structuralist
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,230
- 907
Watanzania wakati mwingine hatuwi makini. Huu uzi ni wa toka 2012, lakini wengi wetu tunadhani ni wa juzi juzi.
Pili, hakuna dhambi kwa waziri kumiliki nyumba nzuri kama tu hakutumia wadhifa wake na mali za umma katika kujenga nyumba hiyo ama katika kufanya maendeleo.
Kiongozi akishitumiwa ni wajibu wake kuthibitisha kuwa alipata mali hizo kihalali. Hizi hoja nyepesi za kusema watu wana wivu kwa kuhoji mali ya mtu fulani, hazitufikirishi na haziwafanyi viongozi wetu kuwa wawajibikaji. Jambo muhimu ni kuwa tusiingize maslahi yetu ama ya vyama katika kutetea maovu ama katika kujenga taaswira ya maovu ili Hali hayapo.
Pili, hakuna dhambi kwa waziri kumiliki nyumba nzuri kama tu hakutumia wadhifa wake na mali za umma katika kujenga nyumba hiyo ama katika kufanya maendeleo.
Kiongozi akishitumiwa ni wajibu wake kuthibitisha kuwa alipata mali hizo kihalali. Hizi hoja nyepesi za kusema watu wana wivu kwa kuhoji mali ya mtu fulani, hazitufikirishi na haziwafanyi viongozi wetu kuwa wawajibikaji. Jambo muhimu ni kuwa tusiingize maslahi yetu ama ya vyama katika kutetea maovu ama katika kujenga taaswira ya maovu ili Hali hayapo.