Max Rioba adai ameshindwa kufanya kazi na Young Dee Kwa kuwa hana Nidhamu

Max Rioba adai ameshindwa kufanya kazi na Young Dee Kwa kuwa hana Nidhamu

Sijasikia vizuri................

Dogo karudia tena ngada? ausijaelewa point muhimu hapo..?
Kwenye hiyo Interview hakusema namna hiyo kuwa dogo karudi Kwenye Ngada.

Ila habari za mtaani ndio zinasema namna hiyo.
 
Wallah tena huu uhusiano wa Young D Na Max sio uhusiano wa mtu Na meneja wake kuna kitu kikubwa sana nyuma yao.

Young D alivyotoka kwa Lamar akachukuliwa Na Max toka wakati huo Max Na Lamar wana bifu huku Young D Na Lamar picha haziendi kabisa.

Na ugomvi wa Max Na Young D umefumuka baada ya Young D kurudiana Na Tunda...Kinachoonekana Max anachukizwa Young D akiwa kwenye mahusiano Na wasichana.

Kingine cha kujiuliza kwanini hiyo Label ya Max iwe na msanii mmoja tu miaka yote?!
Kwanini hakuna wasanii wengine zaidi ya Young D?
Kwanini Max anamwaga mpaka machozi kumlilia Young D?!
 
Wallah tena huu uhusiano wa Young D Na Max sio uhusiano wa mtu Na meneja wake kuna kitu kikubwa sana nyuma yao.

Young D alivyotoka kwa Lamar akachukulia Na Max toka wakati huo Max Na Lamar wana bifu huku Young D Na Lamar picha haziendi kabisa.

Na ugomvi wa Max Na Young D umefumuka baada ya Young D kurudiana Na Tunda...Kinachoonekana Max anachukizwa Young D akiwa kwenye mahusiano Na wasichana.

Kingine cha kujiuliza kwanini hiyo Label ya Max iwe na msanii mmoja tu miaka yote?!
Kwanini hakuna wasanii wengine zaidi ya Young D?
Kwanini Max anamwaga mpaka machozi kumlilia Young D?!
Nimeshangazwa sana mkuu hata mie.

Lazima kuwe na kitu nyuma ya speaker. Jamaa kwenye interview anasema kuna vitu amewahi kumpa young d ambavyo hajawahi kumpa hata ndugu yake kuonyesha jinsi gani anampenda.

Me najiuliza ni vitu gani hvyo ambavyo mtu anayependwa hupewa ambavyo hata ndugu hawezi pewa[emoji23][emoji23]
 
Wallah tena huu uhusiano wa Young D Na Max sio uhusiano wa mtu Na meneja wake kuna kitu kikubwa sana nyuma yao.

Young D alivyotoka kwa Lamar akachukulia Na Max toka wakati huo Max Na Lamar wana bifu huku Young D Na Lamar picha haziendi kabisa.

Na ugomvi wa Max Na Young D umefumuka baada ya Young D kurudiana Na Tunda...Kinachoonekana Max anachukizwa Young D akiwa kwenye mahusiano Na wasichana.

Kingine cha kujiuliza kwanini hiyo Label ya Max iwe na msanii mmoja tu miaka yote?!
Kwanini hakuna wasanii wengine zaidi ya Young D?
Kwanini Max anamwaga mpaka machozi kumlilia Young D?!
Huyo Max Ana rafiki take anaitwa raque wa ivuew, hana kaoa ila snaendekeza michezo michafu
 
Mwishoni tutajua kitu kilicho nyuma ya pazia kati ya Max n Dee if ni manager or kuna kitu
 
Wallah tena huu uhusiano wa Young D Na Max sio uhusiano wa mtu Na meneja wake kuna kitu kikubwa sana nyuma yao.

Young D alivyotoka kwa Lamar akachukulia Na Max toka wakati huo Max Na Lamar wana bifu huku Young D Na Lamar picha haziendi kabisa.

Na ugomvi wa Max Na Young D umefumuka baada ya Young D kurudiana Na Tunda...Kinachoonekana Max anachukizwa Young D akiwa kwenye mahusiano Na wasichana.

Kingine cha kujiuliza kwanini hiyo Label ya Max iwe na msanii mmoja tu miaka yote?!
Kwanini hakuna wasanii wengine zaidi ya Young D?
Kwanini Max anamwaga mpaka machozi kumlilia Young D?!
Hayo mashaka tu,
Ila nadhani jamaa atakuwa Ali wekeza sana kwa Dogo akitarajia badae atamlipa.
Halafu gafla a naona mauza uza. Siamini kama kuna kingine
 
Nimeshangazwa sana mkuu hata mie.

Lazima kuwe na kitu nyuma ya speaker. Jamaa kwenye interview anasema kuna vitu amewahi kumpa young d ambavyo hajawahi kumpa hata ndugu yake kuonyesha jinsi gani anampenda.

Me najiuliza ni vitu gani hvyo ambavyo mtu anayependwa hupewa ambavyo hata ndugu hawezi pewa[emoji23][emoji23]
Max kaishi sana ulaya, japokua Ana mtoto but abaendekeza michezo michafu
 
Back
Top Bottom