Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakubaliwa kusajili? Mkulu wa kaya kasema hataki siasa hadi 2020gazeti la Mawio la 27 April limeripoti mpango wa mawaziri wanne wa serikali iliyopita ya JK kuanzisha chama kipya
View attachment 501809 View attachment 501810
kwa asilimia nyingi Tanzania ina watu wasiosoma na kwa asilimia nyingi CCM inapendwa kwa hivyo usitegemee matokeo tofauti ya utafiti..Twawezs wamefanya utafiti Na kubaini kuwa wasiosoma ndio wanaipenda CCM
Unajuaje? Au unafikiri huu nao ulikuwa utabiri wa mwalimu; kwamba upinzani imara utatokana na CCM!Lolote lile linawazekana.Nitafurahi sana maana ndio kutakuwa na upinzani wa kweli sasa
Kama hujauona Upinzani uliopo, basi huo unaouita wakweli sijui utakuwa ni wenye sifazepi?Lolote lile linawazekana.Nitafurahi sana maana ndio kutakuwa na upinzani wa kweli sasa
Uchumi imara ndani ya diplomasia legelege na fikira za mtu mmoja zikidumishwa.Endelea kusubiri BoowiiieMwacheni Rais Magufuli ajenge uchumi imara Tanzania.
Majina yote ninayo mkuu .gazeti la Mawio la 27 April limeripoti mpango wa mawaziri wanne wa serikali iliyopita ya JK kuanzisha chama kipya
View attachment 501809 View attachment 501810
Cuf itakuwepo na hivi karibuni Maalim atapewa haki yake , ndio kisa cha kutimuliwa bosi wa UNDP , siri imevuja !CUF ya Maalim waruhusu kufanya reform katiba ya CHadema ili vitu wanavyo ona vinafaa waziingize then wa join pamoja
Hebu tumiminie hiyo siri iliyovuja japo kidogo.Cuf itakuwepo na hivi karibuni Maalim atapewa haki yake , ndio kisa cha kutimuliwa bosi wa UNDP , siri imevuja !
Uwaziri si ushawishi, habari haina mashiko!gazeti la Mawio la 27 April limeripoti mpango wa mawaziri wanne wa serikali iliyopita ya JK kuanzisha chama kipya
View attachment 501809 View attachment 501810