Max Rioba adai ameshindwa kufanya kazi na Young Dee Kwa kuwa hana Nidhamu

Max Rioba adai ameshindwa kufanya kazi na Young Dee Kwa kuwa hana Nidhamu

Young Dee amerudia tena madawa hilo liko wazi.. Huyu dogo nilimfahamu vizuri sana kipindi yuko close na Chibu alikuwa anakuja sana sinza wcb..

And asipoangalia atafuata nyazo za chidi! Maana young dee msaada wake mkubwa hapa town ni Max.. Sasa stress za kukosa hela ma show za uhakia zinaweza kumfanya akaongeza matumizi ya madawa kupitiliza!
Ndicho kilichomponza Chidi pia.. Chidi alikuwa anatumia madawa kitambo tu, ile cocaine ya kusniff.. But alipoingia kwenye migogoro na media na umaarufu wake kuporomoka zile stress zilimfanya aongeze matumizi na tunaona matokeo yake..

Alafu hamjui kinacho mfanya max alie.! Ishu nzima iko hapa; Young Dee + tunda - max... Hapa ndipo kwenye kokoro!! Ila huyu tunda, she is a very bad influence.. Ukimuona mshakaji wako ana hangout na haka kamalay* hujue unampoteza mshkaji wako..
Mkuu kwani tunda nae anatumia sembe?Au umemaanisha nn
Mpe hii Niffa
 
Huu uhusiano wa max na young D ni wa mashaka sana, mwanaume kulia kisa mwanaume mwenzio, afu huyu dogo anakula kulala hadi kuvaa kwa gharama ya max, hawa wa kutupia jicho la karibu
Max alikua anakaa na Dee mbezi beach nyuma ya shamo tower, nasikoa alilua anaingiza wanawake na wanaume nyumban kwa Max, na alikua amamuibia pesa sana, pia walijua wana mahusiano ya kimapenzi
 
Sijajua tatizo nini chidi Benz Karudia young dee karudia au matamu natamani niyaonje
 
Ukianza kutumia ubuyu, ni vigumu kubaki salama hata ufurukute vipi.
KIFO , JELA AU TASISI.

Refer.
Langa Kilewo

Albert Mangwea

Ibra Da Hustler

Chid Benz

Ray C
....
....
 
Nasikia na ule mchezo ambao mkuu wa mkoa kakataza anashiriki pia.
 
Back
Top Bottom