Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiwa na miaka 15 nilimuona jamaa akivuta unga sekondari,lakini tangu wakat huo nilikua na taarifa juu ya dawa za kulevya.Pole sana. Kingine huwa hatujifunzi kupitia wengine. Maana sio kila kitu cha kujaribu.
Asante,Wanaojiingiza kwenye unga leo hii si kwamba hawana taarifa ila pia KUJITIA UJUAJI SANAAAPole sana. Kingine huwa hatujifunzi kupitia wengine. Maana sio kila kitu cha kujaribu.
Kwenye hiyo Interview hakusema namna hiyo kuwa dogo karudi Kwenye Ngada.Sijasikia vizuri................
Dogo karudia tena ngada? ausijaelewa point muhimu hapo..?
So, akisha funguka??Bora afunguke tu
Utandawazi umekuja na mbwembwe sanaWanataka kuona wajanja na wao. Kumbe ni ujinga tu
Nimeshangazwa sana mkuu hata mie.Wallah tena huu uhusiano wa Young D Na Max sio uhusiano wa mtu Na meneja wake kuna kitu kikubwa sana nyuma yao.
Young D alivyotoka kwa Lamar akachukulia Na Max toka wakati huo Max Na Lamar wana bifu huku Young D Na Lamar picha haziendi kabisa.
Na ugomvi wa Max Na Young D umefumuka baada ya Young D kurudiana Na Tunda...Kinachoonekana Max anachukizwa Young D akiwa kwenye mahusiano Na wasichana.
Kingine cha kujiuliza kwanini hiyo Label ya Max iwe na msanii mmoja tu miaka yote?!
Kwanini hakuna wasanii wengine zaidi ya Young D?
Kwanini Max anamwaga mpaka machozi kumlilia Young D?!
Binamu mic uKwisha kazii7
Huyo Max Ana rafiki take anaitwa raque wa ivuew, hana kaoa ila snaendekeza michezo michafuWallah tena huu uhusiano wa Young D Na Max sio uhusiano wa mtu Na meneja wake kuna kitu kikubwa sana nyuma yao.
Young D alivyotoka kwa Lamar akachukulia Na Max toka wakati huo Max Na Lamar wana bifu huku Young D Na Lamar picha haziendi kabisa.
Na ugomvi wa Max Na Young D umefumuka baada ya Young D kurudiana Na Tunda...Kinachoonekana Max anachukizwa Young D akiwa kwenye mahusiano Na wasichana.
Kingine cha kujiuliza kwanini hiyo Label ya Max iwe na msanii mmoja tu miaka yote?!
Kwanini hakuna wasanii wengine zaidi ya Young D?
Kwanini Max anamwaga mpaka machozi kumlilia Young D?!
sio kwakuku mis huku shogaleKwisha kazii7
binamu hivi umeona lile liugomvi kule sio la sport sport ujueHuyo Max Ana rafiki take anaitwa raque wa ivuew, hana kaoa ila snaendekeza michezo michafu
Hayo mashaka tu,Wallah tena huu uhusiano wa Young D Na Max sio uhusiano wa mtu Na meneja wake kuna kitu kikubwa sana nyuma yao.
Young D alivyotoka kwa Lamar akachukulia Na Max toka wakati huo Max Na Lamar wana bifu huku Young D Na Lamar picha haziendi kabisa.
Na ugomvi wa Max Na Young D umefumuka baada ya Young D kurudiana Na Tunda...Kinachoonekana Max anachukizwa Young D akiwa kwenye mahusiano Na wasichana.
Kingine cha kujiuliza kwanini hiyo Label ya Max iwe na msanii mmoja tu miaka yote?!
Kwanini hakuna wasanii wengine zaidi ya Young D?
Kwanini Max anamwaga mpaka machozi kumlilia Young D?!
Max kaishi sana ulaya, japokua Ana mtoto but abaendekeza michezo michafuNimeshangazwa sana mkuu hata mie.
Lazima kuwe na kitu nyuma ya speaker. Jamaa kwenye interview anasema kuna vitu amewahi kumpa young d ambavyo hajawahi kumpa hata ndugu yake kuonyesha jinsi gani anampenda.
Me najiuliza ni vitu gani hvyo ambavyo mtu anayependwa hupewa ambavyo hata ndugu hawezi pewa[emoji23][emoji23]
kabisaHuu uhusiano wa max na young D ni wa mashaka sana, mwanaume kulia kisa mwanaume mwenzio, afu huyu dogo anakula kulala hadi kuvaa kwa gharama ya max, hawa wa kutupia jicho la karibu