Mawaziri wachapakazi hawakuondolewa sababu walikuwa wakimkwamisha Rais Samia

Mawaziri wachapakazi hawakuondolewa sababu walikuwa wakimkwamisha Rais Samia

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Tulisikia kwa vinywa vyetu kuwa kuna baadhi ya mawaziri walikuwa na mpango wa kumkwamisha Rais Samia ili asifikie malengo yake ya kuwatumikia Watanzania.

Hapa kwa haraka haraka tukapata hisia kuwa walikuwa na na nia ya kumzuia asitinge Ikulu kama mgombea wa CCM mwaka 2025.

Ndipo tukasikia baadhi ya mawaziri wakiwekwa kando na baadhi yao tukaambiwa watakuwa na kazi maalumu huko Ikulu ya Chamwino.

Lakini safu aliyoiweka mama haiweza kuonesha nia thabiti ya kuwatumikia watanzania. Hatusikii mrejesho wa dhati wa kutatua shida za watanzania. Mfano January Makamba ameshaprove failure na sasa ni uozo tu kwenye wizara anayosimamia.

Hapa ndipo tunapata picha kuwa kumbe hakuna waziri aliyekuwa akimkwamisha rais Samia bali ilikuwa ni janja ya kuunda genge fulani ambalo linawacost Watanzania.
 
Mama anaongozwa kwenye kichaka asichokifahamu.

Kwanza ni mgeni kwenye siasa za bara,halafu wenyeji wanamzungusha njia waliyoandaa wao.

Mwisho wa safari watarudisha mtu wao ili Bagamoyo Port ijengwe.

Kinana,Nape,Riziwani,
Makamba,Mwigulu na kwenye sopha yuko JK ameshikilia Remote.

Kazi ni nzito ila urahisi ni kupata chama kipya cha wafia nchi.

Vilivyopo kwa sasa ni walewale.
 
Kumbe wale jamaa walioambiwa wana kazi maalum ndiyo walikuwa wasaliti wa rais? Mbona wale ni wachapakazi sana shinda hawa waliopo madarakani hivi sasa au ndiyo tuseme Mh. rais alikwishajuwa hawezi kutawala akiwa na wale madarakani kwa sababu watamkosoa?
 
Kama yule waziri wa viwanda na yule wa mambo ya ndani ni uozo aswaaa. Yaani hawana kitu kipya.
 
Tulisikia kwa vinywa vyetu kuwa kuna baadhi ya mawaziri walikuwa na mpango wa kumkwamisha rais Samia ili asifikie malengo yake ya kuwatumikia watanzania.

Hapa kwa haraka haraka tukapata hisia kuwa walikuwa na na nia ya kumzuia asitinge Ikulu kama mgombea wa CCM mwaka 2025.


Ndipo tukasikia baadhi ya mawaziri wakiwekwa kando na baadhi yao tukaambiwa watakuwa na kazi maalumu huko Ikulu ya Chamwino.

Lakini safu aliyoiweka mama haiweza kuonesha nia thabiti ya kuwatumikia watanzania. Hatusikii mrejesho wa dhati wa kutatua shida za watanzania. Mfano January Makamba ameshaprove failure na sasa ni uozo tu kwenye wizara anayosimamia.

Hapa ndipo tunapata picha kuwa kumbe hakuna waziri aliyekuwa akimkwamisha rais Samia bali ilikuwa ni janja ya kuunda genge fulani ambalo linawacost watanzania.
Undeni Serikali yenu muwaweke
 
Back
Top Bottom