Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhuni namla mamako.Nyie wahuni hamna jema.wizara ya maji ndiyo yenye majizi kuliko wizara zote tz ukikaa ofisini taarifa zote ni nzuri lkn hakuna kazi.
Kwa ujinga huu utakosa kuwa mhuni kweli?Muhuni namla mamako.
Hapana Siwezi kosa ndio maana namla.Kwa ujinga huu utakosa kuwa mhuni kweli?
Endelea kuamini mwenye hilo la kula marehemu.Hapana Siwezi kosa ndio maana namla.
Sawa ni vizuri.Endelea kuamini mwenye hilo la kula marehemu.
Kuhangaika, siyo wakati wote, ni uthibitisho wa ufanisi. Mafanikio yanahitajika zaidi ya kuhangaika.Wakuu guys Mh. Aweso anajitahidi sana, Japo tatizo la maji ni kubwa ila jinsi anavyokomaa huku na kule binafsi ananifurahisha sana.
Nimekuwa nikimfuatilia katika ukurasa wake FB, Leo yuko huku kesho kule hatulii sehemu moja kuhakikisha angalau mambo ya maji yanapiga hatua.
Wote wangekuwa active hivi hii nchi ingepiga hatua Japo Kwa kuchechemea.