kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
Kahojiwa akaanza kulia? Au na yeye punga?
hilo la upunga kwa max linajadilika sana ktk vijiwe vya vijana wa mjini.yawezekana naye ana tatizo lake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kahojiwa akaanza kulia? Au na yeye punga?
Vipi kuhusu kuhusu tuhuma za kuliwa tigoNimesikitika kuona huyu huyu max leo hii anapata kashfa kisa dee,.....na sitoshangaa akirudia tena kumsaidia. Max anamchukulia dee zaidi ya msanii, anamchukulia kama mdogo wake kabisa ndiyo maana anaumia sana kumuona dee vile
Amewekeza kwenye nini mkuu kuwa wazi?!
Maana Young D bado anafanya video za buku jero kwa kina Hanscana na wale wanaopeleka wasanii wao kwa kina Justin Compos na Goodfather waseme nini?
Na kama amewekeza toka miaka hiyo na biashara hailipi kwanini bado anamng'ang'ania mpaka kumlilia mbele za watu?!
we unaweza kutoa machozi hadharani kwa ajili ya mwanaume mwenzio?!
Eti hao ndio kioo cha jamii!! Hivi kuna kitu chochote ambacho jamii inaweza kuiga kutoka kwa hawa wasanii?dah wasanii wetu kazi kweli kweli
La Upunga silijui mkuu...nisipate dhambi ya uongo....hata huyo max ukikaa ukimuuliza hana uhakika kama ni kweli .Vipi kuhusu kuhusu tuhuma za kuliwa tigo
Hilo la kupumiliana ndio mada kuu.Ila nani anampumulia mwenzie ndio bado lipo kwenye mabano.Kwa maelezo ya mtangazaji wa EATV (Sam Misago) wakati anaongea na Max ni kwamba, Kwa sasa Young D inasemekana kuwa ameingia kwenye mambo ya Kishoga ukiachilia mbali hilo la kutumia madawa ya Kulevya ambalo lilikuwa linafahamika kwa muda mrefu.
Max alishindwa kukubali au kukanusha hayo, japokuwa hakuonekana kabisa kushangaa, na aliishia kusema, amekuwa akiyasika hayo mara nyingi sana yakimuhusu Young D, na mwisho alimalizia kusema, muda sio mrefu kila kilicho cha siri kuhusu Young D kitaonekana hadharani, maana yule(Max) wa kumtunza, kumuonya na kumsitiri Young D hayupo tena.
apo ndo utata upoAnayelia ndio anapumuliwa au anamlilia wa kumpumulia [emoji15]
Aisee hakunaEti hao ndio kioo cha jamii!! Hivi kuna kitu chochote ambacho jamii inaweza kuiga kutoka kwa hawa wasanii?
Kati ya baba na mama nyumbani Nani mwenye tabia ya kulia akikosewa?!Anayelia ndio anapumuliwa au anamlilia wa kumpumulia [emoji15]
mie nipo anko magu uyu kafanya maisha yawe magumu hadi sionekaniNimekumiss pia ulipotolea wapii
Nimeshangazwa sana mkuu hata mie.
Lazima kuwe na kitu nyuma ya speaker. Jamaa kwenye interview anasema kuna vitu amewahi kumpa young d ambavyo hajawahi kumpa hata ndugu yake kuonyesha jinsi gani anampenda.
Me najiuliza ni vitu gani hvyo ambavyo mtu anayependwa hupewa ambavyo hata ndugu hawezi pewa[emoji23][emoji23]
Wewe kweli mzaramo.Hilo la kupumiliana ndio mada kuu.Ila nani anampumulia mwenzie ndio bado lipo kwenye mabano.
Ila kwa tabia za Max label yake kuwa na msanii mmoja miaka na miaka na kumlilia Young D live studio na kumuonea wivu Young D akiwa na Tunda ukichanga akili zako utaelewa hapo nani anampumulia mwenzie
Ni meneja wa Kalapina.Uyo jamaa ni nani katika bongo flava?
Usiseme hivyo Anko Usiseme hivyo (in Bwakila voice)Wewe kweli mzaramo.
[emoji15] [emoji15] [emoji101] [emoji101] [emoji101] [emoji101] ?Young Dee amerudia tena madawa hilo liko wazi.. Huyu dogo nilimfahamu vizuri sana kipindi yuko close na Chibu alikuwa anakuja sana sinza wcb..
And asipoangalia atafuata nyazo za chidi! Maana young dee msaada wake mkubwa hapa town ni Max.. Sasa stress za kukosa hela ma show za uhakia zinaweza kumfanya akaongeza matumizi ya madawa kupitiliza!
Ndicho kilichomponza Chidi pia.. Chidi alikuwa anatumia madawa kitambo tu, ile cocaine ya kusniff.. But alipoingia kwenye migogoro na media na umaarufu wake kuporomoka zile stress zilimfanya aongeze matumizi na tunaona matokeo yake..
Alafu hamjui kinacho mfanya max alie.! Ishu nzima iko hapa; Young Dee + tunda - max... Hapa ndipo kwenye kokoro!! Ila huyu tunda, she is a very bad influence.. Ukimuona mshakaji wako ana hangout na haka kamalay* hujue unampoteza mshkaji wako..
Bibie khabari za siku tele ?[emoji15] [emoji15] [emoji101] [emoji101] [emoji101] [emoji101] ?
ye ndo basha au punga?Max kaishi sana ulaya, japokua Ana mtoto but abaendekeza michezo michafu