Mayai ni chaguo zuri, ila mwachezi Malinzi amalizie aliyoyaanza

Mayai ni chaguo zuri, ila mwachezi Malinzi amalizie aliyoyaanza

Huyo Malinzi yunaomba asichaguliwe tena jamani,nyie wapiga kura kama mpo humu chondechonde atatumalizia soka letu akirudi tena, soka letu linapumulia mashine.
 
Uchaguzi TFF unakaribia.

Ally Mayai Tembele na Jamal Malinzi wanaonekana washindani wenye nguvu zaidi wa nafasi ya Urais.

Ila napenda turudi nyuma,twende mbele. Miaka 4 haijawahi kumtosha na haitokuja kumtosha yeyote yule kwenye nafasi ya Uraisi wa TFF kufanya jambo ambalo linaweza kupendeza sana wapenda kandanda.

Ukizingatia watanzania tupendavyo short-cut ya Maendeleo, wengi wetu tunaona hakuna kitu chochote alichofanya JEM kwa kipindi chake chote cha Miaka 4.

Najua kunawengine tumezaa chuki mioyoni mwetu kutokana na Usimba na Uyanga tu.

Ila jambo muhimu ni kuwa JEM anahitaji miaka 4 zaidi muda wake uweze kupimwa na Maendelea aliyohusika nayo.

Kuna hii dhana ambayo tumejijenge kuwa soka la bongo linaposhndwa kupiga hatua kidogo, basi wa kulaumwa ni rais wa TFF. Hivi mmeshawahi kujiuliza vilabu vyenu vya Simba na Yanga vinafanya jitihada gani kukuza soka la bongo?
Au mnatarajia TFF iandae progamu za kukuza soka vilabuni vyenu humo?

Binafsi naipongeza TFF na rais wake kwa kuonyesha njia hasa kwenye suala la kukuza soka la vijana.

Ninaamini kuna mengi mno ambayo yapo kwenye mipango ya JEM kuhusu soka la Bongo....
Licha ya kuwa na muda mchache sana wa kutimiza hayo .....nimefurahia jitihada zake za kutokata tamaa na kuwania nafasi ya Urais kwa Mara nyingine tena ili kukamilisha yale makubwa zaidi aliyo yakusudia kwa ajili ya soka la Bongo.

Sina kinyongo kabisa na mdogo wangu Ally Mayay naye namtakia kila la kheri, ila akae akijua kuwa huu si wakati wake.
Na kwamba JEM amejipanga vilivyo kumgaragaza kwenye uwanja wa Uchaguzi.

Namshauri Ally Mayay ajipange upya kwa ajili ya Uchaguzi wa mwaka 2021.

Ninauhakika kuwa wajumbe wapiga kura watahakiksha ushindi wa kishindo kwa JeM



@TeamMalinzi

Kwa jinsi unavyohakikisha kila siku unakuja na uzi humu wa kumuhusu Rais wa sasa wa TFF Jamal Malinzi huku ukimpamba naamini kuwa mpaka Uchaguzi ukimalizika utakuwa angalau na Ka kibanda Kako au Ka vitz Kako au pengine kupata Zawadi ya Kumbebea Mimba ili umzalie Baby TFF.
 
  • Thanks
Reactions: pri
Mayay amekubalika sababu ya uchambuzi wake wa soka la Tanzania kwenye vituo kama Azam ,clouds akina shaffi humuita na amekuwa akizungumzia soka la TZ kwa ueledi


Ndio maana leo hii unaona mayay ana mashabiki wengi hata wa simba ,mayay amejijenga kwenye media kwa ufanisi wake ndio maana watu hawaja doubt alipochukua form
Hata Neville ni mchambuzi mzuri sana akadandia fani ya ukocha kilichompata Valencia kila MTU shahidi.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Kwa jinsi unavyohakikisha kila siku unakuja na uzi humu wa kumuhusu Rais wa sasa wa TFF Jamal Malinzi huku ukimpamba naamini kuwa mpaka Uchaguzi ukimalizika utakuwa angalau na Ka kibanda Kako au Ka vitz Kako au pengine kupata Zawadi ya Kumbebea Mimba ili umzalie Baby TFF.
Kwa hiyo wewe kila unaemuanzishia Uzi hapa na kumsifia anakula nyero yako sio?

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
kwan amalizie hayo aliyoyaanza alikuwa haandiki..?
Una uhakika gani kama Tenga alimaliza ya kwake yote..? Unaweza kuta Mainz mengi anayoyafanya aliyakuta kwa makaratasi aliyaacha mtangulizi wake.
#Piga_chini_MALINZI_kwa_wa_SOKA_Letu
#Piga_chini_MALINZI_kwa_wa_SOKA_Letu
#Piga_chini_MALINZI_kwa_wa_SOKA_Letu
#Piga_chini_MALINZI_kwa_wa_SOKA_Letu

#Mawazo_huru
 
Pambana uondokane na umasikini fukara wa fikra ww, ;huyo malinzi wako mwambie aende bukoba akalime ndizi Tff hatumuitaji tena tunataka wenye idea na mpira
Wewe ndio huna akili kabisa kwa kuona aliecheza Moira ndio anafaa kuongoza chama cha mpira basi kama ni hivyo Julio angekuwa rais wa kudumu wa TFF.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Uchaguzi TFF unakaribia.

Ally Mayai Tembele na Jamal Malinzi wanaonekana washindani wenye nguvu zaidi wa nafasi ya Urais.

Ila napenda turudi nyuma,twende mbele. Miaka 4 haijawahi kumtosha na haitokuja kumtosha yeyote yule kwenye nafasi ya Uraisi wa TFF kufanya jambo ambalo linaweza kupendeza sana wapenda kandanda.

Ukizingatia watanzania tupendavyo short-cut ya Maendeleo, wengi wetu tunaona hakuna kitu chochote alichofanya JEM kwa kipindi chake chote cha Miaka 4.

Najua kunawengine tumezaa chuki mioyoni mwetu kutokana na Usimba na Uyanga tu.

Ila jambo muhimu ni kuwa JEM anahitaji miaka 4 zaidi muda wake uweze kupimwa na Maendelea aliyohusika nayo.

Kuna hii dhana ambayo tumejijenge kuwa soka la bongo linaposhndwa kupiga hatua kidogo, basi wa kulaumwa ni rais wa TFF. Hivi mmeshawahi kujiuliza vilabu vyenu vya Simba na Yanga vinafanya jitihada gani kukuza soka la bongo?
Au mnatarajia TFF iandae progamu za kukuza soka vilabuni vyenu humo?

Binafsi naipongeza TFF na rais wake kwa kuonyesha njia hasa kwenye suala la kukuza soka la vijana.

Ninaamini kuna mengi mno ambayo yapo kwenye mipango ya JEM kuhusu soka la Bongo....
Licha ya kuwa na muda mchache sana wa kutimiza hayo .....nimefurahia jitihada zake za kutokata tamaa na kuwania nafasi ya Urais kwa Mara nyingine tena ili kukamilisha yale makubwa zaidi aliyo yakusudia kwa ajili ya soka la Bongo.

Sina kinyongo kabisa na mdogo wangu Ally Mayay naye namtakia kila la kheri, ila akae akijua kuwa huu si wakati wake.
Na kwamba JEM amejipanga vilivyo kumgaragaza kwenye uwanja wa Uchaguzi.

Namshauri Ally Mayay ajipange upya kwa ajili ya Uchaguzi wa mwaka 2021.

Ninauhakika kuwa wajumbe wapiga kura watahakiksha ushindi wa kishindo kwa JeM



@TeamMalinzi
Kuibeba yanga!
 
wote wawili hawafai mayai na malinzi afadhali mwakalebela ambaye aliwahi kuwa katibu mkuu tff alifanya kazi kubwa kubwa kabla hajaondoka .
Ukisoma ripoti ya ukaguzi wa fedha wa tff utajua kwanini wote hawafai pia mayai aliwahi kuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya yanga na baadae akajiuzulu kabla ya kugombea tena akakataliwa .
 
Tanzania bado sijaona maana ya kuwa na vingozi katika masuala ya mpira maana waliokuwepo hakuna walichofanya
 
Back
Top Bottom