Max Nzengeli anaweza kuwa mchezaji mkongwe kuliko wote ligi ya NBC 2023-24

Hivi niliwahi kuleta uzi wa Wakristu kuwafunga Waislamu?
 
Nimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.

Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa w fute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.

1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.

2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).

NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.

TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde.
 
Aahaaaa,ebu niwekeee link mkuu
 
mzize ameumbuliwa na mtoto wake aliyekuwa darasa la nne na siku wakimchezesha timu ya vijana Tanzania tutaenda kufungiwa.
 
CAPO njoo na msg yako kuna Mbwiga wa Mbwiguke huku.
 
Ila umri wa bocco hauna shaka nao
 
Ila umri wa bocco hauna shaka nao
Bocco ni mkubwa ana miaka 34 na hiyo inaendana kabisa na muonekano hata sura yake.

Hata kama ame cheat ila sio kwa gape kubwa pengine mwaka mmoja au miwili tu.

Ila Mzize ndio ametufanya sisi wajinga
 
Mkuu swala la umri lipo sana Africa na ni shida sana, hata Partey wa Arsenal yule mwamba lazima karudisha mshale nyuma kidogo
 
We jamaa unastahili tuzo ya heshima [emoji1787]
 
Siku zinavyozidi unazidi kuwa mjinga tu, unaandika vitu bila fact wala evidence.

Kujuwa umri wa mtu jitahidi uwe na fact zisizo na shaka yoyote, mfano mama yake Denis Nkane ni class mate na Mdogo wangu wa mwisho kabisa kuzaliwa.

Kwahiyo nilitaka kukisia umri Denis ni mtoto maana mama yake atakuwa na umri usiozidi miaka 35.

Le Mutuz tulikuwa na fact naye ni mtu mzima kwa sababu amesoma na Mizengo Pinda.

Lady Jaydee pia tunajuwa ni mtu mzima mwenzetu tunawajuwa masister duu wa Zamani, Jangwani, Zanaki na Kisutu miaka ya 90's yani lazima awe late 40's au early 50's
 
Aisee makolo mna shida sana[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…