Tetesi: Mawaziri wa Kikwete: Lazaro Nyalandu, na Jumba la karibu milioni 600 Arusha!

1.Jumba lenyewe hata picha hamna
2.Watumishi ni sawa na watu wengine sio dhambi kuwa na nyumba ya kuishi kwa taste ya mtu
3.Ni maono na mapenzi yenu watumishi waishi NHC HOUSES MAISHA YOTE
4.Tujiongeze na kuweka thread zenye mashiko.....
 

Ushauri wako naamini watauzingatia. Ingawa sijui ni kiasi gani Ngosha atakubaliana nao.
 
Kumiliki nyumba nayo ni hoja nzito ya kujadili??? Unajua mkulu ana miliki mijumba ya aina gan?? Na mawaziri wengine ..
Hoja yako iko weak.
 

Wakati wa JK tuliambiwa tuna wivu. It is only now tunajua kwamba walikuwa wanaiba pesa zetu kwa 10% ya mikataba mbali mbali ya serikali.

Wizi wa mali ya umma hauwezi kumuacha mtu salama. Siyo enzi hizi.
 
Una uhakika mimi chadema? Unaweza nitajia namba ya kadi yangu? Nawewe uweke akiba ya maneno usihukumu mtu kama humjui itikadi yake wala hujawahi kutana naye kwenye mikutano. Sina chama na sihitaji chama chochote kuishi nchini mwangu.
Kwani ukiwa chadema Ni dhambi Kamanda?
 

WW kweli unashangaza waziri kuwa na nyumba ya hiyo hela unaona kahujumu wivu tu unakusumbua.unafahamu akisafiri kwa siku alikuwa anapata gapi acha kijicho bwana! Pambana na hali yako.
 

Haaaaaa! Umeonaee wivu tu hajaona hata wafanyabiashara wana mijengo ya maana zaidi ya hiyo anayosema pambana usiwaze kupigia hesabu mali za watu.
 
Mtu amekaa Kwenye ubunge zaidi ya Miaka 5 na uwaziri Miaka 10.Ingekuwa nyumba inajengwa mfukoni tungesema haikuonekana Wakati inajengwa.kujenga siyo dhambi ila dhambi ni Kama hela imepatikana Ktk njia chafu..
 
zaidi ya mshahara wa waziri na posho zake ambazo haziwezi zidi m7 kwa mwezi. Kuna kipato gani zaidi cha kumuwezesha mtu kujenga nyumba ya b1 kwa kuzingatia na maisha mengine yanaendelea?
HII NI KWA AJILI TU AMEMCHANGIA LISSU AMBAYE NI KAMA NDUGUYE TOKA SINGIDA NA PIA NI MTANZANIA MWENZIE WACHENI UJINGA WENU OYEE
NYALANDU SASA HAPA NDO TUTAJUA AKILI ZA BOSSI WENUI ANA AKILI YA PH AMA NINI LETA POPCORN
 
Yaani Huu ni wivu na uchonganishi ., nyumba ya Nyalando naifahamu ni nyumba kubwa lakini ya kawaida , na kwa status ya Nyalandu ni nyumba anayostahili kuishi . Acha wivu na uchonganishi Mganga wa kienyeji ww , unapigia wenzanko ramli tu, kama umeshindwa kufanikiwa endelea kubanana kwenye nyumba za kuoangashi na uache wenzanko waishi.

Halafu Mods Muwe mnaangalia , Jamii Forum isiwe mahala pa kuchafua majina ya watu kwa vile tu wao hawapo huku others thread kama hii wala isingepaswa kuendelea kuwapo
 
Hv hamjui wabunge /mawaziri hukopeshwa tena hela ndefu ya yale ma vx, Vp na kile kiinua mgongo alichopata baada ya kumaliza muda wake? posho za waziri, per diem? Aisee pambaneni na hali zenu hakuna waziri wala katibu mkuu masikini nchi hii
 
kama hiyo namba ni sahihi basi kazi ipo.



Haaaa! kweli umasikini mzigo 600m inaonekana kahujumu lo! ni ndogo sana kwa waziri na hujui alisave miaka mingapi kama ww kila ukipata unatumbua hutaelewa.
 
Haaaa! kweli umasikini mzigo 600m inaonekana kahujumu lo! ni ndogo sana kwa waziri na hujui alisave miaka mingapi kama ww kila ukipata unatumbua hutaelewa.
sawa,ila naweza nikawa namfahamu background yake vyema tu hata kukuzidi.
 
Nyalandju sasa atazushiwa mpaka ugoni na mbuzi sababu tu kawaza tofauti na wenziye! Plastic hearted nation we are.....
 
Kwani ukiwa chadema Ni dhambi Kamanda?
Siyo ila siyo vizuri watu wakisoma kuwa umekwenda tofauti nao wanakubambika vyama. By the way Mbona siku hizi CUF hawaitaji au NCCR mageuzi au vimekufa?
 
Tutasikia kila baya la Nyalandu kisa kaenda Nairobi,. Anayetaka kwenda Nairob kwanza aikane nafsi yake.
 
1.Jumba lenyewe hata picha hamna
2.Watumishi ni sawa na watu wengine sio dhambi kuwa na nyumba ya kuishi kwa taste ya mtu
3.Ni maono na mapenzi yenu watumishi waishi NHC HOUSES MAISHA YOTE
4.Tujiongeze na kuweka thread zenye mashiko.....
kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…