Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Nimekumiss pia ulipotolea wapiisio kwakuku mis huku shogale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekumiss pia ulipotolea wapiisio kwakuku mis huku shogale
Hahaahahah binam una wivuuBora afukuzwe, Dee alikua anajiona beiber sana Kule mbezi, tulikua hatupumui na magar yake ya kuazima
Nimekumiss pia binam,,nipe ubuyu,umeona ile video vijana wawili wananyonyana toilet , sijui tunaenda wapiBinamu mic u
You can only manage addiction,not stoping it.Kazi kweli kweli. Huwa wanasema tu. Ile kitu sio mchezo mchezo
Acha tu,na huko kuimanage addiction si jambo dogo ,linachangamoto sana.We fikiria pombe tu kuacha inakua ni inshu,unakuta mtu anajizuia mpaka miaka 12 lakini mwsho wa siku anadondoka tena(relapse).sembuse madawa wanayokaa sober house kwa miezi 6 tu. Au wengine siku 28 (chidi benz) -anaachaje sasa kwa mf.Addiction ni balaa aisee.
Hii ishu ina ugumu sana. Mpaka ifike hatua mtu ameacha kabisa.Acha tu,na huko kuimanage addiction si jambo dogo ,linachangamoto sana.We fikiria pombe tu kuacha inakua ni inshu,unakuta mtu anajizuia mpaka miaka 12 lakini mwsho wa siku anadondoka tena(relapse).sembuse madawa wanayokaa sober house kwa miezi 6 tu. Au wengine siku 28 (chidi benz) -anaachaje sasa kwa mf.
Amewekeza kwenye nini mkuu kuwa wazi?!Hayo mashaka tu,
Ila nadhani jamaa atakuwa Ali wekeza sana kwa Dogo akitarajia badae atamlipa.
Halafu gafla a naona mauza uza. Siamini kama kuna kingine
Max hamlilii d Bali anamsikitikia mpaka Ana toa chozi no thing elseDuniaa haina siri ipo cku kilaa kitu kitaka hadharan maana c kawaidaa aiseee kumliliaa mwanaume mwenzio..dem akiniacha hata simkumbuki walaa nn ss huyu max anamliliaa dee kaaaaaaaaaaaaaa
Nimesikitika kuona huyu huyu max leo hii anapata kashfa kisa dee,.....na sitoshangaa akirudia tena kumsaidia. Max anamchukulia dee zaidi ya msanii, anamchukulia kama mdogo wake kabisa ndiyo maana anaumia sana kumuona dee vileMax hamlilii d Bali anamsikitikia mpaka Ana toa chozi no thing else
Nipo binamuNimekumiss pia ulipotolea wapii