetea isiyumbishe
 
Hawa wameonekana ni tishio sio la nchi bali kwa sisiem,hivyo hii kesi itawasumbua mpaka 2025 huko.
 
Hii ndio taarifa inayopatikana mitandaoni usiku huu na hatua hii ni kutokana na washitakiwa hao kuendelea kushikiliwa bila kufikishwa mahakamani jambo ambalo ni kinyume na sheria.
---

Mawakili wa Wilbroad Slaa, Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali wamefungua (Habeas Corpus) kuwashtaki AG, IGP, DPP, RCO-Mbeya, OCS-Central Police Mbeya kwa kuendelea kuwashikilia wateja wao kinyume na taratibu za kisheria.

Ombi la mawakili hao ni wateja wao wafikishwe mahakamani.

View attachment 2720299
Huyu dikteta wa kwanza wa kike nchi imemshinda, hafai
 
Nilishangaa kumuona yule Wakili wa Mtibwa Sugar Mwakilima anayemuwakilisha Mwabukusi akilia mbele ya Camera akimtaka rais aingilie kati ili wateja wake wafikishwe Mahakama.

Kitendo kile kilinifanya nijiulize sana, ni kipi kimemtokea Wakili huyu hata afikie hatua ya kumlilia rais wakati yeye mwenyewe hajatimiza wajibu wake to the fullest, ni kwanini alishindwa kutumia Habeas Corpus ili demand yake hoyo itimizwe na badala yake akaanze michezo ya kitoto ya kuingiza siasa kwenye mambo serious?

Je, wajuvi wa sheria mnaweza kunisaidia katika hili?
 
Sijui sheria nitakujibu kileimani, hivi sheria ikipindishwa kuna sheria gani itakayotumika kupindua,
kama kuna maagizo toka juu, ni nani atakayesimamia sheria huku chini?
 

Tafsiri ya neno UHAINI (TREASON)

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ya kutafasiri neno hilo tuiachie mahakama ndio kazi yake.
 
Back
Top Bottom