Mawaziri akiwemo Waziri Mkuu, wanalipwa perdiem wawapo Bungeni kwa kigezo gani ili hali wanakaa katika nyumba za Serikali Dodoma?

Mawaziri akiwemo Waziri Mkuu, wanalipwa perdiem wawapo Bungeni kwa kigezo gani ili hali wanakaa katika nyumba za Serikali Dodoma?

Hapana. Mawaziri hawalipwi perdiem wakiwa Dodoma kwa kuwa wapo nyumbani. Wabunge wengine wasio mawaziri ndio hulipwa perdiem. Pokea taarifa hiyo tafadhali
Mheshimiwa, Je Mh. Spika na naibu wake wanalipwa per Diem awapo bungeni?
 
Kuna watumishi wa umma wenye mshahara mathalani milioni 1.5, hawa nao wameambiwa wana mshahara mkubwa kwa hiyo nyongeza wanayostahili ni elf 20. Kama mil. 1.5 inawekwa kwenye category ya mshahara mkubwa basi hii nchi imeshatopea kwenye ufukara wa kutisha.......mimi nikadhani mishahara mikubwa ni ile inayoanzia mil. 15 hadi mil. 40 ambayo mingine ndo walikuwa wanajilipa kule NHC, kumbe na hizi mil. 1.5 hadi mil. 4 na yenyewe inaitwa mishahara mikubwa......basi twafwaaa........waacheni wajilipe night pasipo kusafiri nje ya kituo cha kazi maana wao mishahara yao ni midogo sana kuliko ile ya watumishi wa umma.
Kazi iendeleee
 
Back
Top Bottom