Mayai ya Kwale

Mayai ya Kwale

Wakiwa kwenye captivity watazaliana?

confirmed .... yes

nimeanza kutengeneza quail cage ..... nimepata jamaaa wa kenya ananiuzia quail chicks ... yeye anayo commercial quail farm .... ame confirm kwamba hao vifaranga wakikua watataga mayai ambayo ni fertilized then hatching is by incubator
 
confirmed .... yes

nimeanza kutengeneza quail cage ..... nimepata jamaaa wa kenya ananiuzia quail chicks ... yeye anayo commercial quail farm .... ame confirm kwamba hao vifaranga wakikua watataga mayai ambayo ni fertilized then hatching is by incubator

bei ikoje kwa kifaranga mkuu?
 
Kwa Tanzania sasa, jana nilijaribu kufanya kautafiti maeneo fulani na na bado naendelea kukusanya maelezo na nitaya unganisha na niliyo tumiwa from Kenya jana, ili nije na maelezo kamili.
Hawa ndege vilevile wako wa aina nying

Mkuu maelezo yako yameshiba haswa,kweli JF ni kila kitu!naamini Watanzania tukiamua kupambana hasa na kutumia fursa zote zilizopo tuna uwezo mkubwa wa ku compete na majirani zetu katika anga za kimataifa!tunasubiri ng'we ya mwisho ya maelezo yako yaliyojitosheleza mkuu!
 
Mkuu wanahitaji Kibari tena kwa hawa Ndege usijaribu bila kibari, inawza kula kwako mazima, na hata kuwasairisha inahitaj kibali, unaweza mbiwa umewachukua hifadhini, utabisha vipi?

:laugh::laugh::laugh::laugh: NIMEZUNGUMZIA KUFUGA TU MKUU SIO KUWAFANYIA BIASHARA
 
Mkuu maelezo yako yameshiba haswa,kweli JF ni kila kitu!naamini Watanzania tukiamua kupambana hasa na kutumia fursa zote zilizopo tuna uwezo mkubwa wa ku compete na majirani zetu katika anga za kimataifa!tunasubiri ng'we ya mwisho ya maelezo yako yaliyojitosheleza mkuu!

Mkuu freshi,

Katika Fuatilia zangu, nimkuta kuna mzungu anawafuga huku Arusha, na anao wengi mno si chini ya 5000, ila sasa ni kwamba mayai yake anayauza nje ya nchi South Africa, na anauza mayai tu ila yeye hatumii, na anacho kibari kabisa kutoka Mari asili, cha kufuga na cha kusafirisha na wa kwake aliwachukua porini kwa kibari,

lla ishu nyingine ni kwamba hawa Ndege wako aina nyingi na mfano wa Huku kwetu na walioko China au Japani ni tofauti kabisa

Tatizo huyu mzungu hauzi hata mmoja, yeye huwapakia kwenye ndege na kuwapeleka nje, sasa kwa huku kwetu ndo bado ni giza tu, nilijaribu kuongea na Wachina fulani wenye hospitali huku nao wanaleta story za ajabu ajabu,

So wengine waendelee kutafuta habari za masoko na kadharika make watu wasiingie kichwa kichwa, Ila kuna Inforation zingine nazisubiria kutoka sehemu na zikinifikia nitawataarifu,



ILA KUHUSU UFUGAJI, WAKUU KIBARI NI MUHIU SANA, TENA MNO MAKE LOLOTE LAWEZA TOKEA NA LASIVYO UWE N PESA YA KUTOSHA KUHONGA, SO KABLA MTU HAJAFIKIRIA KUWAFUGA NI BORA AKATAFUTA KIBARI, Haya imeelezwa na jamaa wa wanyama,

Na hata jamaa angu w Kenya amenambia ni bora ukawa na kibari kabisa la sivyo n hatari sana hata kusafirisha mayai yake

ILA KWA WENZETU VIBARI NI RAHISI KUPATA NA ANAFUGA HADI MBUNI, NA HAKUNA KITU KINAPESA KAMA MBUNI, KENYA WANAFUGWA SANA, HUKU SIJUI LABDA ZOO

 
:laugh::laugh::laugh::laugh: NIMEZUNGUMZIA KUFUGA TU MKUU SIO KUWAFANYIA BIASHARA

kitu niimoja hakuna kibari cha kuwafuga na kibari cha kuwauza, ishu ni kuwamiliki,Vibari vinapatikana so jaribu kutafuta,

Na hata Kenya waao fuga wanao kutakia mema hukuuliza kama una kibari, kama huna hawawezi tuma labda ufuate mwenyewe na ukikamatwa ni juu yako, na Mfano kuwatoa huwezi pita nao Boda bila kibari, utaishia Gerezani, au Airport huwezi katiza nao kama huna kibari,
 
bei ikoje kwa kifaranga mkuu?

Vifaranga ni Ghari ila nzuri ni mayai, na kwanza uwe na kibari mkuu, yaani kama mimi siwezi jarib kuwatuma kutoka Arusha hadi Dar bila Kibari n hakuna Basi litakalo kubali kubeba,
 
Sisi watanzania tunashida sana kesho tutadangaywa tena tu kua mayai ya bundi yanatafutwa kwanini tusifuge kitu ambacho kesho ukipeleka sokoni hakimtesi mfugaji tutaiga mwishoe tutajuta tu maana uezi kukamata kware ukapeleka sokoni hp bongo watu watakushangaa
 
Sisi watanzania tunashida sana kesho tutadangaywa tena tu kua mayai ya bundi yanatafutwa kwanini tusifuge kitu ambacho kesho ukipeleka sokoni hakimtesi mfugaji tutaiga mwishoe tutajuta tu maana uezi kukamata kware ukapeleka sokoni hp bongo watu watakushangaa

Mkuu unafurahisha, Mku kware wanaliwa kama ni kuliwa, kwa walio zaliwa vijijini wanafahamu hili, ila kama ulizaliwa mjini kati ndo huwezi jua hili,mmi nimewatega sana kware enzi za kuchunga Ndama na Kondoo

Na ishu si kwenda polini kukamata kware, hata Kanga huwezi enda polini na kuwakamata na kuja kuwaua, na ishu ni kwamba sisi ndo kwanza tunatoka kwenye ujama, make ujamaa nin kwamba Serikali itafanya, wakati wenzetu wanatafuta means mbalimbai za kupata pesa,

Hawa Kware wanafugwa kwenye nchi nyingi kama China, India na Japani, na nchi nyingine za Asia, kwa Asia Kware ni kama kuku tu na that is why Incubator made in china mara nyingi huwa n melezo ya kware lakini incubator Made in Ulaya huwezi pata

Dunia kwa sasa ni Kijiji na zinatafutwa furusa mahali popote pale zilipo, Nimetolea mfano wa Mbuni kwingine muni wanafugwa kwa vibari nani kitoweo na mayai yake yanauzwa watu wanaenda kula and then yale ma eggs shell yake yanauzwa tena pesa nyingi sana, wapo wanao fuga kwa minajri ya kupata eggs shell zake kuuza make ni pesa, so huwezi sema mbuni ni uchawi,

Na hata wanao fuga kama ho mzungu ni kwamba ana export ya kwenda kuuza kw kula na Kuna duka anasupply.
 
Sikatai ila tukumbuke pia kuna mfugaji ambae anauezo wa kusafirisha nje je atawala ama atapeleka wp? Maana tunaongelea ujasirimali
 
Quail eggs are a very valuable source of vitamins A, C, B1, B2, B6, B12 and vitamin D, iron, omega-3, omega-6, magnesium, zinc, copper, phosphorus, Selenium, minerals, amino acids and other essential micro-nutrients.

No one is suggesting that quail eggs are any kind of a wonder-drug that will automatically cure serious illnesses, but their positive effect on human body in general and on their ability to help those suffering from certain illnesses has been proven.

Chinese medical practitioners have been using quail eggs as a treatment for many years with excellent results. They are slowly becoming an easier to get and more people are beginning to show interest in their use as an alternative natural medicine instead of the chemical products with vast side effects.


The table below you will find suggestion as to how to administrate quail eggs. The following recommendations are sorted by age
Age Group
Total No of Quail Eggs
Total No of Days
1st Day
2nd Day
3rd Day
From the 4th Day onwards
Adult
240
49
3
3
4
5
Adult
120
25
3
3
4
5
16-18 yrs
120
25
3
3
4
5
11-15 yrs
120
31
3
3
3
4
8-10 yrs
90
30
3
3
3
3
4-7 yrs
60
20
3
3
3
3
1-3 yrs
60
30
2
2
2
2
3 months - 1 yr
30
30
1
1
1
1
Practitioners who use of quail eggs as treatment or part of the treatment have recommendations based on the illness or condition, the table below shows more information for each condition.

Growth stimulation and metabolism improvement100eggs
Reactivate the nerves and central nervous system120eggs
For the elderly: Quail eggs have brilliant regenerative effects on the body therefore are recommended for the elderly. It can calm down and/or cure many diseases attributed to old age, deficiency or excess nutrients in the body.
quail eggs help renewing the state of health and brings the body to equilibrium, combats the degenerative process and rejuvenates the body240eggs
revives memory and protects nerve cells120eggs
improves sexual potency120eggs
reinforces organs weakened by physical work or stress240eggs
fortifies the body240eggs
Allergy treatment:
Asthma240eggs
Skin rash120eggs
Eczema conjunctivitis120eggs
Allergic rhinitis240eggs
Gastro intestinal tract disorder treatment:
Gastric ulcers240eggs
Poor digestion120eggs
Excess secretions of stomach acids120eggs
Treatment of liver diseases:
Improves organ functions240eggs
Treatment of Renal diseases:
Improves organ functions240eggs
Treatment of heart diseases:
Improves the functioning of the heart in the case of coronary sclerosis240eggs
Treatment of circulatory diseases:
anaemia240eggs
arterial hypertension240eggs
Treatment of metabolic diseases:
gout240eggs
obesity240eggs
diabetes240eggs
Treatment of nervous diseases:
neurasthenics240eggs
nervous state240eggs
Benefits of quail eggs during pregnancy and while breast feeding:
The consumption of quail eggs fortifies the woman’s body during pre and post natal periods as well as after surgery and radiotherapy. It also has beneficial effects on the foetus (physical and mental balance) and for the mother after delivery (physical rehabilitation and rejuvenation of cells). Quail eggs also improve the quality of breast milk.240eggs
HIV, AIDS:
The consumption of quail eggs by HIV AIDS patients improves CD4240eggs

[TD="width: 92%"] For Children: The consumption of quail eggs is recommended for children whether cooked or raw for their physical and mental balance. Quail eggs help improving the IQ. [/TD]
[TD="width: 8%"] [/TD]

Hivyo Basi hayo ni Baadhi ya Maelezo ya kazi za mayai ya kware, hakuna anaye razimiswa kukubali, na si weki hapa ili kuuza au kudanganya mtu kwa sababu sifugi hawa Ndege
 
Sikatai ila tukumbuke pia kuna mfugaji ambae anauezo wa kusafirisha nje je atawala ama atapeleka wp? Maana tunaongelea ujasirimali

Mkuu nazai vitu vingi tu me chukaua nje jiulize miaka ya 90 kulikuwa na Chips? hata simu zilivo ingia watu walishangaa sana ila baadae walielewa,

Na unaweza kufuga ukala, kwa sababu, Mayai yake ni dawa so unaweza fuga ukala wewe na familia yako si razima kuuza mkuu
 
Sikatai ila tukumbuke pia kuna mfugaji ambae anauezo wa kusafirisha nje je atawala ama atapeleka wp? Maana tunaongelea ujasirimali

Mkuu kitomari2

Kinachotazamwa hapa kwa jicho la tatu ni fursa/opportunity ..... inawezekana wewe mimi na yule hatujui lakini wapo wengine wanaojua soko kama mleta mada

sidhani kama ni dhambi kuthubutu kujaribu .... ukaanza kufuga kware kama hobbie halafu ukaendelea kutafiti soko na mambo mengine

uzoefu wako katika poultry unahitajika sana hapa especially kwenye technical part kama ulishaji, matibabu na matunzo mengine

wapo wana jf wengi wenye utaalam wa marketing wanaweza tussaidia kutafuta masoko .... tukiunganisha haya mambo yatakwenda mbele. ... kwanini wakenya watushinde sisi siku zote.... kwanini tushindwe kufuga viwanyama kama kware .... je tutaweza kufuga mbuni?
 
Mkuu kitomari2

Kinachotazamwa hapa kwa jicho la tatu ni fursa/opportunity ..... inawezekana wewe mimi na yule hatujui lakini wapo wengine wanaojua soko kama mleta mada

sidhani kama ni dhambi kuthubutu kujaribu .... ukaanza kufuga kware kama hobbie halafu ukaendelea kutafiti soko na mambo mengine

uzoefu wako katika poultry unahitajika sana hapa especially kwenye technical part kama ulishaji, matibabu na matunzo mengine

wapo wana jf wengi wenye utaalam wa marketing wanaweza tussaidia kutafuta masoko .... tukiunganisha haya mambo yatakwenda mbele. ... kwanini wakenya watushinde sisi siku zote.... kwanini tushindwe kufuga viwanyama kama kware .... je tutaweza kufuga mbuni?

mkuu ni kweli wenzetu wanafuga sana Mbuni na wananunuliwa sana, egg shell yake yenyewe ina soko la kufa mtu, ila bongo ndo kama hivyo,
 
Mkuu kitomari2

Kinachotazamwa hapa kwa jicho la tatu ni fursa/opportunity ..... inawezekana wewe mimi na yule hatujui lakini wapo wengine wanaojua soko kama mleta mada

sidhani kama ni dhambi kuthubutu kujaribu .... ukaanza kufuga kware kama hobbie halafu ukaendelea kutafiti soko na mambo mengine

uzoefu wako katika poultry unahitajika sana hapa especially kwenye technical part kama ulishaji, matibabu na matunzo mengine

wapo wana jf wengi wenye utaalam wa marketing wanaweza tussaidia kutafuta masoko .... tukiunganisha haya mambo yatakwenda mbele. ... kwanini wakenya watushinde sisi siku zote.... kwanini tushindwe kufuga viwanyama kama kware .... je tutaweza kufuga mbuni?

Mkuu asante sana kwa jibu lako fupi lakini lililojitosheleza,kinachotukumba vijaoa wengi wa Kitanzania ni uoga wa kuthubutu,bila uthubutu kwa jambo lolote lile ni ngumu sana kufikia kile ulicho lenga!fursa tunazo nyingi sana,ila uthubutu na kukatishana tamaha ndio vikwazo kwetu!ukweli ni kua haitawezekana kwa kila kijana aliyesoma basi aajiriwe!hivyo ni lazima tutumie elimu tuliyopata kujikwamua kimaisha na kuikwamua jamihi iliyotuzunguka pia!tusiwe waoga katika kuthubutu oa kutafuta informations sehemu tofauti duniani,kwani dunia imekua kijiji!
 
mkuu ni kweli wenzetu wanafuga sana Mbuni na wananunuliwa sana, egg shell yake yenyewe ina soko la kufa mtu, ila bongo ndo kama hivyo,

Mkuu naamini darasa ulilotoa kwa ndugu yetu Kitomari atakua ame elewa vya kutosha,uzuri nae ni mdadisi mzuri,mtu anaependa kujifunza!yote kwa yote umenifurahisha sana kwa kuweka adharani kila unachokijua bila kuchoka ili wengine nao wajifunze!hii inapendeza sana,wewe si mchoyo wa mawazo ya maendeleo,big up mkuu Chasha
 
Back
Top Bottom