Na zitanunuliwaAmejichoresha Sana. Eti anaomba wakuu wa wilaya wanunuliwe magari as if Kuna DC mwenye gari bovu.
Wakati mwingine Najiuliza hivi mtu Kama huyu alifikaje ngazi ile?
Wananchi hawana dawa, gharama za maisha zimepanda kwa kiwango ambacho hakijawahi kutolea, kirahisi tu MTU anataka kununua zaidi ya VX 150 kila moja ikiwa na gharama ya zaidi ya milioni Mia mbili.
bushungwa kitakachomuondoa sio mvaa kobazi.Hakuna lingine!Kuelekea mabadiliko ya baraza la mawaziri, ni mawaziri na manaibu gani wamekalia kuti kavu? Mimi naanza na Mh. Bashungwa sidhani kama atabaki Tamisemi sidhani.
makamba kijana wa bornhawezi kuondoka.Wacha asimamie biashara za rostam,na born town.Makambaaa
Basi amtoe hii wizara, ndo kwanza 2022 huko 2030 tutafika tumechoka..Huyo aguswi ni sawa na Ridhwan. They're grooming them for special assignments
Nani kasema kuna mabadiliko yanakuja ya Baraza la Mawaziri?Kuelekea mabadiliko ya baraza la mawaziri, ni mawaziri na manaibu gani wamekalia kuti kavu? Mimi naanza na Mh. Bashungwa sidhani kama atabaki Tamisemi sidhani.
Huyu ni Bogus sanaMadelu
Tozo tu akiamka tozo akilala tozo.Huyu ni Bogus sana
kwa TZ hata Mbuzi anaweza.... anybody can be anything/can take any positionWakitoka aje nani?
Babu Tale?!
Utakuwa na chuki Binafsi na Mh BashungwaKuelekea mabadiliko ya baraza la mawaziri, ni mawaziri na manaibu gani wamekalia kuti kavu? Mimi naanza na Mh. Bashungwa sidhani kama atabaki Tamisemi sidhani.
Nani wa kumtoa rais? Ndiye asiyeeleweka kupita wote!Makamba,
Wananchi hawamwelewi
Hicho kijamaa binafsi sipendi hata kukiona kinatakiwa kuwa somewhere kitaa hakipendezi kabisa hata kwenye VXkatambi
Usimlinganishe Riz1 na huyo bwa mdg Riz1 pato la familia2 ni uwaziri tosha sema anatafutiwa Jina tu mjini hapa kijana Makamba angetumia busara kujiuzuru he's totally stupidHuyo aguswi ni sawa na Ridhwan. They're grooming them for special assignments
Kipara ataliwa Kichwa asubuhi na MapemaKuelekea mabadiliko ya baraza la mawaziri, ni mawaziri na manaibu gani wamekalia kuti kavu? Mimi naanza na Mh. Bashungwa sidhani kama atabaki Tamisemi sidhani.
Uozo katika halmashauri imekithiri, amekosa ubunifu wa kuudhibiti. Jana hata pendekezo la kutumia TEHAMA, pia hata kuomba kitengo maalum Cha CAG kukagua halmashauri Kila mwezi, au miezi miwili au mitatu.why Bashungwa? mapungufu yake ni yapi?
Huyu hawezi tolewa hapo ni 2025 strategic personnel..... Muwe wapole tu...Makamba,
Wananchi hawamwelewi