Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani tunda nae anatumia sembe?Au umemaanisha nnYoung Dee amerudia tena madawa hilo liko wazi.. Huyu dogo nilimfahamu vizuri sana kipindi yuko close na Chibu alikuwa anakuja sana sinza wcb..
And asipoangalia atafuata nyazo za chidi! Maana young dee msaada wake mkubwa hapa town ni Max.. Sasa stress za kukosa hela ma show za uhakia zinaweza kumfanya akaongeza matumizi ya madawa kupitiliza!
Ndicho kilichomponza Chidi pia.. Chidi alikuwa anatumia madawa kitambo tu, ile cocaine ya kusniff.. But alipoingia kwenye migogoro na media na umaarufu wake kuporomoka zile stress zilimfanya aongeze matumizi na tunaona matokeo yake..
Alafu hamjui kinacho mfanya max alie.! Ishu nzima iko hapa; Young Dee + tunda - max... Hapa ndipo kwenye kokoro!! Ila huyu tunda, she is a very bad influence.. Ukimuona mshakaji wako ana hangout na haka kamalay* hujue unampoteza mshkaji wako..
Yes maana kuna siku alikuwa anahojiwa sehemu flani ilifika sehemu akaanza kulia juu ya Dee so nafikiri tunafichwa mengi
Max kamlea sana huyo Dogo ,ni km Mdg ake alikuaKweli kazunguka mbuyu huyu angefunguka tu
Mke wake pia, anamuhudumia karibu kila kitu, then Dee anaenda kugawa kwingineYes maana kuna siku alikuwa anahojiwa sehemu flani ilifika sehemu akaanza kulia juu ya Dee so nafikiri tunafichwa mengi
Max alikua anakaa na Dee mbezi beach nyuma ya shamo tower, nasikoa alilua anaingiza wanawake na wanaume nyumban kwa Max, na alikua amamuibia pesa sana, pia walijua wana mahusiano ya kimapenziHuu uhusiano wa max na young D ni wa mashaka sana, mwanaume kulia kisa mwanaume mwenzio, afu huyu dogo anakula kulala hadi kuvaa kwa gharama ya max, hawa wa kutupia jicho la karibu
Anko ufafanuzi plz. Mbona maneno yako yana ukakasi anko. Dadavua kidogo basiMke wake pia, anamuhudumia karibu kila kitu, then Dee anaenda kugawa kwingine
Confirm bas!Mmmm unasema!!