Ishu sio ecowas. Ishu ni Nigeria anavyotumika. Na yeye ndio anawaburuza wenzie huko west. Wazungu wanataka kujenga Bomba LA gesi kutoka Nigeria to Mediterranean Sea kupitia Niger kwenda Ulaya. So waachane na gesi ya russia. So putin kawawahi kwa mbele na hili limewakera. We hujiulizi mbona hawajapeleka jeshi Mali au Burkina Faso. Lakini Niger wanakuwa na kiherehere. Ishu ni huyo Nigeria ambaye ameshidwa kumalizana na boko haramu kiasi kwamba hapo Niger Kuna raia wake kama laki 3 kama wakimbizi badala ya kuangalia namalizaje Hawa BoKo eti anaenda kuivamia nchi ambayo imepokea raia wake.
France anajua bila hizo nchi hali yake ya kunyonya Africa ndio itakuwa mwisho. Na Hana njia nyingine zaidi ya vita. Na kwenda mwenyewe front hataki sababu wenzetu wanavalue sana uhai WA watu wao. Ila sisi ngozi nyeusi ni shida sana.... So Nigerians will die just to make white man happy