Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr Mwakyembe,Pro Kabodi,Pro Muwongo Pro Tibaijuka,Pro Magembe,Prof Kapuya,hao mbona wasomi ni CCMkwa asilimia nyingi Tanzania ina watu wasiosoma na kwa asilimia nyingi CCM inapendwa kwa hivyo usitegemee matokeo tofauti ya utafiti..
Conclusion yao ilitakiwa kusema kuwa CCM inapendwa zaidi hapa nchini.
Cuf huwezi kui replace..Replacement of CUF?
Gazeti la Uhuru na hili la Mawio sitakaa nikayasoma.gazeti la Mawio la 27 April limeripoti mpango wa mawaziri wanne wa serikali iliyopita ya JK kuanzisha chama kipya
View attachment 501809 View attachment 501810
Ndo kiama cha CHADEMA. Tutawasikia tukienda Migombani.Lolote lile linawazekana.Nitafurahi sana maana ndio kutakuwa na upinzani wa kweli sasa
Mawaziri ktk serikali ya awamu ya nne kuanzisha chama kipya cha siasa ni jambo la heri na halizuiliwi. Ni haki ya Watanzania kikatiba.gazeti la Mawio la 27 April limeripoti mpango wa mawaziri wanne wa serikali iliyopita ya JK kuanzisha chama kipya
View attachment 501809 View attachment 501810
Replacement of CHADEMA?Replacement of CUF?
Na tupo wengi kuliko mliosoma. Hivyo tegemea Ccm kuendelea kubaki madarakani forever moreTwawezs wamefanya utafiti Na kubaini kuwa wasiosoma ndio wanaipenda CCM
Bora ya mawio kulikoni magazeti ya uhuru, mzalendo, tazama na kusikiliza radio uhuru ni hovyo kabisa.Hivi mawio ni gazeti au udaku?
Kama baado unasoma magazeti ya vyama unapungukiwa na fikra (UNF).
Bora ya mawio kulikoni magazeti ya uhuru, mzalendo, tazama na kusikiliza radio uhuru ni hovyo kabisa.
Naogopa kutekwa .Hebu tumiminie hiyo siri iliyovuja japo kidogo.
Mkuu hilo ndiyo tamanio LA wengi tatizo tawala wana vyama vyao huku navyo vinajiita upinzani sasa hoja hiyo ikiletwa wanaibuka na kupinga na kupewa sapoti na dolani Keli Mkuu vyama vote vya upinzani viungane na kumsimamisha mgombea mmoja mwenye nguvu na ushawishi mkubwa kwa watanzania kwani hawa viongozi wa upinzani waliopo sasa hawana uwezo wa kushinana na CCM tunamhitaji mgombea mwenye nguvu na hasa akiwa anatoka katika Serikali na CCM hakika atashinda kwani sasa tunahitaji mabadiliko!!!!
Viongozi wa kitanzania hasa wa vyama vya upinzani wakiacha ubinafsi na kuangalia maslahi yao kupitia ruzuku basi watafanikiwa!ni Keli Mkuu vyama vote vya upinzani viungane na kumsimamisha mgombea mmoja mwenye nguvu na ushawishi mkubwa kwa watanzania kwani hawa viongozi wa upinzani waliopo sasa hawana uwezo wa kushinana na CCM tunamhitaji mgombea mwenye nguvu na hasa akiwa anatoka katika Serikali na CCM hakika atashinda kwani sasa tunahitaji mabadiliko!!!!