Max Rioba adai ameshindwa kufanya kazi na Young Dee Kwa kuwa hana Nidhamu

Max Rioba adai ameshindwa kufanya kazi na Young Dee Kwa kuwa hana Nidhamu

Kwa maelezo ya mtangazaji wa EATV (Sam Misago) wakati anaongea na Max ni kwamba, Kwa sasa Young D inasemekana kuwa ameingia kwenye mambo ya Kishoga ukiachilia mbali hilo la kutumia madawa ya Kulevya ambalo lilikuwa linafahamika kwa muda mrefu.

Max alishindwa kukubali au kukanusha hayo, japokuwa hakuonekana kabisa kushangaa, na aliishia kusema, amekuwa akiyasika hayo mara nyingi sana yakimuhusu Young D, na mwisho alimalizia kusema, muda sio mrefu kila kilicho cha siri kuhusu Young D kitaonekana hadharani, maana yule(Max) wa kumtunza, kumuonya na kumsitiri Young D hayupo tena.
[emoji15] [emoji15] mtihanii
 
Hilo la kupumiliana ndio mada kuu.Ila nani anampumulia mwenzie ndio bado lipo kwenye mabano.

Ila kwa tabia za Max label yake kuwa na msanii mmoja miaka na miaka na kumlilia Young D live studio na kumuonea wivu Young D akiwa na Tunda ukichanga akili zako utaelewa hapo nani anampumulia mwenzie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna mahali max anasema eti young dee aliniomba nije kulala kitandani kwako!!!.. yaani ameomba kulala kwenye kitanda cha max...kweli hapo shida ipo kwa kweli...kwanza utasemaje maneno kama hayo kwenye interview!!!..
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Wallah tena huu uhusiano wa Young D Na Max sio uhusiano wa mtu Na meneja wake kuna kitu kikubwa sana nyuma yao.

Young D alivyotoka kwa Lamar akachukuliwa Na Max toka wakati huo Max Na Lamar wana bifu huku Young D Na Lamar picha haziendi kabisa.

Na ugomvi wa Max Na Young D umefumuka baada ya Young D kurudiana Na Tunda...Kinachoonekana Max anachukizwa Young D akiwa kwenye mahusiano Na wasichana.

Kingine cha kujiuliza kwanini hiyo Label ya Max iwe na msanii mmoja tu miaka yote?!
Kwanini hakuna wasanii wengine zaidi ya Young D?
Kwanini Max anamwaga mpaka machozi kumlilia Young D?!
Kama hujui vitu uliza, Zipo ngoma kibao Young Dee amefanya na Lamar, na zipo hewani, na mwisho juzi tu hapa amemtaja lamar kwa kumshukuru kwenye wimbo wa Hands Up, alafu unaposema MDB ina msanii mmoja unanishangaza na kunifanya nijue fika wewe ni mtupu, MDB inamiliki wasanii wengi tu tatizo wewe sio mfuatiliaji,
na wasanii wachache kati ya hao ni Rasheed, Boniface, The Voice na Jamaa wa Hip Hop anaitwa Petey Wonder,
na hao wote wametoa nyimbo kibao tu zilizo hit, kama UNTIL FOREVER ENDS, LISA LOVER, MY DESTINY, RUDI n.k.
Kwahiyo usipende kuongea vitu usivyovijua, ni vema ukafanya utafiti kwanza,
na kama una kingine ruksa kuuliza
 
Hilo la kupumiliana ndio mada kuu.Ila nani anampumulia mwenzie ndio bado lipo kwenye mabano.

Ila kwa tabia za Max label yake kuwa na msanii mmoja miaka na miaka na kumlilia Young D live studio na kumuonea wivu Young D akiwa na Tunda ukichanga akili zako utaelewa hapo nani anampumulia mwenzie
Nani amekwambia MDB inamiliki msanii mmoja???
Unamjua Rasheed?? Unamjua Petey Wonder? Unamjua Boniface?? Au unahemkwa tu
 
Nani amekwambia MDB inamiliki msanii mmoja???
Unamjua Rasheed?? Unamjua Petey Wonder? Unamjua Boniface?? Au unahemkwa tu
stunter
binafsi namfahamu rasheed (chid).huyo dogo kila nilipokuwa nakutana naye,malalamiko yake makubwa yalikuwa ni kuhusu max kutokujali talent yake ya mziki.

aliwahi niambia kuwa anatumika kwa ujira mdogo kutengeneza melody za deal za matangazo ambazo max hulipwa pesa kubwa na makampuni.kiufupi hana hamu na max.
 
Kama hujui vitu uliza, Zipo ngoma kibao Young Dee amefanya na Lamar, na zipo hewani, na mwisho juzi tu hapa amemtaja lamar kwa kumshukuru kwenye wimbo wa Hands Up, alafu unaposema MDB ina msanii mmoja unanishangaza na kunifanya nijue fika wewe ni mtupu, MDB inamiliki wasanii wengi tu tatizo wewe sio mfuatiliaji,
na wasanii wachache kati ya hao ni Rasheed, Boniface, The Voice na Jamaa wa Hip Hop anaitwa Petey Wonder,
na hao wote wametoa nyimbo kibao tu zilizo hit, kama UNTIL FOREVER ENDS, LISA LOVER, MY DESTINY, RUDI n.k.
Kwahiyo usipende kuongea vitu usivyovijua, ni vema ukafanya utafiti kwanza,
na kama una kingine ruksa kuuliza
Ahsante mkuu kwa ufafanuzi, maana tulishaanza kupewa chai aiseee[emoji120]
 
stunter
binafsi namfahamu rasheed (chid).huyo dogo kila nilipokuwa nakutana naye,malalamiko yake makubwa yalikuwa ni kuhusu max kutokujali talent yake ya mziki.

aliwahi niambia kuwa anatumika kwa ujira mdogo kutengeneza melody za deal za matangazo ambazo max hulipwa pesa kubwa na makampuni.kiufupi hana hamu na max.
Na hii ndio shida ya wasanii wengi na hata watu wasio wasanii huwa wanafeli hapo,
Unajua msanii mpaka kuingiza hela nene ujue ile ni brand, sasa bila kutengeza brand huwezi kuingiza hela kwasababu hakuna atanaye kujua zaidi ya house girl wenu,
Sasa kizaazaa kinakuja unakuta msanii bado ni yanki yani kinda haswaa anataka alipwe hela pasu kwa pasu na maneger kisa amewekwa lebo na kufanyishwa kazi, idiot,
badala ya kupigania kutengeza jina kwanza ili brand ikuwe ili hata kesho na kesho kutwa mkataba ukivnjika unaweza kusimama mwenyewe na thamani ya brand ikawa juu, yeye anakimbilia uroho wa hela tu wakati kurecord amerecord bure, deal ametafutiwa, hela ndogo ndogo anapewa za matumizi, na analelewa kwa kutunzwa kisanii (interview, feauterings nk)
Sasa ni mtu mwenye utindio tu ndo anaweza kuwaza hela badala ya kuhangaika kukuza jina ili brand iuzike kirahisi
 
Nani amekwambia MDB inamiliki msanii mmoja???
Unamjua Rasheed?? Unamjua Petey Wonder? Unamjua Boniface?? Au unahemkwa tu
Wana muda kwenye hiyo Label?

Wamesaidiwa vipi kujitangaza na kusikika?
Mbona kila siku anasikika Young D tu?
Unaweza kunitajia ngoma zako kali zinazoelewaka hao uliowataja hapo juu?

Unaniuliza unamjua fulani unamjua fulani kwanini ukuniuliza kama namjua Young D?
Kwanini Hao unaonilazimisha niwajue hawapo hata kwenye nusu ya level za Young D?
Ukijiuliza hivyo utajua kuna shida mahali.

Vitu vingine havikwepeki na huwezi kutumia nguvu kubwa kuvikwepa labda kuwe na tatizo mahali.
 
Wana muda kwenye hiyo Label?

Wamesaidiwa vipi kujitangaza na kusikika?
Mbona kila siku anasikika Young D tu?
Unaweza kunitajia ngoma zako kali zinazoelewaka hao uliowataja hapo juu?

Vitu vingine havikwepeki na huwezi kutumia nguvu kubwa kuvikwepa labda kuwe na tatizo mahali.
Wewe si ulisema ana msanii mmoja tu? Sasa ona ulivyoumbuka mwanaume unakuwa na tabia za kipashkuna au wanakupiga nao nini?
 
Na hii ndio shida ya wasanii wengi na hata watu wasio wasanii huwa wanafeli hapo,
Unajua msanii mpaka kuingiza hela nene ujue ile ni brand, sasa bila kutengeza brand huwezi kuingiza hela kwasababu hakuna atanaye kujua zaidi ya house girl wenu,
Sasa kizaazaa kinakuja unakuta msanii bado ni yanki yani kinda haswaa anataka alipwe hela pasu kwa pasu na maneger kisa amewekwa lebo na kufanyishwa kazi, idiot,
badala ya kupigania kutengeza jina kwanza ili brand ikuwe ili hata kesho na kesho kutwa mkataba ukivnjika unaweza kusimama mwenyewe na thamani ya brand ikawa juu, yeye anakimbilia uroho wa hela tu wakati kurecord amerecord bure, deal ametafutiwa, hela ndogo ndogo anapewa za matumizi, na analelewa kwa kutunzwa kisanii (interview, feauterings nk)
Sasa ni mtu mwenye utindio tu ndo anaweza kuwaza hela badala ya kuhangaika kukuza jina ili brand iuzike kirahisi
Off topic.. naona unatumia nguvu kubwa kumfanyia U-PR ndg. max.
upo vizuri ktk hili.
 
Wallah tena huu uhusiano wa Young D Na Max sio uhusiano wa mtu Na meneja wake kuna kitu kikubwa sana nyuma yao.

Young D alivyotoka kwa Lamar akachukuliwa Na Max toka wakati huo Max Na Lamar wana bifu huku Young D Na Lamar picha haziendi kabisa.

Na ugomvi wa Max Na Young D umefumuka baada ya Young D kurudiana Na Tunda...Kinachoonekana Max anachukizwa Young D akiwa kwenye mahusiano Na wasichana.

Kingine cha kujiuliza kwanini hiyo Label ya Max iwe na msanii mmoja tu miaka yote?!
Kwanini hakuna wasanii wengine zaidi ya Young D?
Kwanini Max anamwaga mpaka machozi kumlilia Young D?!
Hahhaah jamaa kasisitiza sana anampenda young na anampa vitu ambavyo hawez kumpa Mdogo wake wa damu....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Back
Top Bottom