King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Uzuri msisitizo umeshawekwa na mawakili kwamba....Mh SSH nakuita mara tatu ,naomba usiendelee kufuja fedha kwenye tume ya haki jinai maana haina maana yeyote!! Vyombo vilivyotajwa kunyanyasa watuhumiwa kwenye report ya haki jinai bado wanaendelea kunyanyasa, Mh SSH ulisema wazi kama upepelezi haujakamilika haia haja ya kumkamata mtu....Na sheria zipo wazi ukimkamata mtu ndani ya 24hr inabidi umpeleke mahakamani,sasa watuhumiwa wamekamata zaidi ya siku 5 bado wapo vituoni.
Kesi ya uhaini haina dhamana.
Walidhani Serikali ya Mama imelala na wangefanya wanacho taka bila kukamatwa!!!
Serikali ipo macho na ipo makini sana.
Kesi huwa inasikilizwa kila baada ya miezi 6 mara mojaKumekucha
Ni kama Halima Mdee na Wenzake walivyogeuza kibao na kuishtaki Chadema!
Anaelewa huyu chawa au ana subiri uteuzi?Tafsiri ya neno UHAINI (TREASON)
Neno lisilo maarufu miongoni mwa jamii yetu sasa linaimbwa mpaka na watoto wadogo .. Tusubiri vikaragosi vya akina Masudi kuhusu uhaini na bongo fleva kama wataweza kutunga tungo za uhaini Uhaini ninini Uhaini (kutoka neno la Kiarabu) ni pale mtu anapotenda jambo dhidi ya nchi yake. Kwa mfano...www.jamiiforums.com
Tafsiri ya neno UHAINI (TREASON)
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu tuna ambiwa kuna haki jinai?? Upuuzi mtupuUkoloni bado upo sana nchi hii.
Huyu dikteta wa kwanza wa kike nchi imemshinda, hafaiHii ndio taarifa inayopatikana mitandaoni usiku huu na hatua hii ni kutokana na washitakiwa hao kuendelea kushikiliwa bila kufikishwa mahakamani jambo ambalo ni kinyume na sheria.
---
Mawakili wa Wilbroad Slaa, Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali wamefungua (Habeas Corpus) kuwashtaki AG, IGP, DPP, RCO-Mbeya, OCS-Central Police Mbeya kwa kuendelea kuwashikilia wateja wao kinyume na taratibu za kisheria.
Ombi la mawakili hao ni wateja wao wafikishwe mahakamani.
View attachment 2720299
Hili ndio la muhimuOmbi la mawakili hao ni wateja wao wafikishwe mahakamani.
Kazi ya kutafasiri neno hilo tuiachie mahakama ndio kazi yake.Tafsiri ya neno UHAINI (TREASON)
Neno lisilo maarufu miongoni mwa jamii yetu sasa linaimbwa mpaka na watoto wadogo .. Tusubiri vikaragosi vya akina Masudi kuhusu uhaini na bongo fleva kama wataweza kutunga tungo za uhaini Uhaini ninini Uhaini (kutoka neno la Kiarabu) ni pale mtu anapotenda jambo dhidi ya nchi yake. Kwa mfano...www.jamiiforums.com
Tafsiri ya neno UHAINI (TREASON)
Sent using Jamii Forums mobile app