CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Wakuu wa Quils nimejaribu kufuatilia ishu za Kibari, ila inahitajika juhudi zaidi, ili kukupita, kuna jamaa wa mali asiri nilimpigia simu ndo akanipa utaratibu ulivyo, make vibari navyo viko vya aina nyingi sana, so kwa anye taka nashauri aende kwenye ofisi za Mali siri hapo utapewa taratib zote, Ila kuna tahadhari nilipewa na sitaweza kuiweka hapa so mtu anaye taka ni kujua ani Pm au ani call, ni muhimu sana,
Sitweka hapa kwa sababu hapa wanapiti kila aina ya watu, wazuri na wabaya, wakubwa na wadogo, wenye nchi na wasio kuwa na nchi, hivyo inaweza leta some shida,
Sitweka hapa kwa sababu hapa wanapiti kila aina ya watu, wazuri na wabaya, wakubwa na wadogo, wenye nchi na wasio kuwa na nchi, hivyo inaweza leta some shida,