May i not die before masanilo,nguli,chrispin,fidel80&burn

May i not die before masanilo,nguli,chrispin,fidel80&burn

Hehehehe umelamba dume mpwa

Salama lakini kiongozi? Bwana nasikia mliangusha bonge la mnuso sehemu sehemu week end Tusker waliongeza mauzo....Nguli kanihabarisha...Mazee naungana nanyi soon libeneke kama kawa....
 
Salama lakini kiongozi? Bwana nasikia mliangusha bonge la mnuso sehemu sehemu week end Tusker waliongeza mauzo....Nguli kanihabarisha...Mazee naungana nanyi soon libeneke kama kawa....

Kichwa cha FIDEL kiko fresh, kama ni zamani tungemfananisha na redio ya bendi 12
 
Salama lakini kiongozi? Bwana nasikia mliangusha bonge la mnuso sehemu sehemu week end Tusker waliongeza mauzo....Nguli kanihabarisha...Mazee naungana nanyi soon libeneke kama kawa....

Hehehe sure mpwa tulikandamiza Ndovu mpya balaa ila Chrispin alituangusha aliingia mitini kiaina kwa ahadi nyingi hewa si tukaaendeleza makamuzi.
 
Kichwa cha FIDEL kiko fresh, kama ni zamani tungemfananisha na redio ya bendi 12

Hahahaha sasa mpwa siku ile sikuwachanganyia vinywaji mm iwa napiga kilaji chochote na kwa wkt mmoja mbona pale tulipo fika maeneo ya home nikaamia ze Lugendo aka Safari lager kama kawa mpwa.
 
Hehehe sure mpwa tulikandamiza Ndovu mpya balaa ila Chrispin alituangusha aliingia mitini kiaina kwa ahadi nyingi hewa si tukaaendeleza makamuzi.

You Guyz are best in da world.....Xpin si ni mzee wa mizigo, hapo atakuwa alitanguliza sehemu......Fidel naambiwa ni radio ya mkulima zile za enzi zile!
 
You Guyz are best in da world.....Xpin si ni mzee wa mizigo, hapo atakuwa alitanguliza sehemu......Fidel naambiwa ni radio ya mkulima zile za enzi zile!

Kwi kwi kwi! te te te, XSPN siitaji kumuuliza ni chama gani cha siasa....ana ahadi hewa sana

NB: HII TREAD YA BABY WETU UNARUHUSIWA KWENDA NJE YA MAADA NA ZII IS STRICLY FORBIDEN
 
You Guyz are best in da world.....Xpin si ni mzee wa mizigo, hapo atakuwa alitanguliza sehemu......Fidel naambiwa ni radio ya mkulima zile za enzi zile!

Hehehehe zile za mbao si unazijua mpwa teh teh teh alienda kwenye rusha roho Xpin mijimama ya magomeni na Ilala ile aliifuata.
 
Hehehehe zile za mbao si unazijua mpwa teh teh teh alienda kwenye rusha roho Xpin mijimama ya magomeni na Ilala ile aliifuata.

Lazima jana alikuwa hoi kwa ofisi maana mijimama hiyo lazima apige ule mtandao wako!
 
Hehehehe zile za mbao si unazijua mpwa teh teh teh alienda kwenye rusha roho Xpin mijimama ya magomeni na Ilala ile aliifuata.

Rudi nyuma kama page mbili utaona ile picha yako ukiwa pale posta
 
Hehehe sure mpwa tulikandamiza Ndovu mpya balaa ila Chrispin alituangusha aliingia mitini kiaina kwa ahadi nyingi hewa si tukaaendeleza makamuzi.

Hahaha! Wapwa si mnakumbuka niliwataka radhi? MPwa Geoff akanikandamiza na faini niliyokubali kuilipa? Haijalishi kitu, there is always next time. Nadhani itabidi kikao kikae tena. The sooner the better!
 
Hehehehe zile za mbao si unazijua mpwa teh teh teh alienda kwenye rusha roho Xpin mijimama ya magomeni na Ilala ile aliifuata.

Hahahaha! Mpwa usiombee siku moja nikakupeleka kwenye taarab lango la jiji Migomigo. Utakuwa unatutoroka wewe. Na tukutuku utalisahau kama wale jamaa wanavyosahau pete gesti. Hahaha!
 
Kwi kwi kwi! te te te, XSPN siitaji kumuuliza ni chama gani cha siasa....ana ahadi hewa sana

NB: HII TREAD YA BABY WETU UNARUHUSIWA KWENDA NJE YA MAADA NA ZII IS STRICLY FORBIDEN


Tulikusamehe ila hatutosahau
 
Hahaha! Wapwa si mnakumbuka niliwataka radhi? MPwa Geoff akanikandamiza na faini niliyokubali kuilipa? Haijalishi kitu, there is always next time. Nadhani itabidi kikao kikae tena. The sooner the better!
yah!tunaandaa minutes za kikao kilichopita.zikikamilika tutawatumia kwa barua pepe.then mtapendekeza kikao kikae baa gani next time
 
Back
Top Bottom