Brigadier Isaac Maliyamungu inasadikiwa alikufa mwaka 1979 katika vita ya kuikomboa Uganda kutoka mikononi mwa dikteta Idi Amin Dada iliyoendeshwa na majeshi ya Tanzania chini ya Jemadari wetu Mkuu Julius Kambarage Nyerere.Napenda kufahamu alifariki vipi huyo Maliyamungu
Unataka kufananisha uwezo wa Nyerere na DAB, Nyerere alikuwa na masters degree, ni mtanzania wa kwanza kusoma wingerezaMakonda is the next President of Tanzania! Elimu ya juu haina uhusiano na uwezo halisi wa mtu! Nyerere alikuwa professor?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa Brigedia Isaack Maliyamungu,kabla ya mapinduzi alikuwa korokoroni kwenye kiwanda cha nguo.Iddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
Mbona za Kimara na Buguruni waliendelea kubomoa bila kujali hata zuio la mahakama kwenye sehemu nyingine.Ni kweli kabisa hata kama ni mimi ningekua kama Mkuu wa mkoa halafu mawaziri wapo wapo tu ningeamka na kushirikiana na wananchi kuleta maendeleo.
Makonda ni zaidi ya mawaziri kumi.
Waziri mzima kweli unawabomolea wazee nyumba na kuwaacha walale nje bila msaada wowote.
Makonda alijiongeza akagundua kuwa kuna malalamiko then akachukua hatua za kusimamisha zoezi la bomoabomoa.
Nafikiri mawaziri walipaswa wamuunge mkono mh. Makonda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara paap ndo raisi akakuteua kuwa waziri wa nishati na madiniMawaziri wanaokubali kuitwa wapumbavu bila hata kutoa mguno wa kukataa kudhalilishwa mbele ya Watanzania milioni 50 ikiwemo wake, waume zao, watoto wao ndugu jamaa na marafiki hawana ubavu wa kupambana na mfojaji vyeti na jambazi DAB kwa kuhofia vitumbua vyao kuingia mchanga. Mawaziri wapumbavu ndivyo walivyo Mkuu.
Hujaona hoja yangu hapo, hoja yangu ni kuwa sometimes kiwango cha juu cha elimu hakihusiani na uwezo halisi wa mtu! Unaweza kukuta mtu ni prof lakini uhalisia wake wa maamuzi ni kama std VII!Unataka kufananisha uwezo wa Nyerere na DAB, Nyerere alikuwa na masters degree, ni mtanzania wa kwanza kusoma wingereza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mama vip mtu usiyejulikanaHivi hamchoki kuandika udaku humu!?
Wewe mama vip mtu usiyejulikana
Baada ya miaka 56 ya uhuru bado vilaza wanaruhusiwa kushika nafasi kubwa Serikalini na kuwa Wabunge! Halafu tunataka tupate maendeleo ya kweli!
Watanzania tungekuwa tunajikita kwenye shughuli za maendeleo kama tunavyopiga umbeya tungekuwa mbali sana. Kizazi cha porojo na majungu mwanzo mwisho. Hasara.