Mayai ya Kwale

Mayai ya Kwale

Wakuu wa Quils nimejaribu kufuatilia ishu za Kibari, ila inahitajika juhudi zaidi, ili kukupita, kuna jamaa wa mali asiri nilimpigia simu ndo akanipa utaratibu ulivyo, make vibari navyo viko vya aina nyingi sana, so kwa anye taka nashauri aende kwenye ofisi za Mali siri hapo utapewa taratib zote, Ila kuna tahadhari nilipewa na sitaweza kuiweka hapa so mtu anaye taka ni kujua ani Pm au ani call, ni muhimu sana,

Sitweka hapa kwa sababu hapa wanapiti kila aina ya watu, wazuri na wabaya, wakubwa na wadogo, wenye nchi na wasio kuwa na nchi, hivyo inaweza leta some shida,
 
Wakuu wa Quils nimejaribu kufuatilia ishu za Kibari, ila inahitajika juhudi zaidi, ili kukupita, kuna jamaa wa mali asiri nilimpigia simu ndo akanipa utaratibu ulivyo, make vibari navyo viko vya aina nyingi sana, so kwa anye taka nashauri aende kwenye ofisi za Mali siri hapo utapewa taratib zote, Ila kuna tahadhari nilipewa na sitaweza kuiweka hapa so mtu anaye taka ni kujua ani Pm au ani call, ni muhimu sana,

Sitweka hapa kwa sababu hapa wanapiti kila aina ya watu, wazuri na wabaya, wakubwa na wadogo, wenye nchi na wasio kuwa na nchi, hivyo inaweza leta some shida,

Mkuu kuna mdau kani PM yuko U.k ananiambia kuna Wakenya wanawaingiza sana hawa ndege nchini Ufaransa na Uingereza!wanauzwa sana kwenye supermarket za huko na demand yao ni kubwa!!amenidodosa pia kua hao Wakenya kuna idadi ya quials wanaitoa Tanzania,na amount nyingine wanazalisha wenyewe!japo sijajua aina ya kwale wanaopelekwa kwenye nchi hizo,ila utaona ni jinsi gani wenzetu walivyo wepesi wa kuzitafuta fursa na kupenyeza mpaka katika global market!Watanzania inabidi tujitahidi kubadilika sana kifikra na tuanze kuwa wathubutu zaidi ili tuweze kujikwamua!tusiwe kila siku wasindikizaji,walalamikaji na wasiaji kwa mambo ambayo tunayaweza
 
Wazo zuri naomba watumishi wote wa serikali(walimu) wawe wabunifu sio kulalamika tu kila siku.shenz!!
 
Mkuu kuna mdau kani PM yuko U.k ananiambia kuna Wakenya wanawaingiza sana hawa ndege nchini Ufaransa na Uingereza!wanauzwa sana kwenye supermarket za huko na demand yao ni kubwa!!amenidodosa pia kua hao Wakenya kuna idadi ya quials wanaitoa Tanzania,na amount nyingine wanazalisha wenyewe!japo sijajua aina ya kwale wanaopelekwa kwenye nchi hizo,ila utaona ni jinsi gani wenzetu walivyo wepesi wa kuzitafuta fursa na kupenyeza mpaka katika global market!Watanzania inabidi tujitahidi kubadilika sana kifikra na tuanze kuwa wathubutu zaidi ili tuweze kujikwamua!tusiwe kila siku wasindikizaji,walalamikaji na wasiaji kwa mambo ambayo tunayaweza

Mkuu Kenya wanazalisha wenyewe wana totoresha, hiyo ya kutoa Tanzania si dhani kama ina ukweli kwa sababu Hawa ndege ukienda polini ina manisha ukamate kwa mitego na utashika wangapi? Na kumbuka inakuwa ni kuwinda, wanazalisha wenyewe, so kama nilivyo sema ili kuwafuga ni lazima kibali
 
Mkuu Kenya wanazalisha wenyewe wana totoresha, hiyo ya kutoa Tanzania si dhani kama ina ukweli kwa sababu Hawa ndege ukienda polini ina manisha ukamate kwa mitego na utashika wangapi? Na kumbuka inakuwa ni kuwinda, wanazalisha wenyewe, so kama nilivyo sema ili kuwafuga ni lazima kibali



Ni kweli mkuu,hata huyo jamaha aliyenieleza ni kua Wakenya si kua wanawakamata porini,bali wanawazalisha wenyewe na kuwasafirisha nje,anadai kua kuna Mkenya anawazalisha kwa wingi Tanzania na Kwao Kenya then anawasafirisha Europe!nimejaribu kusoma soko la quails kwa Uk,nimeona kua kwa kwao awali walikua wanaruhusu watu kuwinda misituni,ila kwa sasa wamepiga marufuku wanataka wauzwe kutoka kwa wale watu wanaowafuga tu!na naona wamesifiwa sana kua nyama yake ni tamu,na scientificaly mayai yao ni tiba ya vitu kadhaa wa kadhaha!ukweli itabidi nami nionje nyama ya hii kitu mkuu!
 
Ni kweli mkuu,hata huyo jamaha aliyenieleza ni kua Wakenya si kua wanawakamata porini,bali wanawazalisha wenyewe na kuwasafirisha nje,anadai kua kuna Mkenya anawazalisha kwa wingi Tanzania na Kwao Kenya then anawasafirisha Europe!nimejaribu kusoma soko la quails kwa Uk,nimeona kua kwa kwao awali walikua wanaruhusu watu kuwinda misituni,ila kwa sasa wamepiga marufuku wanataka wauzwe kutoka kwa wale watu wanaowafuga tu!na naona wamesifiwa sana kua nyama yake ni tamu,na scientificaly mayai yao ni tiba ya vitu kadhaa wa kadhaha!ukweli itabidi nami nionje nyama ya hii kitu mkuu!

Mkuu .... umenifungua sana kutoka katika kamba yenye fundo kubwa .... niliwahi kuwala nikiwa mdogo ...kwa kweli nakumbuka walivyokuwa watamu .... sasa basi subiri nitakuletea mrejesho na pia I promise nitakuonjesha .... from me i just call it 'a bobbie quail farming project' next move I will brand it another slogan meant for profit
 
Mkuu .... umenifungua sana kutoka katika kamba yenye fundo kubwa .... nilieahi kueala mokiwa mdogo ...kwa kweli nakumbuka walivyokuwa watamu .... sasa basi subiri nitakuletea mrejesho na pia I promise nitakuonjesha .... from me i just call it 'a bobbie quail farming project' next move I will brand it another slogan meant for profit

Asante mkuu,tuko pamoja sana!na nasubiri kwa hamu niwaonje hawa ndege!nimeona kwenye picha tu Waingereza wanavyotayarisha tayari kwa kuliwa,dah mate yamenitoka mkuu
 
Mkuu My B tufanye hivi mimi nikiena Kenya nitachukua mayai yake kwa ajili ya Kuatamisha, kama una mashine itakua poa, make kilicho nifanya nisitake kuchukua haya mayai ni kwamba Joto la kutatotoresha ni tofauti na la kuku so ni lazima uwasetie joto lao wenyewe kwenye incubators, so kwenye next week naweza enda Nairobi na nitabeba machache make kuna Rafiki yangu Mkikuyu anao wengi sana na kule wana soko na wanaliwa kwa wingi

Una wazo zuri, una importation permit? au unataka kufnay smaguling?
 
Natamani kupata hayo mayai, tatizo incubator,ngoja niulize Arusha kwa kaka yangu kama anaweza kupata mahali tutotoreshe kabisa.
Mkuu Malila haya mayai yanaweza totoreshwa na incubator ila kidogo yana kazi kidogo, kwanza huwezi ya changanya na mayai ya kuku kwenye mashine kwa sababu kuu kama tatu,
1.Humidity ya mayai ya kware kwenye incubator iko chini sana wakati ya mayai ya kuku inaanzia 50 hadi 60 kwa siku 18 za kwanza, ya kware ni chini ya hapo yaani 35 hadi 45 kwa siku 15 za mwanzo. HIVYO NI LAZIMA YATOTORESHWE YENYEWE
2. Siku za kugeuza ni 15 kwa Quils wakati kwa kuku ni 18,
3. Some time inatakiwa siku 3 za mwanzo mayai yasigeuzwe kwa Quils
ILA HAYA YANAENDANA NA AINA YA QUILS MAKE ZIPO AINA NYINGI NA TIFAUTI NA KUKU KWA QUILS KILA AINA INA MAHITAJI YAKE
 
Mkuu Malila haya mayai yanaweza totoreshwa na incubator ila kidogo yana kazi kidogo, kwanza huwezi ya changanya na mayai ya kuku kwenye mashine kwa sababu kuu kama tatu,
1.Humidity ya mayai ya kware kwenye incubator iko chini sana wakati ya mayai ya kuku inaanzia 50 hadi 60 kwa siku 18 za kwanza, ya kware ni chini ya hapo yaani 35 hadi 45 kwa siku 15 za mwanzo. HIVYO NI LAZIMA YATOTORESHWE YENYEWE
2. Siku za kugeuza ni 15 kwa Quils wakati kwa kuku ni 18,
3. Some time inatakiwa siku 3 za mwanzo mayai yasigeuzwe kwa Quils
ILA HAYA YANAENDANA NA AINA YA QUILS MAKE ZIPO AINA NYINGI NA TIFAUTI NA KUKU KWA QUILS KILA AINA INA MAHITAJI YAKE

Na hapo ndipo penye utalaam hasa. Ww huwezi toa msaada wa kutotoresha kabisa ili nikulipe nipate vifaranga moja kwa moja?
 
Na hapo ndipo penye utalaam hasa. Ww huwezi toa msaada wa kutotoresha kabisa ili nikulipe nipate vifaranga moja kwa moja?

Ishu iko kwenye Kibari, ukipata mambo yatakuwa mteremko tu, unaweza watotoresha je kuwasafirisha? Ukiambiwa hawa ndege umekamata hifadhini utabisha? Hapo hapo ukiambiwa ueleze kuhusu wauaji wa tembo utabisha? So unaweza ona hatari iliyopo? Hata kanga jaribu kusafirisha zeni uotewe uone, kuna jamaa angu alikutwa na kanga wawili tu kwenye gari, ilikuwa patashika na ilimcost sana
So mkuu haya mambo yakienda kwa kibari itakuwa nzuri sana na unaweza fanya kwa amani.
Bila kibari hata kwenye mabasi hawawezi kubari upakie.
 
Ishu iko kwenye Kibari, ukipata mambo yatakuwa mteremko tu, unaweza watotoresha je kuwasafirisha? Ukiambiwa hawa ndege umekamata hifadhini utabisha? Hapo hapo ukiambiwa ueleze kuhusu wauaji wa tembo utabisha? So unaweza ona hatari iliyopo? Hata kanga jaribu kusafirisha zeni uotewe uone, kuna jamaa angu alikutwa na kanga wawili tu kwenye gari, ilikuwa patashika na ilimcost sana
So mkuu haya mambo yakienda kwa kibari itakuwa nzuri sana na unaweza fanya kwa amani.
Bila kibari hata kwenye mabasi hawawezi kubari upakie.

kitomari2 tunakuomba mchango wako kuusu kware huko arusha
 
Ishu iko kwenye Kibari, ukipata mambo yatakuwa mteremko tu, unaweza watotoresha je kuwasafirisha? Ukiambiwa hawa ndege umekamata hifadhini utabisha? Hapo hapo ukiambiwa ueleze kuhusu wauaji wa tembo utabisha? So unaweza ona hatari iliyopo? Hata kanga jaribu kusafirisha zeni uotewe uone, kuna jamaa angu alikutwa na kanga wawili tu kwenye gari, ilikuwa patashika na ilimcost sana
So mkuu haya mambo yakienda kwa kibari itakuwa nzuri sana na unaweza fanya kwa amani.
Bila kibari hata kwenye mabasi hawawezi kubari upakie.

Kwa hiyo bora kusafirisha mayai nitotoreshe huku Dar,ngoja nijipange.
 
Kwa hiyo bora kusafirisha mayai nitotoreshe huku Dar,ngoja nijipange.

Mkuu Malila kuna kazi kidogo na si ishu rahisi kama tunavyo fikiria.
1. Kuna kibari cha kuruhusiwa kukamata tu hawa ndege na kufuga na kinaeleza idadi na wapi unakamatia. KIKIPATA NAPO NI SHUGHURI

2. Kuna cha kukamata na ku export. Hiki ni very complicated

3. Kuna kuingiza ndani ya nchi wanyama au ndege mwitu, hiki nilivyo ambiwa ni kama hakijawahi tolewa kabisa, make process zake ni ngumu sana.

4.Kipo sasa cha kumiliki na kuuza hai ndege au wanyama sokono, so tusidhani utakuwa unaweka mayai kwenye tray na kwenda kuuza, Hata kama unapeleka super market bila kuwa na kibali cha kuuza hawawezi pokea make wao watajibu vipi?

So malila huo ndo ugumu uliopo ingawa ukifanya jitihada kupata ni rahisi tu.
ILA KUNA OPTIONAL AMBAZO ZIPO AMBAZO NILIELEZWA NA WAHUSIKA NA KUANIKA HAPA NI MBAYA SANA ILA SI OPTIONAL ZA KIBARI. Kibari kiko parepare
 
Na katika hivyo vibari vipo ambavyo ni only katibu mkuu wa wizara ndo anaweza toa,
 
mimi najua mayai ya kwale ni maarufu kwa kumloga mtu aliyetoka na mwenzi wako......ukitumia kwenye dhamira hiyo , uliyemroga daima atakuwa na akili za kutangatanga kama kwale na hakika hatamkumbuka tena mpenzi wako

Kwenye fani hii! Watz nawapigia saluti!

Manake mpaka fomula zoote mnazijua!

Basi juu ya fani hii.! hamjavumbua chochote cha maana!? Ni kurogana tu!?!
Haaaaaa!

Nchi haikaliki bila kufunga kale kabrifkesi kwenye kwapa!!!?
Mmhhhh! Mtaondoa wengi nyie!!

Ndoo maana mi kijijini nimekimbia!

Manake tv hamna!
Starehe ya mtu wa village ni kumpiga mtu juju! Halafu anamcheki ile miondoko ilivyobadilika! Utafkiri kakata senta bolt!!

Halafu anacheeeeeka! Basss.!

Wana laana wale walogi!!
Mnsssssss!
 
Mkuu Malila kuna kazi kidogo na si ishu rahisi kama tunavyo fikiria.
1. Kuna kibari cha kuruhusiwa kukamata tu hawa ndege na kufuga na kinaeleza idadi na wapi unakamatia. KIKIPATA NAPO NI SHUGHURI

2. Kuna cha kukamata na ku export. Hiki ni very complicated

3. Kuna kuingiza ndani ya nchi wanyama au ndege mwitu, hiki nilivyo ambiwa ni kama hakijawahi tolewa kabisa, make process zake ni ngumu sana.

4.Kipo sasa cha kumiliki na kuuza hai ndege au wanyama sokono, so tusidhani utakuwa unaweka mayai kwenye tray na kwenda kuuza, Hata kama unapeleka super market bila kuwa na kibali cha kuuza hawawezi pokea make wao watajibu vipi?

So malila huo ndo ugumu uliopo ingawa ukifanya jitihada kupata ni rahisi tu.
ILA KUNA OPTIONAL AMBAZO ZIPO AMBAZO NILIELEZWA NA WAHUSIKA NA KUANIKA HAPA NI MBAYA SANA ILA SI OPTIONAL ZA KIBARI. Kibari kiko parepare

Jamaa yangu Chasha kiswahili chako kina nikumbusha. Tarime na musoma!!
Manake unapenda sana kutumia herufi"R" Sehemu inapowekwa "L".

Teh teh teh teh!
Anyway! Turudi kwenye mada.

Hivo vibali vyoote ni kitu kidogo tu!
Unapata!
Pale wizara ya mifugo. Ukipeleka ugalatia wako! Wanakutoa baruti!!

Kata hio hela ya kula! Watu wafanye kazi.
Hakuna kibali ambacho hakijawahi kutoka!
Inategemea mfuatiliaji ni nani!!

Kuna jamaa mmoja pale wizarani.
jina namuhifadhi.
Kijana mweusi saana!.
Anapenda kunyoa panki kama kandabongoman! Hana cheo cha maana. Lakini balaa!
Ukimpa tenda ya kibali.!
Hata kibali cha kuwanyonyoa mbuni manyoa atakutolea! We hela yako tu!

Ni ushauri tu wa kitz. Nakupa.!!
Tena buuure! Malipo staki!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom