Mawaziri wa ulinzi wa ECOWAS tayari wamekubaliana kupeleka jeshi Niger. Je, wanamapinduzi watamudu?

Mawaziri wa ulinzi wa ECOWAS tayari wamekubaliana kupeleka jeshi Niger. Je, wanamapinduzi watamudu?

Hali inaonesha Mpango wa ecowas utakuwa mgumu maana idadi kubwa ya wananchi wa Niger wenyewe wanayaunga mkono mapinduzi, pili Russia nae yuko nao pamoja wakat huo huo huko Niger kuna takriban wanajeshi wa Ufaransa 1,500 na jeshi la Marekan pia lipo kwa ukubwa km huo na wote wanaunga mkono serikali iliyopinduliwa huku ikizingatiwa kuwa hayo majeshi ya kigeni ni moto na moshi na Russia. Kwa ujumla hali itakuwa mbaya, kwa vile muda wa mwisho ni leo tusubiri kesho kuskia kitakachojili.
 
Ishu sio ecowas. Ishu ni Nigeria anavyotumika. Na yeye ndio anawaburuza wenzie huko west. Wazungu wanataka kujenga Bomba LA gesi kutoka Nigeria to Mediterranean Sea kupitia Niger kwenda Ulaya. So waachane na gesi ya russia. So putin kawawahi kwa mbele na hili limewakera. We hujiulizi mbona hawajapeleka jeshi Mali au Burkina Faso. Lakini Niger wanakuwa na kiherehere. Ishu ni huyo Nigeria ambaye ameshidwa kumalizana na boko haramu kiasi kwamba hapo Niger Kuna raia wake kama laki 3 kama wakimbizi badala ya kuangalia namalizaje Hawa BoKo eti anaenda kuivamia nchi ambayo imepokea raia wake.
France anajua bila hizo nchi hali yake ya kunyonya Africa ndio itakuwa mwisho. Na Hana njia nyingine zaidi ya vita. Na kwenda mwenyewe front hataki sababu wenzetu wanavalue sana uhai WA watu wao. Ila sisi ngozi nyeusi ni shida sana.... So Nigerians will die just to make white man happy
Hebu tuambie ECOWAS walivyolazimisha Rais wa Chad aondoke baada ya kushindwa uchaguzi kulikuwa na maslahi gani ya wazungu?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Bora uongozwe na fisad SSH kuliko mwanajeshi , wanajeshi ni htr na madaraka na sheria huwa mkonon
Kwa kuwa mpo jikoni mnajipakulia minyama ...mirija inazibwa mnaanza kulalama.... Mabeyo aliniudhi sana .. yaaani palepale Magufuli alipopiga tuta alikuwa atunyooshee kidogo nchi...
 
Miemko na tamaa Ya viongoz itawatesa wananchi masikini wa Niger
 
Back
Top Bottom