hahahahaaa.bado bwana,Fidel hajasema kitu wala nguli.hao akina SHE ndio kabisaaa.uwe na subira ili upigaji kura uwe huru na wa haki.Halafu hakuna kampeni!
Mimi pia nataka kuonana na hawa watu
Sio kukwepa majukumu,si unajua kuna kuchunguzana wakati wa uchumba?Ukijifanya unafanya kazi TRA kumbe una guta lako kariakoo?Hahaha! Mchumba kwa kukwepa majukumu sikuwezi.
Sio kukwepa majukumu,si unajua kuna kuchunguzana wakati wa uchumba?Ukijifanya unafanya kazi TRA kumbe una guta lako kariakoo?
me na jinsia mbili
Sahau kukutana na wapwa family.
me na jinsia mbili
kumbe hunijui vizuri.Mimi ni all weather!Najua kupata na kukosa.Darling unapenda hela sanae? Si ndio? Basi hapa ndio nyumbani kwake, usihofu. Kazi TRA tunafanya na guta Kariakoo tunalo. Vyotevyote.
kumbe hunijui vizuri.Mimi ni all weather!Najua kupata na kukosa.
niunganishieni first lady wajameni
Ni mke wa mkubwa humu JF be careful utafungiwa
niunganishieni first lady wajameni
kama upo siriasi nitakupa mpango mzima, ila hujanijibu kama Masnilo ananafasi banda la nyuma kujiexpress.
Huyo anyewatafuta atawamaliza wote. Achana naye
Naona kajipotelea sijui yupo kijijini?