Mawazo yangu: Waziri wa Maji ndiye kiongozi anayehangaika sana awamu hii

Mawazo yangu: Waziri wa Maji ndiye kiongozi anayehangaika sana awamu hii

sidhani kama tunaweza kupima uwezo wake kwa yeye kushinda site kila kukicha...Waziri naamini ndio think tank ya wizara, sasa kuhangaika mapolini huko utafikiri wizara haina watendaje wengine na yeye abaki kutengeneza mipango mikubwa na imara then aitupe huko na kuhakikisha utekelezaji...

Akili ni kutengeneza system strong kama waziri itakayotumikia wananchi usiku na mchana, jua na mvua na wewe waziri kukaa chini na planning team yako kutengeneza mipango endelevu na kutafuta fedha za kuikamilisha...huu unyapara sio level ya uwaziri wapo watu huko ndio kazi yao wewe kuhakikisha unaweka watu sahihi...
 
Wakuu guys Mh. Aweso anajitahidi sana, Japo tatizo la maji ni kubwa ila jinsi anavyokomaa huku na kule binafsi ananifurahisha sana.

Nimekuwa nikimfuatilia katika ukurasa wake FB, Leo yuko huku kesho kule hatulii sehemu moja kuhakikisha angalau mambo ya maji yanapiga hatua.

Wote wangekuwa active hivi hii nchi ingepiga hatua Japo Kwa kuchechemea.
Ku post ktk Social media haimaanishi uchapakazi
 
Wakuu guys Mh. Aweso anajitahidi sana, Japo tatizo la maji ni kubwa ila jinsi anavyokomaa huku na kule binafsi ananifurahisha sana.

Nimekuwa nikimfuatilia katika ukurasa wake FB, Leo yuko huku kesho kule hatulii sehemu moja kuhakikisha angalau mambo ya maji yanapiga hatua.

Wote wangekuwa active hivi hii nchi ingepiga hatua Japo Kwa kuchechemea.
😍
 
Kama waziri ukishaweka strong team kazi yako ni kupima matokeo kila robo mwaka ambaye hakaachieve utafukuza au unademote, kutengeneza trainees programs kwenye wizara yako kwa kuingiza gradutes kutrain na kuwapachika, kama haitoshi kufungua internship programes kwenye wizara yako vijana wapya bright waje muwajue waajiriwe walete matokeo, huko wilayani, mikoani, vijijini ni ziara tu za kustukiza kupima utendaji na kuangalia deadlines zako za managers nk, ukiona failures ni mwendo wa demotion vijana wengine wapate nafasi......Hizi kelelekelele kila kukicha ni kujificha tu...
 
Kuna haja kwa kweli Polepole aendelee kutoa elimu ya uongozi ....
 
Kwa kweli Komredi Jumaa Aweso anayatendea haki MAJUKUMU YAKE MAKUBWA......

Jamaa ni mkweli haswa....
Jamaa anajitambua haswa.....

Jamaa ni mzalendo wa kuigwa💪

#NchiKwanza
#SiempreJMT
 
Wakuu guys Mh. Aweso anajitahidi sana, Japo tatizo la maji ni kubwa ila jinsi anavyokomaa huku na kule binafsi ananifurahisha sana.

Nimekuwa nikimfuatilia katika ukurasa wake FB, Leo yuko huku kesho kule hatulii sehemu moja kuhakikisha angalau mambo ya maji yanapiga hatua.

Wote wangekuwa active hivi hii nchi ingepiga hatua Japo Kwa kuchechemea.
Lazima ahangaike kwasababu anadhani kuzurura na kutoa matamko ndio Uongozi.
 
Sio yeye pekee hata naibu wake Yuko site mida mingi mnyonge mnyongeni haki yake mpeni...JPM Aliona mbali kumuweka huyu baba kwenye hii wizara.tumeona kazi za ruwasa wilayani huko na pia department ya water resources inafanya vzr Sana mkurugenzi wake Ni mtu mfuatiliaji sana...taasisi ya DDCA kuhamishiwa ruwasa nayo imezaa matunda Sana tulio site tunaona kwa kweli jinsi kazi zinavyochapwa...pongezi kwao maboss wangu hao bila kusahau katib mkuu na watumishi wote wa wizara ya maji
Wamekutana wote Akili hakuna
 
2935120_Screenshot_20210920-071756.png
 
Wakuu guys Mh. Aweso anajitahidi sana, Japo tatizo la maji ni kubwa ila jinsi anavyokomaa huku na kule binafsi ananifurahisha sana.

Nimekuwa nikimfuatilia katika ukurasa wake FB, Leo yuko huku kesho kule hatulii sehemu moja kuhakikisha angalau mambo ya maji yanapiga hatua.

Wote wangekuwa active hivi hii nchi ingepiga hatua Japo Kwa kuchechemea.
Kama maendeleo yanapatikana kwa kuranda randa, basi tungekuwa tushaendelea zamani. Toka nipate fahamu nasikia viongozi wakipiga misere, tuache mawazo ya aina hii.

Tunachohitaji ni mipango na mifumo imara ya kukusanya kodi na kusimamia matumizi ya kodi. Tukiweza vitu hivi basi nadhani haichukui muda mrefu tutakuwa mbali. Kikwazo kikubwa ukusanyaji mapato umegubikwa na ujanja wa wachache, na hicho kinachokusanywa hakisimamiwi kinapifika kwenye matumizi. Kwa lugha ya kiufupi unaweza fananisha na mtu anaefanya kazi day worker anapata mshahari mbuzi, halafu anatumia coins za zote kwa starehe. 🤷‍♂️
 
Taifa la Wadanganyika.

Nakumbuka ziara za kushtukiza.
 
Waziri mwizi kama nini! Alipiga madili akiwa naibu waziri, sasa anajifanya mchapakazi sana! Tunazo taarifa za kudakishwa pesa na marafiki zake ndani ya wizara hadi sasa.
Halafu wizara yake inatesa wakandarasi kuwalipa hela zao in short hii wizara inahitaji mabadilikko kuliko ya Sasa yako very slow
 
Yeah ni kweli anahangaika sana badala ya kutumia muda mwingi kurekebisha sera za maji zilizopitwa na wakati.



Na mimi nasema hivi ahangaike tu kwa kuwa haina namna
Wizara inahitaji mabadilikko mengi ikiwemo sera Ili kuharakisha uwepo wa maji vijini Sasa hivi Kuna urasimu mkubwa kuanzia wizarani Hadi wilayani, yeye kushinda site na mabomba bila kubadili sera na utendaji itakuwa kazi bure
 
Kama waziri ukishaweka strong team kazi yako ni kupima matokeo kila robo mwaka ambaye hakaachieve utafukuza au unademote, kutengeneza trainees programs kwenye wizara yako kwa kuingiza gradutes kutrain na kuwapachika, kama haitoshi kufungua internship programes kwenye wizara yako vijana wapya bright waje muwajue waajiriwe walete matokeo, huko wilayani, mikoani, vijijini ni ziara tu za kustukiza kupima utendaji na kuangalia deadlines zako za managers nk, ukiona failures ni mwendo wa demotion vijana wengine wapate nafasi......Hizi kelelekelele kila kukicha ni kujificha tu...
Brilliant idea
 
Wakuu guys Mh. Aweso anajitahidi sana, Japo tatizo la maji ni kubwa ila jinsi anavyokomaa huku na kule binafsi ananifurahisha sana.

Nimekuwa nikimfuatilia katika ukurasa wake FB, Leo yuko huku kesho kule hatulii sehemu moja kuhakikisha angalau mambo ya maji yanapiga hatua.

Wote wangekuwa active hivi hii nchi ingepiga hatua Japo Kwa kuchechemea.

Hivi ni mzanzibara au ni mzanzibari?

Kwani nini kimebadilika? Awamu ile tukiwasikia kina Jaffo, Kabudi, Lukuvi kuwa ni wazarendo kweri kweri!

Hizi pepo za msimu.

Nani ajuaye awamu ijayo yaweza kuwa ni sheikh matunduizi mwenye kuangukiwa na zali.
 
Kama waziri ukishaweka strong team kazi yako ni kupima matokeo kila robo mwaka ambaye hakaachieve utafukuza au unademote, kutengeneza trainees programs kwenye wizara yako kwa kuingiza gradutes kutrain na kuwapachika, kama haitoshi kufungua internship programes kwenye wizara yako vijana wapya bright waje muwajue waajiriwe walete matokeo, huko wilayani, mikoani, vijijini ni ziara tu za kustukiza kupima utendaji na kuangalia deadlines zako za managers nk, ukiona failures ni mwendo wa demotion vijana wengine wapate nafasi......Hizi kelelekelele kila kukicha ni kujificha tu...
Chanzo cha maoni yako ni nini.

Unajua SOP ya jinsi ya utendaji wa waziri unavyopaswa.

Katika management
Kuna Management by Walking around ( MBWA).
Hii aliitumia Lameck Spensor Churchill
 
Wizara ya Maji haiwezi kuendelea kwa viongozi kama Aweso.Wizara haina sera na ina sheria za maji za hovyo sana hasa za maji vijijini.

Serikali inatekeleza miradi ya maji vijijini kwa gharama kubwa sana ila sio endelevu na haitakuwa endelevu chini ya waiziri muangaikaji kama Aweso.

Haiwezekani serikali ijenge miradi ya mabilioni ikamilike halafu mwishoni umkabidhi mwananchi wa darasa la saba kuiendesha mwishowe wananchi waliopewa kuiendesha wanakula tu ela kifaa kikiharibika wanashindwa kutengeneza.


Aweso ni waziri kijana wa hovyo sana ambaye hana maono ya kiuongozi.Anazurula wilayani kutafuta posho tu.
 
Wizara inahitaji mabadilikko mengi ikiwemo sera Ili kuharakisha uwepo wa maji vijini Sasa hivi Kuna urasimu mkubwa kuanzia wizarani Hadi wilayani, yeye kushinda site na mabomba bila kubadili sera na utendaji itakuwa kazi bure
Upo.sahihi.Watu wenye uwezo mdogo ndiyo watamuona anafanya kazi.Aweso ni mzurulaji tu na mtafuta posho za kila siku.
 
Back
Top Bottom