Mawaziri Wakuu wa zamani wa Israel wamkacha Netanyahu. Waja na hila nyingine kuendeleza vita dhidi ya wapalestina mpaka wawamalize

Mawaziri Wakuu wa zamani wa Israel wamkacha Netanyahu. Waja na hila nyingine kuendeleza vita dhidi ya wapalestina mpaka wawamalize

Mayahudi waliolaaniwa na laana inaendelea kuwatesa, wanauwa wazee, watoto, watu wazima, hawa utasema watu wema!!! Kwanini HAMAS wawe magaidi ila mayahudi wawe wazuri!!!
Wapalestina walivamia ardhi baada ya waisraeli kwenda uhamishoni wakitokea kwenye mataifa mengine ya kiarabu.

Kwa lugha nyepesi ni kwamba wapalestina ni jamii ya watu waliotoka katika mataifa mbalimbali ya kiarabu na baada ya kukaa kwenye ardhi ya waisrael wakajiita wapalestina. Huo ndio ukweli wa mambo.
 
Wapalestina wameanza kuuawa na kufukuzwa kwenye ardhi zao hata kabla ya Hamas haijafikiliwa kuanzishwa hivyo punguza uzezeta na ufala.

Alafu huo mkono wa kwa heli unawapaje hamas hali yakuwa mpaka sasa wayahudi wapo wanajinyea nyea kuingia gaza badala yake wamekalia kuuwa watoto maana ndo wanalo weza.
Sasa hao magaidi wa Hamas na Islamic Jihad wanafanya nini kwenye mashimo na kwa njia hiyo watapataje hizo ardhi wanazodai kuporwa na Israel.
 
Wapalestina wameanza kuuawa na kufukuzwa kwenye ardhi zao hata kabla ya Hamas haijafikiliwa kuanzishwa hivyo punguza uzezeta na ufala.

Alafu huo mkono wa kwa heli unawapaje hamas hali yakuwa mpaka sasa wayahudi wapo wanajinyea nyea kuingia gaza badala yake wamekalia kuuwa watoto maana ndo wanalo weza.
Mnalaininshwa kwanza kupitia anga then ardhini wanakuja kusafisha masalio
 
Huyu na uhakika ni "Mkristo"
Kuna watu hawana kitu kichwani kiasi cha kuamini hii ni vita ya kidini na Israel ni ndugu zao au nchi muhimu kwa mujibu wa dini yao

Sio wakristo wote wenye imani hii, bali wajinga kadhaa

Angejua hao wa Israel hawana connection yoyote ile ya kitamaduni au kidamu na Wayahudi wanaotajwa kwenye biblia

Ukisema hao zionists kule ni wazungu waliofukuzwa ulaya na wenzao kwasababu walikua na asili ya kiyahudi upo sahihi
Hao ndio waisrael kama kwa ujinga wako hujui basi unatakiwa ujue hata dunia nzima inawaita waisraeli sasa wewe unapinga kama nani.

Tena bado kuna yale makabila 12 yaliyopotea bado yatarudi nyumbani Israel.
 
Wamekanusha wapi.
Taarifa ya msemaji wa Ikulu ya White House baada ya rais wao kusema Yale maneno siku ile....kuna muandishi nadhani ni kati ya moja ya vyombo vya habari vya magharibi pia alitanganza then baadae akaja akakanusha kwny tweet yake....hizi smartphone zenu mnatumia kwa kazi gani labda...au mnaamua tu kuwa wabishi pasi na kutafuta taarifa Ili mpate maarifa
 
Sasa hao magaidi wa Hamas na Islamic Jihad wanafanya nini kwenye mashimo na kwa njia hiyo watapataje hizo ardhi wanazodai kuporwa na Israel.
Kumbe mnajua ya kuwa Hamas wako kwenye mashimo ,sasa hayo majengo mnashambulia ya nn?
Simwafuate hao hamas kwenye mashimo?

Sasa hivi dunia tumepata super power wa kuuwa watoto na wanawake badala ya kupambana na wanaume wenzie.
 
Kumbe mnajua ya kuwa Hamas wako kwenye mashimo ,sasa hayo majengo mnashambulia ya nn?
Simwafuate hao hamas kwenye mashimo?

Sasa hivi dunia tumepata super power wa kuuwa watoto na wanawake badala ya kupambana na wanaume wenzie.
Si watoke shimoni wakakomboe ardhi hizo wanazodai kuporwa na Israel sasa kwa kujificha shimoni ndio watazipataje sasa.
 
Taarifa ya msemaji wa Ikulu ya White House baada ya rais wao kusema Yale maneno siku ile....kuna muandishi nadhani ni kati ya moja ya vyombo vya habari vya magharibi pia alitanganza then baadae akaja akakanusha kwny tweet yake....hizi smartphone zenu mnatumia kwa kazi gani labda...au mnaamua tu kuwa wabishi pasi na kutafuta taarifa Ili mpate maarifa
Your claim cannot be corraborated with any evidence so at this juncture, we treat it as a mere propaganda.
 
Your claim cannot be corraborated with any evidence so at this juncture, we treat it as a mere propaganda.
Kwhyo Ikulu ya White House ilipiga propaganda sio...na rais wao naye alivyosema amesikitishwa kuona watoto wakiwa wamekatwa vichwa nayo ilikuwa propaganda sio🤠🤠🤠...Sasa kama taarifa ya kukanusha kutoka white House sio ushahidi basi hapo kuna shida...hili suala limewavua nguo hao waonezi maana Kila wakijaribu kuaminisha watu uongo wao wa siku zte wanajikuta tyri kabla hawajasema uongo wao tyri kumbe waliteleza na watu walishachukua evidence na wakakaa nazo kuwasubiri tena wadanganye wawaoneshe ushahidi....hii technology waloitengeneza leo ndo inawaumbua
 
Back
Top Bottom