Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]pepo la kukosa uthubutu naona linanicheka tu kwa sauti ya kebehi
Mi nilianza na mtaji milioni 4 tu lkn ss hv mtaji Ni M12+Yeah lkn mtaji wa spea za toyo hata milioni 5 unaweza ukaanza nayo,na usifungue mjini,nenda bush na hakikisha unaweka na madogo mafundi hata wawili hapo! Nakuhakikishia baada ya mwaka unakuwa mtu mwingine kabisaa!! Nimeshuhudia hili kwa mwanangu,na nitaingia huko hakika
huu Sasa ni utani unazijua heka 10 za nyanya au umeongea kunogesha kijiweNyanya unalima hata eneo dogo nyumbani kwako hata eneo la chumba kimoja tu tena kwenye ndoo na zipo mbegu unachuma hadi mwaka mzima, kisha tengeneza tomatoes source, utapata pesa zaidi ya aliyelima heka 10 kwa kuuza tomatoes source.
Nmewai lima nyanya miaka fulani Heka 10 ni shamba kubwa sana kwa nyanya na kuhudumia ni pesa nyingi sana. Huyu anaesema anza na eka 10 sizani kama anazijua nyanya vizurihuu Sasa ni utani unazijua heka 10 za nyanya au umeongea kunogesha kijiwe
Kwa ninapo kaa kifuku heka 1 ni millioni mbili kuhudumia na unaweza vuna hata million 15 Sasa Kwa heka kumi hii ni zaidi ya biashara nyingi tu.Nmewai lima nyanya miaka fulani Heka 10 ni shamba kubwa sana kwa nyanya na kuhudumia ni pesa nyingi sana. Huyu anaesema anza na eka 10 sizani kama anazijua nyanya vizuri
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Huyo jamaa anachukulia poa kilimo cha nyanya.Kwa ninapo kaa kifuku heka 1 ni millioni mbili kuhudumia na unaweza vuna hata million 15 Sasa Kwa heka kumi hii ni zaidi ya biashara nyingi tu.
Kuna kale kamsemo nyanya ninyanyase 😂😂😂 aisee shkamoo nyanya😂Nmewai lima nyanya miaka fulani Heka 10 ni shamba kubwa sana kwa nyanya na kuhudumia ni pesa nyingi sana. Huyu anaesema anza na eka 10 sizani kama anazijua nyanya vizuri
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mkuu nina hili wazo pia naomba unifafanulie kidogo hasa juu ya upatikanaji wa mafutaNamba 15 ndo nipo nayo mda huu hela ya vocha na matumizi madogo madogo inapatikana hata kodi ikipungua tunafidi kupitia hiyo mishe it's a good business mimi sipendi biashara zenye stress mda huo haujafika kwangu bado.
Mkuu nina hili wazo pia naomba unifafanulie kidogo kuusu bei za materials yake na upatikanaji wa faida nipo Arusha na sijapata bado dealer wa mafuta ya mawese na mise kwa kua we unafanya hii mishe naomba maujuzi. Kuusu kutengeneza sabuni za mche elimu ninayo teyar
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Jamaa umewaza madini kabisaa, hyo issue hakika naikubali sana kilimo+ufugajiNamba 43,duuh!! Michongo ni mingi sana,halafu mingine wala haihitaji mitaji mikubwa kiivo kawaida tu! Tatizo tunalalamika sana lkn we dont dare!! Me binafsi nimejilipua kulima nyanya na kufuga ma pig! January najilipua kufuga samaki na kuku! tutafika tu daadeki
Ni kupambana tu mkuuJamaa umewaza madini kabisaa, hyo issue hakika naikubali sana kilimo+ufugaji