Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Shez proud of kilingAma kweli!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shez proud of kilingAma kweli!
Uko proud na uuaji sioMi yangu niliitoa.nina experience ya kutumia misoprostol tu [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakua mzoefu,watoto si pungufu ya wa4Mimi namshukuru Mungu nakulaga kila kitu hakuna kinachonikataa. Sema kila menu lazima dagaa iwepo
Kwahyo kitu iliingia hiv karibunAsante[emoji25]
Ndio kwanza ikifika February ndio naingia mwezi wa pili kwahiyo mpaka March hapo ndio nitakua sawa
Blaza blaza,Kwahiyo honeymoon yako mlienda Mombasa, na mara baada ya kutoka kunyanduana huko ukarudi ukiwa na ujauzito ambapo sasa una watoto watatu.
Samahani mkuu, nimejaribu ku summarise ili kufanya wepesi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo kitu iliingia hiv karibun
Hem tokapa [emoji23][emoji23][emoji23]Mi yangu niliitoa.nina experience ya kutumia misoprostol tu [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Very proudShez proud of kiling
Hizo sizipendi asee
Heri kujipimia mwenyewe
Hahahahaaaas[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi yangu niliitoa.nina experience ya kutumia misoprostol tu [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado nipo mkuu, Mungu amenitunza na ninashukuru kwa wema wakeBlaza blaza,
Hapana mie sio 'chembamba'
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mmoja hapa yeye shida yake ni chai tu, hanywi kabisa wala hajaribu.
Juzi kanituma nikamtafutie maembe mabichi ila hali yeye, nakula mimi na yeye anaridhika jinsi yanavyofanya kwayuuu kwayuuu pale ninapotafuna.
Pisi kali anamimba ndio basi tena mipango yangu ishafeli subira yangu ndio iliyoniponza
Sent using Jamii Forums mobile app
Baba wa mtoto ushamjua?Asante[emoji25]
Ndio kwanza ikifika February ndio naingia mwezi wa pili kwahiyo mpaka March hapo ndio nitakua sawa