Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,903
- 1,360
Mbona tayari Taifa lishadhalilika !Kama wakili Msomi ninaomba kuwashauri mawakili wa Serikali wakiongozwa na ndugu yangu Robert Kidando ambaye namheshimu sana, msifanye kazi kwa mazoea mtalitia taifa aibu.
Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.
Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.
Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.
Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.
Ni hayo tu.
Jaji itabidi atumie nguvu nyingi kuunga mkono hoja za mawakili wakeKama wakili Msomi ninaomba kuwashauri mawakili wa Serikali wakiongozwa na ndugu yangu Robert Kidando ambaye namheshimu sana, msifanye kazi kwa mazoea mtalitia taifa aibu.
Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.
Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.
Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.
Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.
Ni hayo tu.
yote yanawezekana. Laana za baba zao ni hadi kizazi cha nneKumbe hawa akina Jumanne ndiyo walimbamkia meno ya Tembo yule mzee mstaafu, kumbe na wengine wameshasimamishwa kazi, na wengine akina Sabaya wameshafungwa.
Kwa hiyo hawa mashahidi wana mazoea ya kubambikia watu ushahidi.
Wakati wa Mahita baba wa Mahita wa sasa, huyu mtoto alikuwa wapi? kama alishakuwa polisi tayari si inawezekana alihusika katika suala la wale wa madini!
Hata Membe leo kasema watanzania wanafuraha baada ya jiwe kudanjaTunaposema Magufuli yupo kuzimu Jehenamu mnadhani huwa tuna vhuki binafsi?
Huyo jamaa alikuwa ni zaidi ya shetani alijukuwa anaipeleka nchi motoni, ila Mungu ni mwema amemuondowa bila umwagaji damu.
Kwakweli tunapaswa kumtolea Mungu sadaka ya shukrani kwa hili.
Ndio kawaida ya ukweli. Mawakili wa serikali wao wameshakula Advance hawajali matokeo ya kesiKutetea ukweli ni kitu rahisi sana lakini kuteta uongo hata ukiwa makini vipi watakushika tu. Ni ngumu sana kunyoosha uongo. ni rahisi kusema nilimwona mtu jana saa fulani na mahaala fulani hakiwa na fualani. Ukitunga uongo utashikwa tu maana kwanza ukisema ulimwona saa fulani ataleta shaidi na vidhibitisho kwamba kwa wakati huo hakuwa sehemu hiyo.
Baada ya hapo akina kidando na akina Esther wanakula uteuzi wa ujajiWenzako wako makini ku justify hukumu ambayo tayari iko magogoni inangojea kusomwa tu,hapo ni kama unampigia mbuzi gitaa. Hao wameahidiwa mamilioni ya fedha na vyeo hivyo interest ya nchi siyo kipaumbele chao.
Haa haa just haa haa mtumbuaji katumbuliwa. Mungu fundi sana.Mungu akaamua kutumbua.
Utumbuzi wa Mungu sio mchezo😁Haa haa just haa haa mtumbuaji katumbuliwa. Mungu fundi sana.
Una umri gani mkuu?Kama wakili Msomi ninaomba kuwashauri mawakili wa Serikali wakiongozwa na ndugu yangu Robert Kidando ambaye namheshimu sana, msifanye kazi kwa mazoea mtalitia taifa aibu.
Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.
Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.
Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.
Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.
Ni hayo tu.
Mimi nipo nje ya nchi. Naomba nisiitaje hiyo nchi, lakini kuna magwiji fulani ya mambo ya intelijensia wa nchi hii wamepewa kazi maalum ya kufuatilia kila kinachoendelea kwenye hiyo kesi. Nimewashuhudia kama mara nne hivi kila session ya kesi inapoisha wanafunga ukurasa wa taarifa zao huku wakitikisa kichwa. Kinachorekodiwa hapa ni nchi yetu na vyombo vyetu vya dola. Naipenda nchi yangu sana. Ningekuwa na mamlaka ningeamuru kesi hii ifie ilipofikia maana inaanika uozo mkubwa wa nchi yetu hasa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na uongozi wa nchi kwa ujumla. Rais Mama Samia alianza vizuri, lakini anakoelekea sielewi kwanini haoni hatari mbele!Kama wakili Msomi ninaomba kuwashauri mawakili wa Serikali wakiongozwa na ndugu yangu Robert Kidando ambaye namheshimu sana, msifanye kazi kwa mazoea mtalitia taifa aibu.
Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.
Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.
Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.
Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.
Ni hayo tu.
Ugaidi huwa ni kifungo cha maisha ama kunyongwa..sasa wanataka Mh. Mbowe atiwe haiani kwanushahidi huu wa uto...Kama wakili Msomi ninaomba kuwashauri mawakili wa Serikali wakiongozwa na ndugu yangu Robert Kidando ambaye namheshimu sana, msifanye kazi kwa mazoea mtalitia taifa aibu.
Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.
Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.
Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.
Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.
Ni hayo tu.
Hakuna atakayekwamini kwa kauli yako hii.Mimi nipo nje ya nchi. Naomba nisiitaje hiyo nchi, lakini kuna magwiji fulani ya mambo ya intelijensia wa nchi hii wamepewa kazi maalum ya kufuatilia kila kinachoendelea kwenye hiyo kesi. Nimewashuhudia kama mara nne hivi kila session ya kesi inapoisha wanafunga ukurasa wa taarifa zao huku wakitikisa kichwa. Kinachorekodiwa hapa ni nchi yetu na vyombo vyetu vya dola. Naipenda nchi yangu sana. Ningekuwa na mamlaka ningeamuru kesi hii ifie ilipofikia maana inaanika uozo mkubwa wa nchi yetu hasa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na uongozi wa nchi kwa ujumla. Rais Mama Samia alianza vizuri, lakini anakoelekea sielewi kwanini haoni hatari mbele!
Nani msafi kuliko Mbowe?Wewe ni msafi kiasi gani.Mama umepotea njiaBasically, kesi hii inamchafua mama sana. Nahisi kuna watu waliitengeneza mapema kabisa ili kumletea doa ambalo ni sustainable. Well, mbowe siyo kwamba ni msafi.
Ni mchafu tu lakini timing ni mbaya sana. Mawakili wa mbowe seem to be very very good players katika hii game.
Mama angehangaika na maisha ya mwananchi maskini na kuachana na haya yanayomwangusha. Hawa wananchi maskini ni wabaya kuliko hata ugaidi wenyewe.
Kwa sasa wameshaanza kumsema vibaya kuhusu bei za vitu kupanda na maisha kuwa magumu. Nchi hii ni very complex.
Wanafiki wengi sana plus deep state na ule mfumo mwingine wa kidunia ambao pia ni hatari zaidi.
Kumbe hadi tigo alikuwa anatindua? Nilidhani ni utekaji na mauwaji peke yake!Magu alitindua tigo yako!!.??
una hasira kisirani na chuki
Kila mmoja wetu abebe bango, sio tutegemee wati fulani ndio watubebee mabangoNatamani wale wabeba mabango wakakutane na mama huko huko mbele aliko.
Mtamtukana JPM bure jililieni ninyi na watoto wenu kwa uasi wenu.Lazima mkono wa sheriaMeko alikuwa zaidi ya shetani..
Mungu ni mwema sana, akalifyekelea mbali ..muuwaji mkubwa yule..
Wapi umewahi kuona mtu anakufa Nchi inalipuka kwa shangwe..?!
Kama inakuuma kajining'inize kwenye mti umfuate huko jehanam.