We unatumia nguvu nyingi kutukana badala ya kuelewa mada husika
Hapa tunajadili ujinga wao kupindua nchi ambayp Rais aliteuliwa kwa kura
Hao Israel unawasikia tu mimi nimeishaenda Tel Aviv na nilivuka port aqaba miaka 40 iliyopita na wewe unaisoma kwenye magazeti tu
Tumia akili kidogo tu hivi umekulia kwa baba mlevi aliekuwa anawapiga mpaka mama yenu ama
Mbona unakuwa na mdomo mchafu hivi kama umekulia jalalani wewe
Hunijui ni kama unatukana robot tu tunaweza kujibishana mpaka kesho na usinijue niko wapi au naishije Nami pia sikujui ila kwa maneno yako haya umeniridhisha nikujue ni chokoraa tu usie na maadili tena maskini wa akili na maisha pia
Na kweli mtoto wa nzi unaeishi chooni
I'm not gonna argue with a fool