Maxence Melo: 2017 niliwahi kufuatwa na watu wasiojulikana ila Balozi wa Umoja wa Ulaya akaninusuru!

Maxence Melo: 2017 niliwahi kufuatwa na watu wasiojulikana ila Balozi wa Umoja wa Ulaya akaninusuru!

Wakati mwingine kama Watanzania na Waafrika kwa ujumla kama tuna akili. Eti Mexcence Melo analaumu Watakuwa wenzake walitaka kumkamata "akaokolewa" na Mzungu! Akiitwa nyani na Wazungu analalamika!
 
Katika historia ya JF uchaguzi wa 2020 ndio ilikuwa mara ya kwanza kutopata cyber attack na kuweza kurusha matukio yote wazi.

Uchaguzi wa 2010 JF ilikuwa down for a week, 2015 ilikuwa down for a couple of days; na between 2010 and 2015 nadhani
Sio kweli, walipata mashambulizi tena mengi tu mwaka 2020, ila walikuwa wamejipanga kukabiliana nayo, kuna muda walikwenda down ila tatizo likatatuliwa haraka kumbuka ilikuwa ni lazima kutumia VPN.

Katika hilo wanastahili pongezi maana walijua kujiandaa vyema ndio maana wengine hamkujua kama walishabuliwa.
 
Sio kweli, walipata mashambulizi tena mengi tu mwaka 2020, ila walikuwa wamejipanga kukabiliana nayo, kuna muda walikwenda down ila tatizo likatatuliwa hataka kumbuka ilikuwa ni lazima kutumia VPN.

Katika hilo wanastahili pongezi maana walijua kujiandaa vyema ndio maana wengine hamkujua kama walishabuliwa.
Well siwezi bishia what was behind the scene na sina sababu ya kukataa unayosema it makes sense given their experience during the election kujiandaa.

Lakini kesi nyingi za Max mzizi wake ni 2015 kurudi nyuma. Kipindi cha Magufuli sidhani kama alipata shtaka jipya na kama yapo ni machache sana.

Awe fair kwa upande wake sio kudandia bandwagon ya kuongeza chumvi ulikuwa utawala mmbovu; wakati amepitia mengi zaidi magumu 2015 kurudi nyuma. Kama nakumbuka vizuri kipindi cha JK mpaka passport yake walishaikamata asisafiri.
 
Well siwezi bishia what was behind the scene na sina sababu ya kukataa unayosema it makes sense given their experience during the election kujiandaa.

Lakini kesi nyingi za Max mzizi wake ni 2015 kurudi nyuma. Kipindi cha Magufuli sidhani kama alipata shtaka jipya na kama yapo ni machache sana.

Awe fair kwa upande wake sio kudandia bandwagon ya kuongeza chumvi ulikuwa utawala mmbovu; wakati amepitia mengi zaidi magumu 2015 kurudi nyuma. Kama nakumbuka vizuri kipindi cha JK mpaka passport yake walishaikamata asisafiri.
May be huko nyuma 2015 kulikuwa na mambo ya kesi tu ambayo mtu anaenda na ana haki ya kujitetea mahakamani. Lakini after that Mero anasema kulikuwa hakuna mahakamani tena ni......
 
may be huko nyuma 2015 kulikuwa na mambo ya kesi tu ambayo mtu anaenda na ana haki ya kujitetea mahakamani. Lakini after that Mero anasema kulikuwa hakuna mahakamani tena ni......
Yaani atekwe mbele ya ushahidi wa kimataifa.

Muda unavyozidi kwenda inaonekana kulikuwa na magenge mawili ya wasiojulikana.

Baya zaidi ni lile lilikokuwa linatengeneza mazingira ya kuichafua serikali ya Magufuli.

Vinginevyo wangemtaka Max anaetembea bila ya security kuna ugumu gani wa kumkamata mtu wa aina hiyo; hadi wamfuate kumchukua mbele ya balozi atakae iponda serikali.

Kulikuwa na watu wanatengeneza mazingira; labda Magufuli nae ameficha mengi alipokuwa anasema nchi ni ngumu kuendesha kushinda tunavyodhani.

Angalia walivyomfanya bi tozo pambo tu tuseme nchi inakiongozi kila siku wanamrusha nje ya nchi; ata hujui nani anaongoza nchi leo.
 
Yaani atekwe mbele ya ushahidi wa kimataifa.

Muda unavyozidi kwenda inaonekana kulikuwa na magenge mawili ya wasiojulikana.

Baya zaidi ni lile lilikokuwa linatengeneza mazingira ya kuichafua serikali ya Magufuli.

Vinginevyo wangemtaka Max anaetembea bila ya security kuna ugumu gani wa kumkamata mtu wa aina hiyo; hadi wamfuate kumchukua mbele ya balozi atakae iponda serikali.

Kulikuwa na watu wanatengeneza mazingira; labda Magufuli nae ameficha mengi alipokuwa anasema nchi ni ngumu kuendesha kushinda tunavyodhani.

Angalia walivyomfanya bi tozo pambo tu tuseme nchi inakiongozi kila siku wanamrusha nje ya nchi; ata hujui nani anaongoza nchi leo.
Ungeanzisha kanisa lake tu utuongoze kuabudu.
 
Ninamuona PM anachungulia anatoka kama anataka kuingia vile ila anashindwa atangulize mguu upi, wakushoto au wakulia.
 
Wakati mwingine kama Watanzania na Waafrika kwa ujumla kama tuna akili. Eti Mexcence Melo analaumu Watakuwa wenzake walitaka kumkamata "akaokolewa" na Mzungu! Akiitwa nyani na Wazungu analalamika!
Sasa unataka asemaje? kwamba ngoz nyeusi tunapendana sana kkas kwamba huwa hatufanyiami hila?
Je kweli kama alikuwa anaona yuko hatarini muda huo angefanya nini?
Sisem ngoz nyeupe wanatupenda ila likija suala la usalama binafsi haijilishi uko wapi na nani..
 
Yaani atekwe mbele ya ushahidi wa kimataifa.

Muda unavyozidi kwenda inaonekana kulikuwa na magenge mawili ya wasiojulikana.

Baya zaidi ni lile lilikokuwa linatengeneza mazingira ya kuichafua serikali ya Magufuli.

Vinginevyo wangemtaka Max anaetembea bila ya security kuna ugumu gani wa kumkamata mtu wa aina hiyo; hadi wamfuate kumchukua mbele ya balozi atakae iponda serikali.

Kulikuwa na watu wanatengeneza mazingira; labda Magufuli nae ameficha mengi alipokuwa anasema nchi ni ngumu kuendesha kushinda tunavyodhani.

Angalia walivyomfanya bi tozo pambo tu tuseme nchi inakiongozi kila siku wanamrusha nje ya nchi; ata hujui nani anaongoza nchi leo.
Ardhi ya ubaloz kisheria inakuwa ni office ya nchi fulani.. ndio maana wana bendera za nchi zao na askari wao.. simply ile sehem ya nchi husika japo ni temporary. You just cant walk in na kuchukua watu kirahisi.
Even police wanajua hilo. I can say at that moment that was his safety net.
Matukio hayo yalishika 2015 - 2020.. and si yeye tu
Max hakuwa mtu wa kubwabwaja sana by then but haimaanish haikutokea.
 
Yaani atekwe mbele ya ushahidi wa kimataifa.

Muda unavyozidi kwenda inaonekana kulikuwa na magenge mawili ya wasiojulikana.

Baya zaidi ni lile lilikokuwa linatengeneza mazingira ya kuichafua serikali ya Magufuli.

Vinginevyo wangemtaka Max anaetembea bila ya security kuna ugumu gani wa kumkamata mtu wa aina hiyo; hadi wamfuate kumchukua mbele ya balozi atakae iponda serikali.

Kulikuwa na watu wanatengeneza mazingira; labda Magufuli nae ameficha mengi alipokuwa anasema nchi ni ngumu kuendesha kushinda tunavyodhani.

Angalia walivyomfanya bi tozo pambo tu tuseme nchi inakiongozi kila siku wanamrusha nje ya nchi; ata hujui nani anaongoza nchi leo.
Mmh haya. Kwamba kulikuwa na genge lingine inje ya lile la akina Bashite na Sa7aya?
 
Ardhi ya ubaloz kisheria inakuwa ni office ya nchi fulani.. ndio maana wana bendera za nchi zao na askari wao.. simply ile sehem ya nchi husika japo ni temporary. You just cant walk in na kuchukua watu kirahisi.
Even police wanajua hilo. I can say at that moment that was his safety net.
Matukio hayo yalishika 2015 - 2020.. and si yeye tu
Max hakuwa mtu wa kubwabwaja sana by then but haimaanish haikutokea.
Kadiri siku zinavyosonga mengi yanazidi kuwekwa wazi. Nikikumbuka ya Dialo, Mwingira...etc
 
Wakati mwingine kama Watanzania na Waafrika kwa ujumla kama tuna akili. Eti Mexcence Melo analaumu Watakuwa wenzake walitaka kumkamata "akaokolewa" na Mzungu! Akiitwa nyani na Wazungu analalamika!
hovyo kweli wewe.

Ngozi nyeusi mwenzake anataka kumuua mweupe kamwokoa we unaona wivu?
 
Back
Top Bottom