Mayai ya Kwale

Mayai ya Kwale

Jamaa yangu Chasha kiswahili chako kina nikumbusha. Tarime na musoma!!
Manake unapenda sana kutumia herufi"R" Sehemu inapowekwa "L".

Teh teh teh teh!
Anyway! Turudi kwenye mada.

Hivo vibali vyoote ni kitu kidogo tu!
Unapata!
Pale wizara ya mifugo. Ukipeleka ugalatia wako! Wanakutoa baruti!!

Kata hio hela ya kula! Watu wafanye kazi.
Hakuna kibali ambacho hakijawahi kutoka!
Inategemea mfuatiliaji ni nani!!

Kuna jamaa mmoja pale wizarani.
jina namuhifadhi.
Kijana mweusi saana!.
Anapenda kunyoa panki kama kandabongoman! Hana cheo cha maana. Lakini balaa!
Ukimpa tenda ya kibali.!
Hata kibali cha kuwanyonyoa mbuni manyoa atakutolea! We hela yako tu!

Ni ushauri tu wa kitz. Nakupa.!!

Tena buuure! Malipo staki!

Mkuu ila kuna baadhi haviwezekani, mfano kibali cha kuiza mazao ya hawa ndege nje ya nchi nilazima katibu mkuu asaini, hapo utamtoa ngapi?
Mimi naamini mtu akifuta procedure atapata tu kibali,
Make hapa kuna kuliwa pesa tu na mimi nashauri ni bora mtu mwenyewe afuatilie. Na kuna vinavyo tolewa ngazi za chini hivyo haihitaji kwenda wizarani,
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ila kuna baadhi haviwezekani, mfano kibali cha kuiza mazao ya hawa ndege nje ya nchi nilazima katibu mkuu asaini, hapo utamtoa ngapi?
Mimi naamini mtu akifuta procedure atapata tu kibali,
Make hapa kuna kuliwa pesa tu na mimi nashauri ni bora mtu mwenyewe afuatilie. Na kuna vinavyo tolewa ngazi za chini hivyo haihitaji kwenda wizarani,

Mkuu Chasha kuna vitu vingine havipatikani bila refarii wa kukupigia debe!
Unaanza na vidogodogo kwanza halafu.
Ukishapata umaarufu kidogo na pale penye vikwazo unapenyeza rupia!

Utaona mambo yanakwenda kilaiiini!
Kama kumsukuma mlevi!.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Chasha kuna vitu vingine havipatikani bila refarii wa kukupigia debe!
Unaanza na vidogodogo kwanza halafu.
Ukishapata umaarufu kidogo na pale penye vikwazo unapenyeza rupia!

Utaona mambo yanakwenda kilaiiini!
Kama kumsukuma mlevi!.
Tehe tehe, ni kweli mkuu, ukizingatia nchi ilisha oza, kila mtu anakula kilingana na urefu wa kamba yale, ila Taifa kama Taifa tunayo kazi sana, hizo nchi kama Malayasia sijui tutawakuta lini,
 
Last edited by a moderator:
Kwenye fani hii! Watz nawapigia saluti!

Manake mpaka fomula zoote mnazijua!

Basi juu ya fani hii.! hamjavumbua chochote cha maana!? Ni kurogana tu!?!
Haaaaaa!

Nchi haikaliki bila kufunga kale kabrifkesi kwenye kwapa!!!?
Mmhhhh! Mtaondoa wengi nyie!!

Ndoo maana mi kijijini nimekimbia!

Manake tv hamna!
Starehe ya mtu wa village ni kumpiga mtu juju! Halafu anamcheki ile miondoko ilivyobadilika! Utafkiri kakata senta bolt!!

Halafu anacheeeeeka! Basss.!

Wana laana wale walogi!!
Mnsssssss!

ukweli ndio huo kama utaki endelea kukojoza wake za watu wakutengeneze
 
Dah kaka unaonekana unayafahamu sana haya mambo yetu.

niliwahi kuwa wakala wa mayai ya Bundi ya waganga maarufu kule Asia, ni kweli hata mara ya kwanza nafunga mkanda wa ndege ilikua safari kwenda Oman kuonana na wateja na kupanga deal, ni biashara kubwa na inafanyika kwa siri
 
Wakuu haya mambo ni magumu sana, nitarudi na ripot kamili kuhusu kibali
 
Wakuu haya mambo ni magumu sana, nitarudi na ripot kamili kuhusu kibali



Tunakusubiri kwa hamu mkuu,changamoto zipo japo muda mwingine Watendaji wa Tanzania uwa wana makusudi ya kukatisha tamaha!
 
Wakuu kwa kifupi ni kwamba nilijaribu kutembelea ofisi kama mbili hivi kuhusu ishu ya Kware

1. Kitengengo cha Kupambana na Ujangiri kanda ya Kaskazini- Wapo Njiro Arusha
Hawa wao walidai wanadili na Majangiri tu so wao hawatoi vibari kabisa, hivyo niliekezwa niende maeneo ya Fire Arusha ambap ndo kuna kitengo kinacho toa vibari hivyo

2. Kitengo cha Vibari vya uwindaji- Hapa ndo nilipata Majibu yafuatao

- Kibari kinatolewa na Mkurugenzi wa Wanyam Pori tu.
- Kibari hakitolewi kwa wanao fuga Kware kwa ajili ya kula
- Kibari ni kwa wanao fuga kibiashara tu, na si vinginevyo
- Ni lazima maombi yaambatane na Proposal ya kutaka kufuga hao ndege yakiwa na

1. Leseni ya Biashara
2.Biashara iliyo sajiriwa
3. Ni vipi unataka kufuga
4. wateja wako ni wakina nani, na kwa nini wana nunua
5. Kiwango cha kufuga
6. Eneo la ufugaji
7. Utawatoa wapi ndo uanze kuwafuga? Hapa ndo pagumu
Na mengine mengi tu, so kwa kifupi unatakiwa kupeleka SOUND BUSINESS PROPOSAL Kwa ajiri ya hiyo project ya kware

KUHUSU KANGA
- Ufugaji wa kanga wenyew unafanywa kimakosa, kwa sababu kisheria ni lazima uwe a kibari cha kuwamiliki make ni ndege mwitu na wanao lindwa,

MWISHO
- Kilichopo sasa ni mtu kuandaa Dokomet zote na kwenda kuomba kibali, kwa Mkurugenzi wa Idara ya wanyama Pori.
-ni lazima uambatanishe na dokoment za kusapotiombi lako la kibari



NB:Vibari vya kufuga wanyama mwitu ni complicated sana huwezi lingaisha na vibari vya kuchoma mkaa

MTIHNI UKO HAPA
- Ni wapi utapata hayo mayai? je utaenda kuwida Porini? Ukisema unaagiza Nje hapo ni hadith nyingine na process nyingine, so source ya ndege au mayai yako unatkiwa kuwa mkini, make ukisema kuna mtu anayo utaulizwa yeye kayapata wapi? wanaweza kukuforce uwapeleke kwa huyo mtu

Wakuu Mimi hapa ndo mwisho wa story na ufutiiaji wangu umekomea hapa, kilicho bakia ni kila mmoja kufuatilia na hutakiwi kukata tamaa, pambana hadi pointi ya mwisho
 
Wakuu kwa kifupi ni kwamba nilijaribu kutembelea ofisi kama mbili hivi kuhusu ishu ya Kware

1. Kitengengo cha Kupambana na Ujangiri kanda ya Kaskazini- Wapo Njiro Arusha
Hawa wao walidai wanadili na Majangiri tu so wao hawatoi vibari kabisa, hivyo niliekezwa niende maeneo ya Fire Arusha ambap ndo kuna kitengo kinacho toa vibari hivyo

2. Kitengo cha Vibari vya uwindaji- Hapa ndo nilipata Majibu yafuatao

- Kibari kinatolewa na Mkurugenzi wa Wanyam Pori tu.
- Kibari hakitolewi kwa wanao fuga Kware kwa ajili ya kula
- Kibari ni kwa wanao fuga kibiashara tu, na si vinginevyo
- Ni lazima maombi yaambatane na Proposal ya kutaka kufuga hao ndege yakiwa na

1. Leseni ya Biashara
2.Biashara iliyo sajiriwa
3. Ni vipi unataka kufuga
4. wateja wako ni wakina nani, na kwa nini wana nunua
5. Kiwango cha kufuga
6. Eneo la ufugaji
7. Utawatoa wapi ndo uanze kuwafuga? Hapa ndo pagumu
Na mengine mengi tu, so kwa kifupi unatakiwa kupeleka SOUND BUSINESS PROPOSAL Kwa ajiri ya hiyo project ya kware

KUHUSU KANGA
- Ufugaji wa kanga wenyew unafanywa kimakosa, kwa sababu kisheria ni lazima uwe a kibari cha kuwamiliki make ni ndege mwitu na wanao lindwa,

MWISHO
- Kilichopo sasa ni mtu kuandaa Dokomet zote na kwenda kuomba kibali, kwa Mkurugenzi wa Idara ya wanyama Pori.
-ni lazima uambatanishe na dokoment za kusapotiombi lako la kibari



NB:Vibari vya kufuga wanyama mwitu ni complicated sana huwezi lingaisha na vibari vya kuchoma mkaa

MTIHNI UKO HAPA
- Ni wapi utapata hayo mayai? je utaenda kuwida Porini? Ukisema unaagiza Nje hapo ni hadith nyingine na process nyingine, so source ya ndege au mayai yako unatkiwa kuwa mkini, make ukisema kuna mtu anayo utaulizwa yeye kayapata wapi? wanaweza kukuforce uwapeleke kwa huyo mtu

Wakuu Mimi hapa ndo mwisho wa story na ufutiiaji wangu umekomea hapa, kilicho bakia ni kila mmoja kufuatilia na hutakiwi kukata tamaa, pambana hadi pointi ya mwisho

Mkuu ahsante sana kwa ufuatiliaji wako,hakika ni complicated ila im sure ukiwa na dhamira ya dhati,ukajiandaaa ipasavyo basi kibali kitatoka tu!vp kuhusu kwa wale ambao labda wanataka kufuga kwale kwa ajili ya kula tu na si kibiashara wao inakuaje mkuu?
 
Mkuu hao wa kula wamesema hawatoi kibari kabisa, mkurugenzi anatoa kwa biashara tu, ila mimi nazani kupata kibari inawezekana so watu wasikate tamaa. Naandaa hizo docoment na by mwezi wa 8 nitapekeja kwake hizo docoment hapo ndo tutajua hatima iko vipi. Wanacho taka ni maelezo ya kumshawishi.
 
Mkuu hao wa kula wamesema hawatoi kibari kabisa, mkurugenzi anatoa kwa biashara tu, ila mimi nazani kupata kibari inawezekana so watu wasikate tamaa. Naandaa hizo docoment na by mwezi wa 8 nitapekeja kwake hizo docoment hapo ndo tutajua hatima iko vipi. Wanacho taka ni maelezo ya kumshawishi.

Sawa mkuu,i hope utafanikisha tu,hakuna kukatishwa tamaha mkuu!ila hiyo ya kukataza kufuga hata wa kula ndio imenikata maini,nilitaka jaribu kuwafuga wawili watatu wa kutafuna huku nikipata experience zaidi!
 
Mkuu hao wa kula wamesema hawatoi kibari kabisa, mkurugenzi anatoa kwa biashara tu, ila mimi nazani kupata kibari inawezekana so watu wasikate tamaa. Naandaa hizo docoment na by mwezi wa 8 nitapekeja kwake hizo docoment hapo ndo tutajua hatima iko vipi. Wanacho taka ni maelezo ya kumshawishi.

Mkuu Chasha

ni maeneo au mikoa gani ya hapa Tanzania kware/quails wanapatikana kwa wingi, we have to do the other way round

naomba info wana jamvi tafadhali
 
Mkuu Chasha

ni maeneo au mikoa gani ya hapa Tanzania kware/quails wanapatikana kwa wingi, we have to do the other way round

naomba info wana jamvi tafadhali

Tehe tehe mkuu mapoli mengi yana hawa ndege, Mkuu mimi nazani ili ufanye hii kazi kwa raha ni vizuri kufanya kama wanavyo taka, Mkuu mimi naandaa Nondo za kufa mtu ili siku nikimpelekea huyo Bosi wa Idara ya wanyampori akose kisingizio,

Hii nchi ni ya ajabu sana, Ukicheki nchi kama South, Kenya, na nchi za Asia hwa ndege wanafugwa sana,

Kikubwa ni kupambana mpaka tuone mwisho wake ni nini
 
Tehe tehe mkuu mapoli mengi yana hawa ndege, Mkuu mimi nazani ili ufanye hii kazi kwa raha ni vizuri kufanya kama wanavyo taka, Mkuu mimi naandaa Nondo za kufa mtu ili siku nikimpelekea huyo Bosi wa Idara ya wanyampori akose kisingizio,

Hii nchi ni ya ajabu sana, Ukicheki nchi kama South, Kenya, na nchi za Asia hwa ndege wanafugwa sana,

Kikubwa ni kupambana mpaka tuone mwisho wake ni nini

Mkuu Chasha usicheke .... ninayo registered and licensed poultry business with every document in place ... lakini hawa wachumia tumbo siwaamini. ... I will do all I can do

hebu nijuze ni mapori gani yenye kware/quail wengi na wazuri ... hayo mengine ni baadae
 
Mkuu mapori ya huku Arusha wapo, ingawa hata ukicheki na mapori ya tanga napi nisha wahi kuwaona. Ila hiko kwingine sijui make sijawahi fika.
Unafuga wa kula? Kama ni kula sawa. Ila kama ni kuuza mkuu tafuta kibari. Usikate tamaa kabla ya kuanza we wapelekee proposal ndo hapo itakapo julikana, na ikibidi unamface Kagasheki au Nyarandu, mimi naamini mtu kamaNyarandu ni mjanja, ila hao wazee wa hiyo idara ndo wana mambo ya ki conservative. Tafuta email ya hao waheshimiwa tuanze nao kwanza kuwachokoza tusikie majibu yao. Make unaweza shangaa kupata majibu ya tofauti. Mimi huyo mkurugenzi ningekuwa na private email adress yake ninge mwandikia. Tatizo email ya ofisi atasoma secretary then ata delete.
 
Mkuu mapori ya huku Arusha wapo, ingawa hata ukicheki na mapori ya tanga napi nisha wahi kuwaona. Ila hiko kwingine sijui make sijawahi fika.
Unafuga wa kula? Kama ni kula sawa. Ila kama ni kuuza mkuu tafuta kibari. Usikate tamaa kabla ya kuanza we wapelekee proposal ndo hapo itakapo julikana, na ikibidi unamface Kagasheki au Nyarandu, mimi naamini mtu kamaNyarandu ni mjanja, ila hao wazee wa hiyo idara ndo wana mambo ya ki conservative. Tafuta email ya hao waheshimiwa tuanze nao kwanza kuwachokoza tusikie majibu yao. Make unaweza shangaa kupata majibu ya tofauti. Mimi huyo mkurugenzi ningekuwa na private email adress yake ninge mwandikia. Tatizo email ya ofisi atasoma secretary then ata delete.

Chasha, hakuna kinachoshindikana .... lazima tuwe na pa kuanzia, nadhani kupata mayai ya kware na kutotolesha kwenye machine inaweza kuwa the best technical strategy ..... nitatafuta bushman afanye kazi ya kunitafutia mayai ya kware porini hii ni baada ya kapata uhakika wa mapori yenye kware wengi,

Nina Kila sababu za kuamini kamba wakenya wana smuggle mayai ya kware kutoka Tanzania na kuyatotolesha huko kwao kwa machine .... kwanini wafugaji wa kenya katu katu hawataki kuuza quail fertilized eggs? .... kwanini wanataka kuuza vifaranga wa kware tu? .... kuna Kitu kilichojificha hapo
 
Mkuu kuhusu wakenya kukataa kuuza mayai. Hiyo ipo hadi kwa wafuga kuku hebu waambie wa kuuzie mayai utotoreshe mwenyewe, utasikia mayai hayatoshi. Mkuu Kenya wao kupata vibari vya kukusanya mayai porini ni rahisi sana, hata ya mbuni huwa wana kusanya kwenye hifadhi zao,
Mkuu mimi naweza kupata mayai ya kware ila ngoja kwanza, make mayai ni rahisi kuvusha kutoka kenya, vifaranga hutafika navyo Arusha kabla hujakamatwa, ngoja kwanza tuone hii ishu ya kibari inakuwa vipi

Ila kwa mayai nina uhakika wa kupata na hata kuyavusha Boda, ila ngoja kwanza tuone inakuwa vipi
 
Mkuu Kitomar mbona swala hili hupo mbali tunaitaji kware na tulipo tembelea shamba lako la chini tuliwaona why uko kimia kuusu hili hapa
 
Mkuu Kitomar mbona swala hili hupo mbali tunaitaji kware na tulipo tembelea shamba lako la chini tuliwaona why uko kimia kuusu hili hapa

mkuu tawary ... hebu tutafutie mkuu kitomari2 umlete atupe utaalam wake ... huyu bwana yupo vizuri sana kwenye poultry
 
Mkuu mapori ya huku Arusha wapo, ingawa hata ukicheki na mapori ya tanga napi nisha wahi kuwaona. Ila hiko kwingine sijui make sijawahi fika.
Unafuga wa kula? Kama ni kula sawa. Ila kama ni kuuza mkuu tafuta kibari. Usikate tamaa kabla ya kuanza we wapelekee proposal ndo hapo itakapo julikana, na ikibidi unamface Kagasheki au Nyarandu, mimi naamini mtu kamaNyarandu ni mjanja, ila hao wazee wa hiyo idara ndo wana mambo ya ki conservative. Tafuta email ya hao waheshimiwa tuanze nao kwanza kuwachokoza tusikie majibu yao. Make unaweza shangaa kupata majibu ya tofauti. Mimi huyo mkurugenzi ningekuwa na private email adress yake ninge mwandikia. Tatizo email ya ofisi atasoma secretary then ata delete.

Mkuu,kumbe naweza kujifugia wakula nyumbani?itabidi nifanye hivyo nionje ladha yake!ila nadhani nikiingia kwenye mikono ya idara ya wanyamapori naweza kusahalika ka kabisa!tatizo la nchi yetu ni urasimu kila sehemu!kila jambo wanataka wa hodhi wao peke yao!wewe peleka proposal yenye akili mkuu then uje utoe feedback hapa!
 
Back
Top Bottom