Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mayai au vifaranga vya kanga?
Akikomaa anafikisha kilo ngapi ya nyama?
asante kwa elimu nzuri kuhusu mayai ya kware
Naamini by now umeshaona jinsi gani mayai haya ya kware yalivyodhitishwa na wataalaamu kuwa yana nutrients nyingi zilizovyo bora kwa matumizi ya Binadamu. https://www.dropbox.com/s/x0sgmli1s2...arevskuku.xlsx
Mayai ya kware ambayo ni mazuri kwa afya yako na familia yako hasa katika kuongeza kinga za mwili na kwa makuzi ya watoto sana yanapatikana ukihitaji kujua zaidi faida zake unaweza kutembelea page yetu ULIMWENGU WA KWARE TANZANIA au tupigie simu number0788-318671. Bei Tshs 20,000 kwa tray.
Mkuu kabla ya kuhukumu ungejaribu mwenyewe kufanya research. ...au hebu pitia hii linkHaina tofauti na uganga wa kienyeji au kama vile waganga wa kienyeji wanavyopotosha watu wanao taka utajiri wa haraka kwa kuagiza viuogo vya albino.
Toa scientific prove kwa support ya maelezo ya kusadikika.
Watanzania bwana kwa kudanganyika. Ndo maana ahadi kibao mnachagua viongozi wa siasa afu wakiwa madarakani wanapiga hela zenu kutoka kwenye kodi kwa familia zao badala ya kufanya maendeleo.
WATANZANIA PUNGUZA UJINGA TUMIA BUSARA KUPIMA WASANII
Mkuu kabla ya kuhukumu ungejaribu mwenyewe kufanya research. ...au hebu pitia hii link
http://www.ijsrp.org/research-paper-0513/ijsrp-p1729.pdf
Hiyo link inatupeleka kwenye dropbox na si web page. Sasa tutapataje uhakika kuwa hiyo excel hujaiandaa wewe!
Maabara hazipo za kuthibitisha hivyo virutubisho mnavyo dai, hapo ukikopi vya wenzako yawezekana origin ya hao ndege na vyakula wanavyo kula ni tofauti na hilo soko unalotangazia wateja. Muhimu ni kuonesha research yako kwa mazingira ya kula pumba kama hawa kuku wa kisasa wanavyo kula.
Mkuu kabla ya kuhukumu ungejaribu mwenyewe kufanya research. ...au hebu pitia hii link
http://www.ijsrp.org/research-paper-0513/ijsrp-p1729.pdf
Naomba kuuliza, kwale aliekomaa na anaefaa kuliwa hufikisha uzito kilo ngapi?Naona umeamua kuwa mbishi kwa siku hizi vyakula hivi vyote vya kware viko online unachukuwa na kutengeneza au kama ukichukua ambacho kimetengenezwa unajua tu vyakula vyetu hapa vingi protein ni issue so unaongeza vitu kama soya ili kuongeza protein. Karibu tujifunze.
Pata kwa ajili ya familia yako yote kuanzia watoto mpaka watu wazima mayai ya kware ni mazuri ukitaka habari zaidi tembelea page yetu ULIMWENGU WA KWARE TANZANIA
Haina tofauti na uganga wa kienyeji au kama vile waganga wa kienyeji wanavyopotosha watu wanao taka utajiri wa haraka kwa kuagiza viuogo vya albino.
Toa scientific prove kwa support ya maelezo ya kusadikika.
Watanzania bwana kwa kudanganyika. Ndo maana ahadi kibao mnachagua viongozi wa siasa afu wakiwa madarakani wanapiga hela zenu kutoka kwenye kodi kwa familia zao badala ya kufanya maendeleo.
WATANZANIA PUNGUZA UJINGA TUMIA BUSARA KUPIMA WASANII