Mawaziri wa ulinzi wa ECOWAS tayari wamekubaliana kupeleka jeshi Niger. Je, wanamapinduzi watamudu?

Yani acha kabisa sijui hata alichokiandika alitafakari.
 
Kuna watu vichwa vyao ni makabati ya kuhifadhia meno. Msamehe tu.
 
Mkuu msamehe bure hawa vijana wana arguments za kishenzi sana hawajali wengine ni wastaarabu humu ndani. Mtu badala ajadiri hoja ana attack personality ya mtu.
 
Let's wait and see... kama kuna watu wanadhani vita itapiganiwa pale Niger tu watakua wanakosea sana.. binafsi sioni nchi kama Nigeria ita risk kiasi hicho. Ni lazima ajue Niger ina backup ya nani?
 
Mkuu msamehe bure hawa vijana wana arguments za kishenzi sana hawajali wengine ni wastaarabu humu ndani. Mtu badala ajadiri hoja ana attack personality ya mtu.
Nashukuru mkuu
Unaweza ukakuta hata ka nzi ni kajukuu tu
Yaani kuna machokoraa humu halafu wanajijua kabisa
Kweli kama sio chokoraa utajiitaje mtoto wa Nzi kama sio laana hizo

Siwezi kujibishana nae tena
Humu naheshimu sana watu kwa sababu kuna wajukuu zangu pia ila anaenitukana siwezi kumuacha ila ntampa ukweli wake
Asante sana mkuu kwa upande wangu nimefunga huu mzozo siwezi jibu tena
Anaongelea Israel mara [emoji631] sasa mimi ni mmarekani
 
Na wakishindwa itakuwaje?
Hakuna kitakacho washinda pale, zaidi ni kwamba escalation itaenda mpaka kwenye nchi nyingine zilizoganya mapinduzi ya kijeshi.
Sema kutakua na ukatili wa hali ya juu dhidi ya waasi ili kupeleka ujumbe kwa viongozi wengine wa kijeshi wanaofikiria kufanya mapinduzi wajiulize mara tatu hadi tano.
 
Mali na Burkina Faso matumbo moto maana kama Ecowas watafanikiwa kuwakamata hao wanajeshi wa Niger basi nao wajiandae kuondoka madarakani

Yaani nchi zote Tatu population yao kama Tz
Hawa ni kuwachapa tu tena na Bongo tupeleke jeshi au mnasemaje
Idadi ya raia ndiyo nini una vifaa gani na jeshi gani ndiyo msingi
Ukubwa wa eneo la nchi na idadi ya watu havihusiani
 
Napia waza mapigano yanaweza Hamia kwenye nchi kama Nigeria, kama kumtuliza nikumshambulia kwake, bahati nzuri au mbaya Wagner wamewasili Niger.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…