Mawazo yangu: Waziri wa Maji ndiye kiongozi anayehangaika sana awamu hii

Mawazo yangu: Waziri wa Maji ndiye kiongozi anayehangaika sana awamu hii

Hata Kalemani alikuwa Mpambanaji lakini Wenye nchi yao wala hawakujali,
Iliniuma sana maana huwezi kuamini kisa cha kuondolewa! Na mshikaji wangu mzee wa chanjo kule Kigamboni naye akatumbuliwa.

Jamaa kana mkosi kale ka Ndugulile, saivi kamezamia jimboni, nikitoka huku Uganda nitafika huko Dar na moja kwa moja Ikuku ya zamani kufanya yangu!
 
Mwenye macho aambiwi tazama.

Mtu mwingine alikuwa Jaffo, huyu mama sijui aambiwe nini swap mawaziri wa TAMISEMI na mazingira.
 
Wakuu guys Mh. Aweso anajitahidi sana, Japo tatizo la maji ni kubwa ila jinsi anavyokomaa huku na kule binafsi ananifurahisha sana.

Nimekuwa nikimfuatilia katika ukurasa wake FB, Leo yuko huku kesho kule hatulii sehemu moja kuhakikisha angalau mambo ya maji yanapiga hatua.

Wote wangekuwa active hivi hii nchi ingepiga hatua Japo Kwa kuchechemea.
Ila anasifia sana had I........
 
Kuna mtu aliniambia hayati Ben Mkapa aliwahi kuzindua mradi wa maji kumbe walikuwa wamemtegeshea vimaji kwenye katank huku yeye anaamini anazindua mradi wa maji ya bomba endelevu.

Ukijulikana ni mtu wa ofisini tu na kupokea taarifa watu wanazojua ndio unazitaka sio unazopaswa. Kwa mtazamo wangu system ya utendaji nchini inahitaji utwange kotekote.

Angekuwa waziri wa maji wa Singapore au Taiwan ningekukubalia kabisa mkuu.

Tumpongeze Kijana anafanya vyema.
[emoji23][emoji23][emoji23]unazinduaje mradi hewa bila kuweka mashushu wakupe data za uhakika
 
[emoji23][emoji23][emoji23]unazinduaje mradi hewa bila kuweka mashushu wakupe data za uhakika
Raia ndio anasema, labda huwa ni michongo ya wanasiasa ili kuwahadaa wakuu. Niliona dogo aligombea udiwani akaletwa kwa PM eti amegombea ubunge upinzani na sasa karudi CCM hahahahaa
Ilibidi nimpigie simu nicheke sana maana uzinduzi mwingi huwa unaviusanii usanii sana.

Mwingine aliniambia juzi waliwahi kumuuzia spika Msekwa Mashuka mpya kwenye maonyesho huko mkoani akizidua ujasiliamali wa wanaCCM kumbe zilikuwa ni shuka chafuchafu tu wamezitoa majumbani ili waonekane wanajituma na ujasiliamali hahahahaa
 
Wizara inahitaji mabadilikko mengi ikiwemo sera Ili kuharakisha uwepo wa maji vijini Sasa hivi Kuna urasimu mkubwa kuanzia wizarani Hadi wilayani, yeye kushinda site na mabomba bila kubadili sera na utendaji itakuwa kazi bure
We dada hunaga jema....umejaa lawama na manung'uniko...khaaa
 
Social media era. Mtu wako wa karibu akifariki, bila kupost watu huona kiasi gani hujaguswa na msiba. Na wajanja kama Waziri, wanaijua nguvu ya mitandao kwa sasa. Hivyo kutuaminisheni anapiga kazi ni rahisi, kumbe mbwembwe nyingi huku mipango sifuri.
 
Pangani oyee.....
Sasa hivi inajengwa barabara ya kiwango Cha four lanes kutoka TANGA city kwenda Pangani kupitia Kirare. Lkn pia itajengwa nyingine toka Pangani Hadi Bagamoyo kupitia Mwera, Mkwaja.
Tutakua tunakunywa chai TANGA, lunch Dar na kuwahi kurudi kula dinner TANGA.
Inahusiana vipi na maji?
 
sidhani kama tunaweza kupima uwezo wake kwa yeye kushinda site kila kukicha...Waziri naamini ndio think tank ya wizara, sasa kuhangaika mapolini huko utafikiri wizara haina watendaje wengine na yeye abaki kutengeneza mipango mikubwa na imara then aitupe huko na kuhakikisha utekelezaji...

Akili ni kutengeneza system strong kama waziri itakayotumikia wananchi usiku na mchana, jua na mvua na wewe waziri kukaa chini na planning team yako kutengeneza mipango endelevu na kutafuta fedha za kuikamilisha...huu unyapara sio level ya uwaziri wapo watu huko ndio kazi yao wewe kuhakikisha unaweka watu sahihi...
Sidhani kama watakuelewa ila mpaka waziri kwenda site ina maana kuna shida mahali.
 
Kuna mtu aliniambia hayati Ben Mkapa aliwahi kuzindua mradi wa maji kumbe walikuwa wamemtegeshea vimaji kwenye katank huku yeye anaamini anazindua mradi wa maji ya bomba endelevu.

Ukijulikana ni mtu wa ofisini tu na kupokea taarifa watu wanazojua ndio unazitaka sio unazopaswa. Kwa mtazamo wangu system ya utendaji nchini inahitaji utwange kotekote.

Angekuwa waziri wa maji wa Singapore au Taiwan ningekukubalia kabisa mkuu.

Tumpongeze Kijana anafanya vyema.
You know not.
 
Wakuu guys Mh. Aweso anajitahidi sana, Japo tatizo la maji ni kubwa ila jinsi anavyokomaa huku na kule binafsi ananifurahisha sana.

Nimekuwa nikimfuatilia katika ukurasa wake FB, Leo yuko huku kesho kule hatulii sehemu moja kuhakikisha angalau mambo ya maji yanapiga hatua.

Wote wangekuwa active hivi hii nchi ingepiga hatua Japo Kwa kuchechemea.
Mwenzake Lowasa alitoa maji ziwa victoria hadi Shinyanga,yeye kafanya nini hadi sasa?
 
Haliwezekani hili,pana mbuga pale ya saadani.
Alimwambia Nani?
Kuna barabara inakatiza Mikumi
Kuna barabara inakatiza Burigi
Kuna barabara inakatiza Sengereti
Kuna barabara inakatiza Chato.
Nini saadani hakuna hata Simba?
 
Wizara ya Maji haiwezi kuendelea kwa viongozi kama Aweso.Wizara haina sera na ina sheria za maji za hovyo sana hasa za maji vijijini.

Serikali inatekeleza miradi ya maji vijijini kwa gharama kubwa sana ila sio endelevu na haitakuwa endelevu chini ya waiziri muangaikaji kama Aweso.

Haiwezekani serikali ijenge miradi ya mabilioni ikamilike halafu mwishoni umkabidhi mwananchi wa darasa la saba kuiendesha mwishowe wananchi waliopewa kuiendesha wanakula tu ela kifaa kikiharibika wanashindwa kutengeneza.


Aweso ni waziri kijana wa hovyo sana ambaye hana maono ya kiuongozi.Anazurula wilayani kutafuta posho tu.
Nyie wahuni hamna jema.wizara ya maji ndiyo yenye majizi kuliko wizara zote tz ukikaa ofisini taarifa zote ni nzuri lkn hakuna kazi.
 
Back
Top Bottom