Mawaziri wa ulinzi wa ECOWAS tayari wamekubaliana kupeleka jeshi Niger. Je, wanamapinduzi watamudu?

Mawaziri wa ulinzi wa ECOWAS tayari wamekubaliana kupeleka jeshi Niger. Je, wanamapinduzi watamudu?

Ila Population ya ISRAEL ni kubwa kuliko Tanzania si ndio.... Ikija Kwa Israel mnawasifu ila hawa mnawacheka Wachache unanishawishi kukuita mjinga kiongozi...mnakuwaga na akili za kitoto sana likijaga suala la Marekani na West sijui waliwapa maujinga gani aseee mpaka mnashindwa kushirikiaha Halmashauri za Vichwa vyenu....
Yani acha kabisa sijui hata alichokiandika alitafakari.
 
Ila Population ya ISRAEL ni kubwa kuliko Tanzania si ndio.... Ikija Kwa Israel mnawasifu ila hawa mnawacheka Wachache unanishawishi kukuita mjinga kiongozi...mnakuwaga na akili za kitoto sana likijaga suala la Marekani na West sijui waliwapa maujinga gani aseee mpaka mnashindwa kushirikiaha Halmashauri za Vichwa vyenu....
Kuna watu vichwa vyao ni makabati ya kuhifadhia meno. Msamehe tu.
 
We unatumia nguvu nyingi kutukana badala ya kuelewa mada husika
Hapa tunajadili ujinga wao kupindua nchi ambayp Rais aliteuliwa kwa kura

Hao Israel unawasikia tu mimi nimeishaenda Tel Aviv na nilivuka port aqaba miaka 40 iliyopita na wewe unaisoma kwenye magazeti tu

Tumia akili kidogo tu hivi umekulia kwa baba mlevi aliekuwa anawapiga mpaka mama yenu ama

Mbona unakuwa na mdomo mchafu hivi kama umekulia jalalani wewe

Hunijui ni kama unatukana robot tu tunaweza kujibishana mpaka kesho na usinijue niko wapi au naishije Nami pia sikujui ila kwa maneno yako haya umeniridhisha nikujue ni chokoraa tu usie na maadili tena maskini wa akili na maisha pia
Na kweli mtoto wa nzi unaeishi chooni
I'm not gonna argue with a fool
Mkuu msamehe bure hawa vijana wana arguments za kishenzi sana hawajali wengine ni wastaarabu humu ndani. Mtu badala ajadiri hoja ana attack personality ya mtu.
 
Mkuu msamehe bure hawa vijana wana arguments za kishenzi sana hawajali wengine ni wastaarabu humu ndani. Mtu badala ajadiri hoja ana attack personality ya mtu.
Nashukuru mkuu
Unaweza ukakuta hata ka nzi ni kajukuu tu
Yaani kuna machokoraa humu halafu wanajijua kabisa
Kweli kama sio chokoraa utajiitaje mtoto wa Nzi kama sio laana hizo

Siwezi kujibishana nae tena
Humu naheshimu sana watu kwa sababu kuna wajukuu zangu pia ila anaenitukana siwezi kumuacha ila ntampa ukweli wake
Asante sana mkuu kwa upande wangu nimefunga huu mzozo siwezi jibu tena
Anaongelea Israel mara [emoji631] sasa mimi ni mmarekani
 
Na wakishindwa itakuwaje?
Hakuna kitakacho washinda pale, zaidi ni kwamba escalation itaenda mpaka kwenye nchi nyingine zilizoganya mapinduzi ya kijeshi.
Sema kutakua na ukatili wa hali ya juu dhidi ya waasi ili kupeleka ujumbe kwa viongozi wengine wa kijeshi wanaofikiria kufanya mapinduzi wajiulize mara tatu hadi tano.
 
Mali na Burkina Faso matumbo moto maana kama Ecowas watafanikiwa kuwakamata hao wanajeshi wa Niger basi nao wajiandae kuondoka madarakani

Yaani nchi zote Tatu population yao kama Tz
Hawa ni kuwachapa tu tena na Bongo tupeleke jeshi au mnasemaje
Idadi ya raia ndiyo nini una vifaa gani na jeshi gani ndiyo msingi
Ukubwa wa eneo la nchi na idadi ya watu havihusiani
 
Hakuna kitakacho washinda pale, zaidi ni kwamba escalation itaenda mpaka kwenye nchi nyingine zilizoganya mapinduzi ya kijeshi.
Sema kutakua na ukatili wa hali ya juu dhidi ya waasi ili kupeleka ujumbe kwa viongozi wengine wa kijeshi wanaofikiria kufanya mapinduzi wajiulize mara tatu hadi tano.
Napia waza mapigano yanaweza Hamia kwenye nchi kama Nigeria, kama kumtuliza nikumshambulia kwake, bahati nzuri au mbaya Wagner wamewasili Niger.
 
Back
Top Bottom