Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao Magharibi mbona wameshindwa Ukraine na Allepo SyriaHao wa Niger wanaenda kupigwa asubuhi na mapema. Chezea maslahi ya wamagharibi wewe
Bora fisadi kuliko mwanajeshi kuongoza nchi hao huwekeza nguv kwenye jeshi na kuminya uhuru wa watu kbs ili wabakie madarakanHila viongozi wa africa wanazingua sn hyo niger ina resources kibao lakini ufaransa anajizolea tu wanalipa wanavyotaka wao huku viongozi wana kazi ya kuombaomba tu
Hao wagner wawe makin sasa🪖 Several Wagner Group "consultants" arrived in Niger from Mali today.
Bora uongozwe na fisad SSH kuliko mwanajeshi , wanajeshi ni htr na madaraka na sheria huwa mkononIla Population ya ISRAEL ni kubwa kuliko Tanzania si ndio.... Ikija Kwa Israel mnawasifu ila hawa mnawacheka Wachache unanishawishi kukuita mjinga kiongozi...mnakuwaga na akili za kitoto sana likijaga suala la Marekani na West sijui waliwapa maujinga gani aseee mpaka mnashindwa kushirikiaha Halmashauri za Vichwa vyenu....
Kweli kabisa mkuu ila kumbuka wakianzisha vita watajivurugia urafiki wao na nchi jirani pia uchumiIdadi ya raia ndiyo nini una vifaa gani na jeshi gani ndiyo msingi
Ukubwa wa eneo la nchi na idadi ya watu havihusiani
Zaidi wataishia kurudi na matobo😂😂😂HAWAWEZI KUTOBOA
Yes, it's obvious kuwa Wagner ndiyo wanao coordinate Mapunduzi pale, ili ule ukande utawaliwe Kijeshi na ndicho ambacho Russia anachojaribu kukifanya ili aitawale Afrika.Napia waza mapigano yanaweza Hamia kwenye nchi kama Nigeria, kama kumtuliza nikumshambulia kwake, bahati nzuri au mbaya Wagner wamewasili Niger.
AiseeUtashangaa ccm wanachangia sana hii mada.
Unafahamu kuwa Katika Nchi za Ulaya Magharibi Ufaransa ndio wako hoi bin taaban kwa sasa?Hakuna kitu kama hicho,Ufaransa hata Mali waliondoka bila tatizo kabisa.Ufaransa wana tons of Dhahabu kwenye hifadhi zao huko Paris na kwingineko. Unajua Ufaransa waliiba sana Africa sema hawatosheki tu.
Hoi kiaje sasa?Au unamsema Italia ,Spain na Portugal huko?Ulaya Magharibi inajulikana Ujerumani ndo baba lao,anafuatia UK then wa tatu France.Unafahamu kuwa Katika Nchi za Ulaya Magharibi Ufaransa ndio wako hoi bin taaban kwa sasa?
wapi alipo Mrusi Marekani & it`s allies wanashinda vita?Hakuna kitakacho washinda pale, zaidi ni kwamba escalation itaenda mpaka kwenye nchi nyingine zilizoganya mapinduzi ya kijeshi.
Sema kutakua na ukatili wa hali ya juu dhidi ya waasi ili kupeleka ujumbe kwa viongozi wengine wa kijeshi wanaofikiria kufanya mapinduzi wajiulize mara tatu hadi tano.
Ishu sio ecowas. Ishu ni Nigeria anavyotumika. Na yeye ndio anawaburuza wenzie huko west. Wazungu wanataka kujenga Bomba LA gesi kutoka Nigeria to Mediterranean Sea kupitia Niger kwenda Ulaya. So waachane na gesi ya russia. So putin kawawahi kwa mbele na hili limewakera. We hujiulizi mbona hawajapeleka jeshi Mali au Burkina Faso. Lakini Niger wanakuwa na kiherehere. Ishu ni huyo Nigeria ambaye ameshidwa kumalizana na boko haramu kiasi kwamba hapo Niger Kuna raia wake kama laki 3 kama wakimbizi badala ya kuangalia namalizaje Hawa BoKo eti anaenda kuivamia nchi ambayo imepokea raia wake.