Mawazo yangu: Waziri wa Maji ndiye kiongozi anayehangaika sana awamu hii

Hata Kalemani alikuwa Mpambanaji lakini Wenye nchi yao wala hawakujali,
Iliniuma sana maana huwezi kuamini kisa cha kuondolewa! Na mshikaji wangu mzee wa chanjo kule Kigamboni naye akatumbuliwa.

Jamaa kana mkosi kale ka Ndugulile, saivi kamezamia jimboni, nikitoka huku Uganda nitafika huko Dar na moja kwa moja Ikuku ya zamani kufanya yangu!
 
Mwenye macho aambiwi tazama.

Mtu mwingine alikuwa Jaffo, huyu mama sijui aambiwe nini swap mawaziri wa TAMISEMI na mazingira.
 
Ila anasifia sana had I........
 
Waziri mwizi kama nini! Alipiga madili akiwa naibu waziri, sasa anajifanya mchapakazi sana! Tunazo taarifa za kudakishwa pesa na marafiki zake ndani ya wizara hadi sasa.
So what
 
[emoji23][emoji23][emoji23]unazinduaje mradi hewa bila kuweka mashushu wakupe data za uhakika
 
Ahsante Kwa taarifa na inapendeza sana...
 
[emoji23][emoji23][emoji23]unazinduaje mradi hewa bila kuweka mashushu wakupe data za uhakika
Raia ndio anasema, labda huwa ni michongo ya wanasiasa ili kuwahadaa wakuu. Niliona dogo aligombea udiwani akaletwa kwa PM eti amegombea ubunge upinzani na sasa karudi CCM hahahahaa
Ilibidi nimpigie simu nicheke sana maana uzinduzi mwingi huwa unaviusanii usanii sana.

Mwingine aliniambia juzi waliwahi kumuuzia spika Msekwa Mashuka mpya kwenye maonyesho huko mkoani akizidua ujasiliamali wa wanaCCM kumbe zilikuwa ni shuka chafuchafu tu wamezitoa majumbani ili waonekane wanajituma na ujasiliamali hahahahaa
 
Wizara inahitaji mabadilikko mengi ikiwemo sera Ili kuharakisha uwepo wa maji vijini Sasa hivi Kuna urasimu mkubwa kuanzia wizarani Hadi wilayani, yeye kushinda site na mabomba bila kubadili sera na utendaji itakuwa kazi bure
We dada hunaga jema....umejaa lawama na manung'uniko...khaaa
 
Social media era. Mtu wako wa karibu akifariki, bila kupost watu huona kiasi gani hujaguswa na msiba. Na wajanja kama Waziri, wanaijua nguvu ya mitandao kwa sasa. Hivyo kutuaminisheni anapiga kazi ni rahisi, kumbe mbwembwe nyingi huku mipango sifuri.
 
Inahusiana vipi na maji?
 
Sidhani kama watakuelewa ila mpaka waziri kwenda site ina maana kuna shida mahali.
 
You know not.
 
Mwenzake Lowasa alitoa maji ziwa victoria hadi Shinyanga,yeye kafanya nini hadi sasa?
 
Haliwezekani hili,pana mbuga pale ya saadani.
Alimwambia Nani?
Kuna barabara inakatiza Mikumi
Kuna barabara inakatiza Burigi
Kuna barabara inakatiza Sengereti
Kuna barabara inakatiza Chato.
Nini saadani hakuna hata Simba?
 
Nyie wahuni hamna jema.wizara ya maji ndiyo yenye majizi kuliko wizara zote tz ukikaa ofisini taarifa zote ni nzuri lkn hakuna kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…