Mwisho wa akili zako ndio huuKwa hiyo waziri Mkuu Ni Sawa na Baba yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wa akili zako ndio huuKwa hiyo waziri Mkuu Ni Sawa na Baba yako.
Wewe Kitila huaminiki. Taarifa yako tunaipokea kwa mashakaHapana. Mawaziri hawalipwi perdiem wakiwa Dodoma kwa kuwa wapo nyumbani. Wabunge wengine wasio mawaziri ndio hulipwa perdiem. Pokea taarifa hiyo tafadhali
Mheshimiwa, Je Mh. Spika na naibu wake wanalipwa per Diem awapo bungeni?Hapana. Mawaziri hawalipwi perdiem wakiwa Dodoma kwa kuwa wapo nyumbani. Wabunge wengine wasio mawaziri ndio hulipwa perdiem. Pokea taarifa hiyo tafadhali
Mkuu tunawakumbusha tu waibe kwa staha wasipakue kama wanavyofanyaSasa hakuna sababu ya kuendelea kulaumu watu wanaoiba ikiwa tayari umeshafikia uamuzi huo !!
Duh ! Hatar sn !Mkuu tunawakumbusha tu waibe kwa staha wasipakue kama wanavyofanya
Sukuma gang wanakomeshwa.Unapoona watu wananajisi uchaguzi na kufanya mauji na uhayawani wa wazi, ni ili kupata hizo nafasi zenye ulaji wa kufuru.
Huwezi kuwazuiaDuh ! Hatar sn !
Kazi iendeleeeKuna watumishi wa umma wenye mshahara mathalani milioni 1.5, hawa nao wameambiwa wana mshahara mkubwa kwa hiyo nyongeza wanayostahili ni elf 20. Kama mil. 1.5 inawekwa kwenye category ya mshahara mkubwa basi hii nchi imeshatopea kwenye ufukara wa kutisha.......mimi nikadhani mishahara mikubwa ni ile inayoanzia mil. 15 hadi mil. 40 ambayo mingine ndo walikuwa wanajilipa kule NHC, kumbe na hizi mil. 1.5 hadi mil. 4 na yenyewe inaitwa mishahara mikubwa......basi twafwaaa........waacheni wajilipe night pasipo kusafiri nje ya kituo cha kazi maana wao mishahara yao ni midogo sana kuliko ile ya watumishi wa umma.