Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi watanzania lini tutaendelea?, mlitaka waziri asijenge?, je, mtampangishia nyumba katika maisha yake yote hata akiwa nje ya uongozi? Acheni wivu wa kike. Naomba mawaziri wote wajenge majumba ya zaidi ya shilingi Bn 3 ili wachonga midomo wachonge zaidi hadi midomo itanuke.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Wakuu,mimi binafsi sioni kujenga nyumba ni issue kwa hawa wateule wa jk,issue hapa ni gharama kubwa wanazotumia kujenga hizo nyumba.hii hali inanipa "question mark" ni kweli haya majumba wanayojenga wanaweza ku justfy pesa wanozojengea wanazipata wapi?
Je? Ni mishahara na posho tu kweli? Kamati ya maadili ipo wapi?
Kwani ukiwa chadema Ni dhambi Kamanda?Una uhakika mimi chadema? Unaweza nitajia namba ya kadi yangu? Nawewe uweke akiba ya maneno usihukumu mtu kama humjui itikadi yake wala hujawahi kutana naye kwenye mikutano. Sina chama na sihitaji chama chochote kuishi nchini mwangu.
Baada ya mawaziri wawili wa JK kuhusishwa na umiliki wa majumba/makazi ya mamilioini ya shilingi muda mfupi tu baada ya kushika nafasi zao Waziri mwingine anatajwa kumilimi jumba kubwa ambalo vyanzo vyetu vinakisia thamani yake kuwa ni zaidi ya nusu bilioni. Kutokana na vyanzo hivyo vya kuamika jumba hilo liko kwenye Elkirevi, Kitongoji cha Olorukwa.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya ndani kabisa eneo hilo linadaiwa kuwa lilipatikana baada ya Bw. Nyalandu kununua ardhi yenye eneo la Eka 3 hivi kutoka kwa wanavijiji watano. Jumba lenyewe limejengwa chini ya mwaka mmoja na kukamilikama mwishoni mwa 2011. Jumba limezungushwa na ukuta wa karibu futi 10 na juu yake inadaiwa limewekwa waya wa umeme (electric fence)
Ni kwenye jumba hili ambapo Bw. Nyalandu alifanyia Sherehe ya Mwaka mpya na bila ya shaka ilikuwa ni 'house warming' party. Taarifa hizi zinaendana na zile za mawaziri wengine ambao tayari habari zao za umiliki wa majumba yenye thamani kubwa kuliko vipato vyao na walizopata ndani ya muda mfupi baada ya kuingia madarakani. Mawaziri wengine ni Bw. Maige na Ngeleja ambao wote thamani ya nyumba zao zinakaribia shilingi bilioni 1!
Hata hivyo hadi hivi sasa Tume ya Maadili ya Viongozi haijaonesha kujua mambo haya wala kufuatilia na kuyaweka wazi kama wanazo taarifa na kama kweli vyote hivyo vinaendana na mishahara yao.
Mi nashangaa mtu unaamka asubuhi asubuhi unaanza kujadili mali za mwanaume mwenzako. Pigana nawe upate, kila kitu kinawezekena. Kuna nyumba nyingi sana zenye thamani zaid ya hiyo na zinamilikiwa na raia wa kawaida. Kuwa na nyumba nzuri siyo lazima uwe waziri au kiongozi serikalini. Hapa sion kama Nyalandu kumiliki hiyo nyumba ni big issue, hata wewe unaweza kumiliki. Chamuhimu ni kuacha bla bla na kufanya kazi kwa bidii.
HII NI KWA AJILI TU AMEMCHANGIA LISSU AMBAYE NI KAMA NDUGUYE TOKA SINGIDA NA PIA NI MTANZANIA MWENZIE WACHENI UJINGA WENU OYEEzaidi ya mshahara wa waziri na posho zake ambazo haziwezi zidi m7 kwa mwezi. Kuna kipato gani zaidi cha kumuwezesha mtu kujenga nyumba ya b1 kwa kuzingatia na maisha mengine yanaendelea?
Baada ya Nyalandu kwenda kumjulia hali Lissu huko Nairobi hapa JF makaburi yake yanafukuliwa kwa kasi ya ajabu.
Yaani Huu ni wivu na uchonganishi ., nyumba ya Nyalando naifahamu ni nyumba kubwa lakini ya kawaida , na kwa status ya Nyalandu ni nyumba anayostahili kuishi . Acha wivu na uchonganishi Mganga wa kienyeji ww , unapigia wenzanko ramli tu, kama umeshindwa kufanikiwa endelea kubanana kwenye nyumba za kuoangashi na uache wenzanko waishi.Baada ya mawaziri wawili wa JK kuhusishwa na umiliki wa majumba/makazi ya mamilioini ya shilingi muda mfupi tu baada ya kushika nafasi zao Waziri mwingine anatajwa kumilimi jumba kubwa ambalo vyanzo vyetu vinakisia thamani yake kuwa ni zaidi ya nusu bilioni. Kutokana na vyanzo hivyo vya kuamika jumba hilo liko kwenye Elkirevi, Kitongoji cha Olorukwa.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya ndani kabisa eneo hilo linadaiwa kuwa lilipatikana baada ya Bw. Nyalandu kununua ardhi yenye eneo la Eka 3 hivi kutoka kwa wanavijiji watano. Jumba lenyewe limejengwa chini ya mwaka mmoja na kukamilikama mwishoni mwa 2011. Jumba limezungushwa na ukuta wa karibu futi 10 na juu yake inadaiwa limewekwa waya wa umeme (electric fence)
Ni kwenye jumba hili ambapo Bw. Nyalandu alifanyia Sherehe ya Mwaka mpya na bila ya shaka ilikuwa ni 'house warming' party. Taarifa hizi zinaendana na zile za mawaziri wengine ambao tayari habari zao za umiliki wa majumba yenye thamani kubwa kuliko vipato vyao na walizopata ndani ya muda mfupi baada ya kuingia madarakani. Mawaziri wengine ni Bw. Maige na Ngeleja ambao wote thamani ya nyumba zao zinakaribia shilingi bilioni 1!
Hata hivyo hadi hivi sasa Tume ya Maadili ya Viongozi haijaonesha kujua mambo haya wala kufuatilia na kuyaweka wazi kama wanazo taarifa na kama kweli vyote hivyo vinaendana na mishahara yao.
kama hiyo namba ni sahihi basi kazi ipo.
sawa,ila naweza nikawa namfahamu background yake vyema tu hata kukuzidi.Haaaa! kweli umasikini mzigo 600m inaonekana kahujumu lo! ni ndogo sana kwa waziri na hujui alisave miaka mingapi kama ww kila ukipata unatumbua hutaelewa.
Siyo ila siyo vizuri watu wakisoma kuwa umekwenda tofauti nao wanakubambika vyama. By the way Mbona siku hizi CUF hawaitaji au NCCR mageuzi au vimekufa?Kwani ukiwa chadema Ni dhambi Kamanda?
mzee mwenzangu huu uzi wa 2012 banaNyalandju sasa atazushiwa mpaka ugoni na mbuzi sababu tu kawaza tofauti na wenziye! Plastic hearted nation we are.....
kweli1.Jumba lenyewe hata picha hamna
2.Watumishi ni sawa na watu wengine sio dhambi kuwa na nyumba ya kuishi kwa taste ya mtu
3.Ni maono na mapenzi yenu watumishi waishi NHC HOUSES MAISHA YOTE
4.Tujiongeze na kuweka thread zenye mashiko.....