Tetesi: Mawaziri wa Kikwete: Lazaro Nyalandu, na Jumba la karibu milioni 600 Arusha!

Naona sasa itakuwa muda muafaka kwa Tume ya Maadili ya Viongozi kufanya kazi mkuu.
Miaka 5 baadae Wananchi wanaanza kufukua makaburi. Kuishi Tanzania kunahitaji maarifa na Nidhamu ya hali ya juu.
 
Tusiwe na double standard.
Ni nani tajiri kuliko Lowasa, Mkapa na wengine wengi.
Nyalandu ni mvuta raha tu na hajawekeza sana kwenye majumba kama hao niliowataja ambao wana majumba ya Kifahari nje ya Inchi.
Huko kwao Singida hatujasikia hata kama ana nyumba ya tembe ukiacha ya bati.
Ukisema kuhusu totos hapo atakuunga mkono na hana kificho anapokuwa nao.
 
Kwavile ameenda kumtembelea Lissu wameanza kumchonoa! duh
 
Baada ya Nyalandu kwenda kumjulia hali Lissu huko Nairobi hapa JF makaburi yake yanafukuliwa kwa kasi ya ajabu.
 
Naona sasa itakuwa muda muafaka kwa Tume ya Maadili ya Viongozi kufanya kazi mkuu.
Miaka 5 baadae Wananchi wanaanza kufukua makaburi. Kuishi Tanzania kunahitaji maarifa na Nidhamu ya hali ya juu.
nini kimekuvutia kwenye hili kaburi la mwaka 2012
 

Lakini kwa sasa Lazaro Nyalandu ni rafiki yenu chadema baada ya kuja Nairobi na kupiga picha na Lema na Msigwa
 
Mtatafuta nyuzi zoooote za Nyalandu kisa kwenda Nairobi na bado atawashangaza haswa maana sasa hivi mazungumzo ni kwenda kule Samaratian kwa watoto wa Lucky Vicent ndio mtatia akili. Go on Lazaro Go on Nyalandu............ achana na paka wanatoa shuzi la nyama za makombo bar...................
 
Dah baada ya nyarandu kwenda kumuona Lisu tutasikia mengi sana!
 



Uwe waziri tena uliye na exposure ya kutosha ushindwe kujenga nyumba na mshahara wako plus marupupu plus ubunge labda uwe na laana kama Bashite
 
Leo hii Nyalandu ni shujaa wenu chadema!
Uzi ulitoka 2012 iweje leo ndo uamke? All in all twende Lushoto tuangalie nyumba na mashamba ya Mkapa, twende nchi nzima tuwakague akina Kagasheki na wenzao wengi tu tukirudi mumkague huyu ndugu yenu Nyarandu. Huyu ana wafadhiri ndo maana aliweza kusaidia kupeleka watoto US kwa matibabu hategemei kodi zetu.
 
Nyalandu is the next generation brain you guys. Mtachonga sana lakini mwenzenu siyo wa kizazi hiki. Amewazidi mbali mno. Hangaikeni na shida zenu, huyu chalii mwacheni kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…