Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Devils advocate.....mlitaka.kumpa sumu?Jeshi la Polisi limesikitishwa sana na kitendo cha Mhalifu Wilbroad Slaa kusitisha Mgomo wa kula na kuwashauri Mahabusu kuwa na msimamo katika yale wanayoyasimamia ili kuliwezesha Jeshi kujikita kwmy mambo mengine
Mwl wenzao wengemwambia ameyataka mwenyewe akina Mpwayungu villageKweli, wameonesha mshikamano kumpigania mwenzao hii ndio kada inayojitambua.
Imagine ndio angekuwa mwl.kadandiwa na wenyemamlaka walahi nawaambia wangejitokeza walimu wenzake kumtolea ushahidi dhidi yake ili afungwe[emoji1787][emoji1787]
Inategemea anataka kumfurahisha naniNeno moja tu la Mama litamaliza yote haya
Banyamulenge mmejaa Tanzania. Mtajulikana kwa lugha zenu.Soma tena ulichoandikaWehigadhiwa sehemu salama [emoji1787][emoji1787]
Mbona ni kawaida kabisaUnataka aingilie mahakama?
Haya sawa.Mbona ni kawaida kabisa
Lugha zenu wahamiaji kutoka RwandaWehigadhiwa sehemu salama 🤣🤣
Hapo wamechelewa Kuwapeleka Mahakamani kwasababu ya kupanga utetezi wa uwongo ambao baadaye wakihojiwa na Mawakili wa utetezi wanaanza kutia aibu serikali mbele ya Umma.Hii ndio taarifa inayopatikana mitandaoni usiku huu na hatua hii ni kutokana na washitakiwa hao kuendelea kushikiliwa bila kufikishwa mahakamani jambo ambalo ni kinyume na sheria.
---
Mawakili wa Wilbroad Slaa, Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali wamefungua (Habeas Corpus) kuwashtaki AG, IGP, DPP, RCO-Mbeya, OCS-Central Police Mbeya kwa kuendelea kuwashikilia wateja wao kinyume na taratibu za kisheria.
Ombi la mawakili hao ni wateja wao wafikishwe mahakamani.
View attachment 2720299
Acha bangi weweLugha zenu wahamiaji kutoka Rwanda
Du.....Mbeya kweli wanajielewa!Hii ndio taarifa inayopatikana mitandaoni usiku huu na hatua hii ni kutokana na washitakiwa hao kuendelea kushikiliwa bila kufikishwa mahakamani jambo ambalo ni kinyume na sheria.
---
Mawakili wa Wilbroad Slaa, Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali wamefungua (Habeas Corpus) kuwashtaki AG, IGP, DPP, RCO-Mbeya, OCS-Central Police Mbeya kwa kuendelea kuwashikilia wateja wao kinyume na taratibu za kisheria.
Ombi la mawakili hao ni wateja wao wafikishwe mahakamani.
View attachment 2720299
Mnajulikana hata lugua zenu za kikatiri tu.Acha bangi wewe
"Lugua zenu za kikatiri tu " halafu unamshangaa mwenzako?Hicho ulichoandika ni kilugha?Mnajulikana hata lugua zenu za kikatiri tu.
Mambo ni hotHii ndio taarifa inayopatikana mitandaoni usiku huu na hatua hii ni kutokana na washitakiwa hao kuendelea kushikiliwa bila kufikishwa mahakamani jambo ambalo ni kinyume na sheria.
---
Mawakili wa Wilbroad Slaa, Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali wamefungua (Habeas Corpus) kuwashtaki AG, IGP, DPP, RCO-Mbeya, OCS-Central Police Mbeya kwa kuendelea kuwashikilia wateja wao kinyume na taratibu za kisheria.
Ombi la mawakili hao ni wateja wao wafikishwe mahakamani.
View attachment 2720299
Ndugu yangu huyo tunajuana"Lugua zenu za kikatiri tu " halafu unamshangaa mwenzako?Hicho ulichoandika ni kilugha?
Perfect💯Hakuna ubishi kuwa hali ya kisiasa nchini imeyumba na kupwaya sana, nyufa zilizokuwa zikionekana na kufumbiwa macho zamani sasa zinazonekana na kusemwa wazi wazi. Kulazimisha kuendelea na mfumo tulio nao ni kuahirisha au kurefusha mgogoro.
Sidhani kama kuna namna nyingine ya kuinusuru nchi zaidi ya kuanza upya mchakato wa kuandika katiba mpya. Kwenye mchakato huu, tuhakikishe kuwa Tanganyika inakuwa na mamlaka zake kiutawala kama ilivyo Zanzibar. Mambo ya muhimu ya kuzingatia kwenye mchakato huu wa kujitawala upya, nashauri, ardhi iwe chini ya umiliki wa kila mtanzania tofauti na ilivyo sasa, ambapo ardhi kama urithi wa binadamu tunaikabidhi kwa Serikali ambayo inakuja kutoza kitu wanachoita pango la ardhi.