Tetesi: Mawaziri wa Kikwete: Lazaro Nyalandu, na Jumba la karibu milioni 600 Arusha!

Tetesi: Mawaziri wa Kikwete: Lazaro Nyalandu, na Jumba la karibu milioni 600 Arusha!

Watanzania wakati mwingine hatuwi makini. Huu uzi ni wa toka 2012, lakini wengi wetu tunadhani ni wa juzi juzi.
Pili, hakuna dhambi kwa waziri kumiliki nyumba nzuri kama tu hakutumia wadhifa wake na mali za umma katika kujenga nyumba hiyo ama katika kufanya maendeleo.

Kiongozi akishitumiwa ni wajibu wake kuthibitisha kuwa alipata mali hizo kihalali. Hizi hoja nyepesi za kusema watu wana wivu kwa kuhoji mali ya mtu fulani, hazitufikirishi na haziwafanyi viongozi wetu kuwa wawajibikaji. Jambo muhimu ni kuwa tusiingize maslahi yetu ama ya vyama katika kutetea maovu ama katika kujenga taaswira ya maovu ili Hali hayapo.
 
Wakiwa huko ccm mnawakumbatia sana na kuwakinga kama wakina chenge hata nae akienda kumjulia hali TL mtamuundia uzi
 
  • Thanks
Reactions: bht
Hii ni hatari,tunge msamwel doe huyu laana mkubwa jk.Jamani wtz tuungane kupinga ufisadi kwa vitendo.
Hata huyo Hashim Lundenga boss wa mamiss basi angekuwa na hekalu kama hizo pesa zilitokana na umiss
 
Siyo ila siyo vizuri watu wakisoma kuwa umekwenda tofauti nao wanakubambika vyama. By the way Mbona siku hizi CUF hawaitaji au NCCR mageuzi au vimekufa?
Vyote hivyo vimemezwa na chadema kwenye ule utapeli wa ukawa
 
Milioni 600 wewe unaona ni pesa? Mbona huandiki kuhusu mikataba mibovu ya serikali gas na madini nani wa kustahili kushtakiwa? Unaelewa hasara ambayo nchi imepata? Rais aliyepita aliwahi kusema gas ikifika kinyerezi tatizo la umeme litakuwa ni historia kiko wapi sasa? tuna gas nyingi ya kuzalisha umeme na kwa matumizi mengine tuna mambwa ya kuzalisha umeme lkn mpk sasa umeme ni shida siyo wa uhakika kwanza ungetakiwa umuombe radhi mh nyalandu
Baada ya mawaziri wawili wa JK kuhusishwa na umiliki wa majumba/makazi ya mamilioini ya shilingi muda mfupi tu baada ya kushika nafasi zao Waziri mwingine anatajwa kumilimi jumba kubwa ambalo vyanzo vyetu vinakisia thamani yake kuwa ni zaidi ya nusu bilioni. Kutokana na vyanzo hivyo vya kuamika jumba hilo liko kwenye Elkirevi, Kitongoji cha Olorukwa.

Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya ndani kabisa eneo hilo linadaiwa kuwa lilipatikana baada ya Bw. Nyalandu kununua ardhi yenye eneo la Eka 3 hivi kutoka kwa wanavijiji watano. Jumba lenyewe limejengwa chini ya mwaka mmoja na kukamilikama mwishoni mwa 2011. Jumba limezungushwa na ukuta wa karibu futi 10 na juu yake inadaiwa limewekwa waya wa umeme (electric fence)

Ni kwenye jumba hili ambapo Bw. Nyalandu alifanyia Sherehe ya Mwaka mpya na bila ya shaka ilikuwa ni 'house warming' party. Taarifa hizi zinaendana na zile za mawaziri wengine ambao tayari habari zao za umiliki wa majumba yenye thamani kubwa kuliko vipato vyao na walizopata ndani ya muda mfupi baada ya kuingia madarakani. Mawaziri wengine ni Bw. Maige na Ngeleja ambao wote thamani ya nyumba zao zinakaribia shilingi bilioni 1!


Hata hivyo hadi hivi sasa Tume ya Maadili ya Viongozi haijaonesha kujua mambo haya wala kufuatilia na kuyaweka wazi kama wanazo taarifa na kama kweli vyote hivyo vinaendana na mishahara yao.
 
Milioni 600 wewe unaona ni pesa? Mbona huandiki kuhusu mikataba mibovu ya serikali gas na madini nani wa kustahili kushtakiwa? Unaelewa hasara ambayo nchi imepata? Rais aliyepita aliwahi kusema gas ikifika kinyerezi tatizo la umeme litakuwa ni historia kiko wapi sasa? tuna gas nyingi ya kuzalisha umeme na kwa matumizi mengine tuna mambwa ya kuzalisha umeme lkn mpk sasa umeme ni shida siyo wa uhakika kwanza ungetakiwa umuombe radhi mh nyalandu
Hiyo ni bajeti ya afya ya wilaya kwa mwaka mzima
 
Baada ya mawaziri wawili wa JK kuhusishwa na umiliki wa majumba/makazi ya mamilioini ya shilingi muda mfupi tu baada ya kushika nafasi zao Waziri mwingine anatajwa kumilimi jumba kubwa ambalo vyanzo vyetu vinakisia thamani yake kuwa ni zaidi ya nusu bilioni. Kutokana na vyanzo hivyo vya kuamika jumba hilo liko kwenye Elkirevi, Kitongoji cha Olorukwa.

Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya ndani kabisa eneo hilo linadaiwa kuwa lilipatikana baada ya Bw. Nyalandu kununua ardhi yenye eneo la Eka 3 hivi kutoka kwa wanavijiji watano. Jumba lenyewe limejengwa chini ya mwaka mmoja na kukamilikama mwishoni mwa 2011. Jumba limezungushwa na ukuta wa karibu futi 10 na juu yake inadaiwa limewekwa waya wa umeme (electric fence)

Ni kwenye jumba hili ambapo Bw. Nyalandu alifanyia Sherehe ya Mwaka mpya na bila ya shaka ilikuwa ni 'house warming' party. Taarifa hizi zinaendana na zile za mawaziri wengine ambao tayari habari zao za umiliki wa majumba yenye thamani kubwa kuliko vipato vyao na walizopata ndani ya muda mfupi baada ya kuingia madarakani. Mawaziri wengine ni Bw. Maige na Ngeleja ambao wote thamani ya nyumba zao zinakaribia shilingi bilioni 1!


Hata hivyo hadi hivi sasa Tume ya Maadili ya Viongozi haijaonesha kujua mambo haya wala kufuatilia na kuyaweka wazi kama wanazo taarifa na kama kweli vyote hivyo vinaendana na mishahara yao.
Bila vielelezo kama picha na kadhalika............basi hiyo itakuwa simulizi za kutunga kama zinazowekwagwa 'FONT PAGE' za kwenye magazeti ya Tanzanite la Musiba na lile la Habibu Mnyaa Jamvi la habari
 
Bila vielelezo kama picha na kadhalika............basi hiyo itakuwa simulizi za kutunga kama zinazowekwagwa 'FONT PAGE' za kwenye magazeti ya Tanzanite la Musiba na lile la Habibu Mnyaa Jamvi la habari
Nilishakujulisheni...kuwa makini na ID zenyezaidi ya miaka 10 JF halafu zina post si zaidi ya elfu...nyingi ya ID hizi si za ' kitoto ' ( nimeeleweka)
 
Back
Top Bottom